Godii,
Umenikuna sana kwa maelezo yako.
Hilo la kuepusha ndugu wa karibu kuona ni kweli kisayansi kwa sababu kuna kitu kinaitwa inbreeding. Yaani watu ndugu au wanyama kuzaa pamoja. Inasababisha kuendeleza magojwa ya kurithisha lakini pia inapunguza kitu kinaitwa "genetic variability" ambayo huaongeza fitness ya viumbe hai. Hata wanyama wa porini wana strategies za kuzuia inbreeding.
this is mind boggling!
sijui hata nianze wapi! karibia ya zote ndo kwanza nazisikia leo!
zingine
- mama yako akikupiga na mwiko hautaoa
- ni marufuku kumpa mtu pombe bila kuonja hapo