FORBES: 20 most dangerous place to live

FORBES: 20 most dangerous place to live

Eti watu wanaishi kama digi digi embu kuwa na aibu kidogo, embu tembelea hizo nchi zilizotolewa hapo juu alafu ukirudi anzisha uzi humu.
We PU.NGA mimi nimepoteza ndugu, jamaa na marafiki kadhaa kupitia hawa WAHUNI wanaojiita wasiojulikana, kwanini unataka kunilazimisha niendelee kuamini nchi hii ina amani wewe pumbavu?
 
Hamna cha past news, bado mnawatafuna ni ile tu siku hizi vyombo vya habari mumevikandamiza kabisa, ila tutaendelea kuwakumbusha nyie ni watu wa roho ngumu na nyeusi, mauaji ya albino na kutafuna nyama zao ndio sababu mpo maskini hadi leo.

Kwani umeambiwa wanaouwa albino wanakula nyama zao?
 
Hahaha hata utukane vipi, Tanzania ni nchi salama bado, kadanganye wenzako vijiweni huko,
Unaambiwa usipite hapa wewe unapita, kama sio ukumbafu ni nini. [emoji23][emoji23][emoji23]
We PU.NGA mimi nimepoteza ndugu, jamaa na marafiki kadhaa kupitia hawa WAHUNI wanaojiita wasiojulikana, kwanini unataka kunilazimisha niendelee kuamini nchi hii ina amani wewe pumbavu?
 
Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?
Mere exaggeration!
 
Hahaha hata utukane vipi, Tanzania ni nchi salama bado, kadanganye wenzako vijiweni huko,
Unaambiwa usipite hapa wewe unapita, kama sio ukumbafu ni nini. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni salama kwako, mkeo, watoto wako na wapambe zako.
 
Mmhhhh!!!!

We PU.NGA mimi nimepoteza ndugu, jamaa na marafiki kadhaa kupitia hawa WAHUNI wanaojiita wasiojulikana, kwanini unataka kunilazimisha niendelee kuamini nchi hii ina amani wewe pumbavu?
 
Lakini huwezi ona Tanzania ikichapwa na njaa [emoji23][emoji23][emoji23]
All of these countries are richer and more developed than Tanzania .And guess what? All these countries have more foreign immigrants living there than Tz.
 

Mishikaki ya mbwa mbona mitamu sana, kama hujui utamu wa nyama ya mbwa waulize kuna makabila ya Tanzania huchangamkia sana nyama ya mbwa, hata mimi nikipata mnofu wa mbwa siachi, kwanza mtura wake.
ila nyie bin shetwan mnakula utumbo wa albino, mnachemsha viungo vya albino na kuvitafuna, hamna huruma kabisa.
 
Somalia na syria zimeshika nafasi ya ngapi
Kwani hii orodha nimeitengeneza Mimi?, hao hao wanaosema sema imepiga hatua katika mazingira rahisi ya kuwezesha kufanya biashara, Leo wanasema Kenya si salama kwa maisha ya binadamu, yaani bure Kenya ingekua ni mbuga kubwa ya wanyama, na watu wote wakahamishiwa Tanzania.
 
Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?
Imeshajulikana wanajiteka kuchafua taswira ya nchi kwa manufaa yao ya kisiasa.
 
Akili yako ni mbovu mana wamemaanisha inchi ambazo sio salama kwa wageni na watalii wa nchi zingne hzo nchi ulizo taja ni za ugomvi wa wenyew kwa wenyew
Somalia ipo bara gani au washaiondoa Africa, Libya, Syria,
Au akili yangu ndo haina Akili
 
Back
Top Bottom