Mr possibility
Senior Member
- Mar 19, 2020
- 175
- 134
Mmmh hellow
Mmmh hellow
X2
Ningependa nikuulize swali
Japo sitaki kukukwaza
Ningependa kujua uhali
Ningependa kujua japokuwa uko mbali
Ni wazi unafahamu
Kuwa tumetoka wote mbali....
Kwanini lakini
Siku hizi umekuwa hujali...
Uh nimepigwa na butwaa
Kwa shida zile zote na hali
Tulivumilia.....
Tukashine pasipo jua kali...
Leo umekua mkali
Unakasirika,unagadhibika
Nabaki najiuliza maswali
Hivi kwanini umebadilika..
Unajua nakupenda...?
Ila hutaki kuelewa mamah
Ufiche moyo mchanga
Baby baby nakuomba
Mh mazito ya walimwengu
Hayo mengine mwachie Mungu
Wewe fanya urudi
Kwami Peke yangu huku sitaweza...
Uh my wangu....
Uh moyo wangu.....
Uh my wangu.....uh
Rudi... rudi..
X2
😁😁😁😁😁😁✍️✍️✍️✍️
Mmmh hellow
X2
Ningependa nikuulize swali
Japo sitaki kukukwaza
Ningependa kujua uhali
Ningependa kujua japokuwa uko mbali
Ni wazi unafahamu
Kuwa tumetoka wote mbali....
Kwanini lakini
Siku hizi umekuwa hujali...
Uh nimepigwa na butwaa
Kwa shida zile zote na hali
Tulivumilia.....
Tukashine pasipo jua kali...
Leo umekua mkali
Unakasirika,unagadhibika
Nabaki najiuliza maswali
Hivi kwanini umebadilika..
Unajua nakupenda...?
Ila hutaki kuelewa mamah
Ufiche moyo mchanga
Baby baby nakuomba
Mh mazito ya walimwengu
Hayo mengine mwachie Mungu
Wewe fanya urudi
Kwami Peke yangu huku sitaweza...
Uh my wangu....
Uh moyo wangu.....
Uh my wangu.....uh
Rudi... rudi..
X2
😁😁😁😁😁😁✍️✍️✍️✍️