Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
povuuu mpaka lingine unanyolea ndevu....huu mchezo hauhitaji hasiraHuelewi kitu, alichopitwa hapo ni mapato ya mwaka tu, ila kwa mkwanja huyo andunje wako hasogei hata kidogo
List ni ya wanamichezo wanaolipwa.Hiyo namba 2 next year itashikwa na Zinedine Zidane kwa mkwanja atakaokua analipwa huko Qatar.
kwan wenyewe si wanamichezo...ama hawalipwiList ni ya wanamichezo wanaolipwa.
makocha hawana nafasi kwenye hiyo list.
kwan wenyewe si wanamichezo...ama hawalipwi
napanga utaratibuSasa unabisha; unahoji, au unapanga utaratibu?
Thanks mkuu kwa kunielewesha,nilichanganya kidogo hapo.List ni ya wanamichezo wanaolipwa.
makocha hawana nafasi kwenye hiyo list.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi TMT ya Mayweza ndio Wakurugenzi wakuu walikuwa ONTARIO ,Habibu Pamoja na Hanifa?
Ila bado ni limbukeniMoi,
Floyd "money" Mayweather kwasasa utajiri wake ni dollar billion moja za Kimarekani.
Miaka mitatu minne hivi iliyopita utajiri wake ulikuwa US$90 M. Wengi wakamtabiria atafulia. Kwadababu jamaa matumizi yake ni ya kutisha. Kwenye kubet tu alikuwa anatumia 1m $. Magari ya kifahari na majumba na kumwagia malaya hela. Haters wakaenda mbali na kumtabiria mwaka hutapita atafulia.
Cha ajabu jamaa shule hana matumizi yake ya hela ni kufuru sana lakini kila uchwao anazidi kutajirika. Ni mjanja sana.
View attachment 798056 View attachment 798057 View attachment 798059 View attachment 798060
Mods msiunganishe huu uzi
CC; Kiranga
Nyani Ngabu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivi TMT ya Mayweza ndio Wakurugenzi wakuu walikuwa ONTARIO ,Habibu Pamoja na Hanifa?
Ila bado ni limbukeni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ningelipokea kwa moyo wa shukrani kwakuwa mwisho wa siku ni maisha yakeHa ha nilikuwa nnandika dongo moja hatari nikasema kabla sijatuma busara itumike niangalie ninamjibu nani...kumbe mchawi mkuu Mshana Jr, ndugu mshana naona unaamka kuelekea kwenye shughuli zako, hamna definition ya ulimbukeni jamaa anaishi maisha yake na inawezekana akiona comment yako wewe bdio ukawa limbukeni
We inakuhusu nini?Ila bado ni limbukeni