For your EYES ONLY: From Salva to Rostam

For your EYES ONLY: From Salva to Rostam

YourTheMan-1.jpg
 
Jakaya Mrisho Kikwete would have been elected with or without all those tapelis who claim to put him there;Please do not waste our countries time and money in misleading people. What we need is a country thats being ruled with some effort to help poor people.
 
SOMA HII!


Wakuu nimefatilia kuhusu New Habari kwa mtu ambaye alikuwa anafanya pale tena akiwa kingungu fulani. Ni kweli ilianza ku operate kabla ya kupata usajili na ni mambo ya TRA yalichelewesha process sababu walitaka kujua watapataje hela waliokuwa wakiidai Habari Corp ya kina Jenerali. ( ushahidi upo). Kampuni imeanza kuwa full operational mwaka jana na ndipo hata wakaweza kuzindua mwonekano wa magazeti yao. Huu nao sio ufisadi! Manyerere afatilie na atueleze.


Pia naambiwa kuna tatizo sugu la mukataba ya wafanyakazi wa kada za juu ambao inadaiwa karibu wote wanafanya kazi bila mikataba. Hii ilipata kupelekea Manyerere mwenyewe kutofautiana na CEO na akaacha kazi. Ufisadi huo nao Manyerere haujui?
Kubenea na Mwanahalisi pana stori hapo!


Mtoa habari anadokeza pia kana kwamba haitoshi, New habari walipoona wana deni kubwa la NSSF wamerithi toka Habari ya zamani wakahamisha wafanyakazi wote wa kada za chini toka NSSF kwenda PPF. NSSF hiyo ndio tunaambiwa ina mzigo wa madeni. NSSF mnajua hilo?.


Nitawajuza zaidi kadri ninapopata zaidi
 
"Even if you found the idea of helping us become independent unattractive and costly, you could at least have looked for a way to accommodate us in some positions within the new Government whose struggle to get into power we so painfully supported and for so long."
Na kweli baada ya malalamiko haya Salva akapewa kazi Ikulu.
Je Kiwete aweza kumshughulikia RA fisadi?
Wadanganyika tuna kesi ya kujibu kwa Mungu kama tutaendela kiweka CCM madarakani!!
Kuna wakati Rostam alipofanya press conference aliwahi kutamka kuwa watu wengine walikuwawanamchukia kwa sababu aliwanyima vyeo!! Sasa hii ni dhahili kuwa huyu bwana all along ni mbia wa Urais wa nchi yetu bila sisi wenyewe kujua; ingawa muungwana alikanusha kuwa na ubia na mtu! RA sio tu alimpatia kazi Salva Ikulu bali hata appointment ya Zakia Meghji kuwa waziri wa fedha ilikuwa ni recommendation ya Rostam kama njia ya kufacilitate wizi wa fedha za Kagoda na mambo mengine ya kifisadi.
 
Jamani this might be a record breaker...endeleeni maana as time goes by hizi thanks zitakuwa kubwa zaidi

Nadhani itakuwa si vibaya kuirudisha ile thread ya SALVA RWEYEMAMU SI MTANZANIA

Hivi ukipewa ahsante kibao namna hiii kinafuata nini? Maana kama kuna chochote kitu na sisi tuanze kuchakalika kuleta nyeti hapa, kama hakuna impact yoyote watu mnashukuru tu then ur THANKS are pointless. How many of you who gave ur appreciation ready to take affirmative action now so as we all know this post created real impact.

Tuache unafiki na tuseme kweli alaa!!!!
 
Jakaya Mrisho Kikwete would have been elected with or without all those tapelis who claim to put him there;Please do not waste our countries time and money in misleading people. What we need is a country thats being ruled with some effort to help poor people.

The problem with your argument is that you are engaging in the delicate and quite impossible endeavor of "alternate history".

Once you acknowledge that Kikwete was elected with a big help from Rostam, trying to come with "what if" scenarios is a futile mental exercise that has no impact on the facts.

This forum is about facts, and not what "would have" "could have" or "should have".The fact remain that, in this universe JK was elected with help from Rostam, nothing you will do or say will change that.If you do not like that fact and you would like to live without it, find a way to go back in time and disassociate Kikwete with Rostam, have him run a clean campaign and live in that alternate universe a la Michael J Fox in "Back To The Future", if you can.

Saying "Kikwete would have been elected even without Rostam" is like saying "I would be here even if my mom and dad had not met".By definition you are the offspring of both your parents, if the had not met, you wouldn't be you, some other person would be living, with a totally different set of genes.

So spare us the futille exercise in alternate history.
 
Hivi ukipewa ahsante kibao namna hiii kinafuata nini? Maana kama kuna chochote kitu na sisi tuanze kuchakalika kuleta nyeti hapa, kama hakuna impact yoyote watu mnashukuru tu then ur THANKS are pointless. How many of you who gave ur appreciation ready to take affirmative action now so as we all know this post created real impact.

Tuache unafiki na tuseme kweli alaa!!!!


Duh! Wabongo zaidi ya uwajuavyo!


Mura Fiksiman,

Vita ni vita Mura, acha kuja mujini na jembe...unakuja kurima rami? mjini unakuja na vyeti MURA!.

Peace

FP
 
Duh mambo haya mazito kweli. Na huyu RA naona hela kwa kuwa amezipata kwa magumashi basi hana uchungu nazo. Sidhana Salva kama analijua hilo. Huyu RA yote anayofanya ni kuhakikisha mambo yake yanaenda vizuri atafute faida kwani hizo hela aliziwekeza? Hata investment zikifa poa tu yeye haumii kwa lolote anajua atachota tuu.

Pia huyu aliyeta hii kitu hapa ashukuriwe sana japo haiko straight sana kuonyesha kama ni genuine maana haina address au email ili nasi tuwena uhakika kuwa ni kweli. Vinginevyo big up.
 
Nimesoma kwa kirefu tu hiyo barua ya Salva. Inaonyesha katika nchi hii tuna 'vichwa' vya kweli vyenye maarifa. Tatizo ni kwa vipi hivi vichwa vinatumika. Alivyoeleza hapo ni utaalamu mtupu na kuweli mtupu! Kuna nguvu ya ziada ambayo inatoka nje ambayo inawasukuma kufanya mambo ambayo jamii inafikiri hayafai. Labda tatizo lake hapa ni kuwa na hiyo tamaa ya kuingia kwenye utawala mpya, lakini tujiulize, wakati JU akiwa anamiliki HCL, SAlva alikuwa na wazo la kufanya kazi na utawala mpya? Aliomba kazi ikulu au ndiyo kazi iliyotokea mbele ya RA? Nilipomsoma nilimegundua kuwa ni mtu wa kazi hasa kwa ni ana upeo. Mi naamini kama angebaki kwenye private sector ingesaidia zaidi kwani kwa position kama aliyo nayo sasa ni kama kuzibwa mdomo tu. Pia siamini kama ishu ni maslahi kwani kwa mtu kama yeye hana cha kupoteza popote, labda tu alitafuta umaarufu hasa ukitegemea alipata mwanya wa ku-push ili kuelekea huko. BAdo hoja inabako pale pale. Sioni kosa la Salva popote bali ni zile nguvu zinazomzunguka ndizo zenye makosa zaidi. Kwa nini akane barua aliyoandika?
 
Should we be dissapointed that Jenerali Ulimwengu pocketed some money gained from ufisadi?
 
Nimesoma kwa kirefu tu hiyo barua ya Salva. Inaonyesha katika nchi hii tuna 'vichwa' vya kweli vyenye maarifa. Tatizo ni kwa vipi hivi vichwa vinatumika. Alivyoeleza hapo ni utaalamu mtupu na kuweli mtupu! Kuna nguvu ya ziada ambayo inatoka nje ambayo inawasukuma kufanya mambo ambayo jamii inafikiri hayafai. Labda tatizo lake hapa ni kuwa na hiyo tamaa ya kuingia kwenye utawala mpya, lakini tujiulize, wakati JU akiwa anamiliki HCL, SAlva alikuwa na wazo la kufanya kazi na utawala mpya? Aliomba kazi ikulu au ndiyo kazi iliyotokea mbele ya RA? Nilipomsoma nilimegundua kuwa ni mtu wa kazi hasa kwa ni ana upeo. Mi naamini kama angebaki kwenye private sector ingesaidia zaidi kwani kwa position kama aliyo nayo sasa ni kama kuzibwa mdomo tu. Pia siamini kama ishu ni maslahi kwani kwa mtu kama yeye hana cha kupoteza popote, labda tu alitafuta umaarufu hasa ukitegemea alipata mwanya wa ku-push ili kuelekea huko. BAdo hoja inabako pale pale. Sioni kosa la Salva popote bali ni zile nguvu zinazomzunguka ndizo zenye makosa zaidi. Kwa nini akane barua aliyoandika?

Dogo amka,
Si kila mtu anaona pesa ni kila kitu...katika taifa lenye tamaa ya kibepari hata uwe na mali kiasi gani bado utahitaji zaidi..kwa mfano utahitaji uendane na mabadiliko ya sayansi na teknolojia...gari mpya kuendana na wakati si ule mkweche wako wa enzi za Mwalimu uingize barabara, wengine wanataka kuishi karibu na upepo mwanana wa bahari ya hindi wakiwa kwenye mjengo murefu wawe wa kwanza kuziona meli zinazokaribia jiji la dar es salaam. Kumiliki makampuni kibao na kuingia kwenye rekodi ya dunia ya watu wenye MIHELA.

Salva pamoja na uwezo wake bado ametusaliti watanzania kwa kula na wakoloni weusi huku akijua wananchi wameweka imani kubwa kwake. Ukitaka kujua zaidi nakushauri nenda katufuteni filamu moja maarufu inayoitwa "ANIMAL'S FARM". Kwa muhutsari ni kuwa baada ya kunyanyaswa kwa muda mrefu na mwanadamu, wanyama waliitisha kikao cha dhararu na kukubaliana kufanya mapinduzi. Walifanikiwa ila baada kiongozi wa mapinduzi hayo ambaye alikuwa bwana "NGURUWE" aliwabadilika wenzake na kwa kuwatumia maaskari wake (walikuwa mbwa) akaanza kula gud time na binadamu yule yule huku akiwauza wenzie.

Hapo ndipo utajua kama salva anapaswa kualumiwa au laa! Kua kijana usikimbilie kukimbia wakati bado hata kutambaa hujaweza.
 
Should we be dissapointed that Jenerali Ulimwengu pocketed some money gained from ufisadi?

Kwa situation ilivyokuwa hakuwa na jinsi kwani tayari salva alishauza share zake na JU hakuwa na decision Habari Corporation na akaona kuendelea kushare meza na FISADI RA bora haondoke zake
 
Dogo amka,
Si kila mtu anaona pesa ni kila kitu...katika taifa lenye tamaa ya kibepari hata uwe na mali kiasi gani bado utahitaji zaidi..kwa mfano utahitaji uendane na mabadiliko ya sayansi na teknolojia...gari mpya kuendana na wakati si ule mkweche wako wa enzi za Mwalimu uingize barabara, wengine wanataka kuishi karibu na upepo mwanana wa bahari ya hindi wakiwa kwenye mjengo murefu wawe wa kwanza kuziona meli zinazokaribia jiji la dar es salaam. Kumiliki makampuni kibao na kuingia kwenye rekodi ya dunia ya watu wenye MIHELA.

Salva pamoja na uwezo wake bado ametusaliti watanzania kwa kula na wakoloni weusi huku akijua wananchi wameweka imani kubwa kwake. Ukitaka kujua zaidi nakushauri nenda katufuteni filamu moja maarufu inayoitwa "ANIMAL'S FARM". Kwa muhutsari ni kuwa baada ya kunyanyaswa kwa muda mrefu na mwanadamu, wanyama waliitisha kikao cha dhararu na kukubaliana kufanya mapinduzi. Walifanikiwa ila baada kiongozi wa mapinduzi hayo ambaye alikuwa bwana "NGURUWE" aliwabadilika wenzake na kwa kuwatumia maaskari wake (walikuwa mbwa) akaanza kula gud time na binadamu yule yule huku akiwauza wenzie.

Hapo ndipo utajua kama salva anapaswa kualumiwa au laa! Kua kijana usikimbilie kukimbia wakati bado hata kutambaa hujaweza.

Neno mziwanda lisikupe tabu sana kwani mziwanda maana yake ni mtoto wa mwisho na anaweza kuwa na miaka hamsini. pia usitegemee katika jamii watu wakawa na mawazo sawa kama unavyofikiri. Nimesema kuwa, jamaa hana cha kupoteza na hata ukijaribu kufuatilia maisha yake kabla ya kuingia ikulu bila shaka alikuwa ktk position nzuri tu kijamii. Nikasema labda ni tamaa tu pamoja na nguvu zinazomzunguka ndizo zinazompa ushawishi wa kutaka kufuru. Hizo nguvu ndio matatizo! Ukweli unabaki palepale kuwa Salva anavyoonekana akipata mazingira mazuri yenye uadilifu ni mtu wa kutegemewa kuleta mabadiliko. Kifupi simtetei kwani hata simjui
 
Dogo amka,
Si kila mtu anaona pesa ni kila kitu...katika taifa lenye tamaa ya kibepari hata uwe na mali kiasi gani bado utahitaji zaidi..kwa mfano utahitaji uendane na mabadiliko ya sayansi na teknolojia...gari mpya kuendana na wakati si ule mkweche wako wa enzi za Mwalimu uingize barabara, wengine wanataka kuishi karibu na upepo mwanana wa bahari ya hindi wakiwa kwenye mjengo murefu wawe wa kwanza kuziona meli zinazokaribia jiji la dar es salaam. Kumiliki makampuni kibao na kuingia kwenye rekodi ya dunia ya watu wenye MIHELA.

Salva pamoja na uwezo wake bado ametusaliti watanzania kwa kula na wakoloni weusi huku akijua wananchi wameweka imani kubwa kwake. Ukitaka kujua zaidi nakushauri nenda katufuteni filamu moja maarufu inayoitwa "ANIMAL'S FARM". Kwa muhutsari ni kuwa baada ya kunyanyaswa kwa muda mrefu na mwanadamu, wanyama waliitisha kikao cha dhararu na kukubaliana kufanya mapinduzi. Walifanikiwa ila baada kiongozi wa mapinduzi hayo ambaye alikuwa bwana "NGURUWE" aliwabadilika wenzake na kwa kuwatumia maaskari wake (walikuwa mbwa) akaanza kula gud time na binadamu yule yule huku akiwauza wenzie.

Hapo ndipo utajua kama salva anapaswa kualumiwa au laa! Kua kijana usikimbilie kukimbia wakati bado hata kutambaa hujaweza.


Neno mziwanda lisikupe tabu sana kwani mziwanda maana yake ni mtoto wa mwisho na anaweza kuwa na miaka hamsini. pia usitegemee katika jamii watu wakawa na mawazo sawa kama unavyofikiri. Nimesema kuwa, jamaa hana cha kupoteza na hata ukijaribu kufuatilia maisha yake kabla ya kuingia ikulu bila shaka alikuwa ktk position nzuri tu kijamii. Nikasema labda ni tamaa tu pamoja na nguvu zinazomzunguka ndizo zinazompa ushawishi wa kutaka kufuru. Hizo nguvu ndio matatizo! Ukweli unabaki palepale kuwa Salva anavyoonekana akipata mazingira mazuri yenye uadilifu ni mtu wa kutegemewa kuleta mabadiliko. Kifupi simtetei kwani hata simjui
 
Wazungu wanasema "if you cannot fight them join them". Huyu ni Salva tuliyemjua? Sikuamini kwamba he would stoop too low to beg Rostam to fix him in the 4th phase Administration! Kwa hivyo yuko pale Ikulu sio on "merit" bali "know-whom"! What a shame.
 
Hii inatoa taswira halisi ya jinsi waTanzania tunavyoendesha mambo yetu. Kila kitu kwa kujuana;
Ajira kwenye taasisi za umma na hata makampuni binafsi, hadi mtu fulani akupeleke.
Zabuni za biashara pale ambapo rushwa haikutumika basi hutolewa kwa kufahamiana.
Ukipata shauri la ki-polisi; hata kama wanataka kidogodogo, hadi mtu wao wa karibu akutambulishe.

Orodha ni ndefu, ... kama kuna mtu mwenye mfano wa uteuzi ulifanyika bila mizengwe ya aina hii, aulete hapa!
 
Back
Top Bottom