Danga basi na ww yakheKudanga pia kunamsaidia,kashatoka na matajiri wakubwa duniani akiwemo yule wa Mafuta uarabuni
Teh .....Hilo jina mbona geni kwangu..au umelitaja kwa Nickname.
BarbadosAnatoka nchi gani?
Shangaa sasaAnatoka nchi gani?
Barbados
S.AmercaIko bara gan
Kwahiyo dada siyo mtoto wa trumpS.Amerca
Naona pedi uliyovaa imeloa badilisha nyingine mamiloo acha kudevela kisoroDanga basi na ww yakhe
Hapana mkuu...kwa trump yuko pale kutokana na mazingira mazuri ya kazi zakeKwahiyo dada siyo mtoto wa trump
Teh...Naona pedi uliyovaa imeloa badilisha nyingine mamiloo acha kudevela kisoro
[emoji23]Miafrika inawaza kuzaa tu