elias ndugwa
New Member
- Apr 11, 2012
- 2
- 0
Wengine kutwa kulalamika, lakini walio smart wanaziona fursa.
Hongera patrick...
Mbona wako wengi,alikuwepo maruhumu Mawalla yule kijana wakili wa Arusha,tuna akina Ritz 1 ,tuna akina Kinje bana,akina Mh Nyalandu
Go Patrick. I'm so proud of you. Even FORBES has acknowledged and recognized your hard work, wealth and business acumen.
Inaonekana hujatembeza round ya nyama choma na pombe manake wapambe wa kulee mji fulani inashangaza hawajakuita BILLIONAIRE wakati utajiri uliokuwa nao una equivalent ya more than 10 Billions za MADAFU
Go Patrick!
unaimbia bendi gani ya taarabu? Unafaa sana.
Hao niliwataja kwa makusudi ,nilitaka tu kuonyesha jamii upande wa pili wa shilingi,wote nilio wataja wana sifa moja ,utajiri wao ni wa kuwaibia wananchi kupitia migongo ya nafasi za wazazi wao na fedha chafu za sembeAise mkuu huyu Ngowi tunayesema ambao Forbes wanazungumzia ni lazima asiwe fisadi!!! Utajiri wake ni wa halali sana. Hawa uliowataja hapa naomba niweke maji mdomoni ili nisipayuke kwa hii key board! Go Go comrade Ngowi. Wakilisha na tujifunze kuwa utajiri unaweza pia kuupata kwa njia halali kama unajipanga vema si kwa kifisadi kama wengine. Keep it up Ngowi. Mkumbuke muumba wako na mtukuze sana.
Nilijua tu mkuu pale kuwataja tu ulirusha karata ili watu warushe mawe. Hawafai hata kidogo, imagine juzi kati nilipita maeneo Fulani kuna mgororo wa shamba la kampuni moja ya kifisadi ilitokea Kenya inaitwa KAPA (sina hakika kama correct name ila ndiyo wanakijijji wanasema hivyo). KAPA ilifilisika ila ilikuwa na ardhi mikoa mbalimbali ikiwemo Mbeya na Pwani. Leo hiii nasikia eti yule short ndiye ana documents halali za umiliki!!!!!! Kesi inanguruma ina sasa wananchi itakula kwao!!Hao niliwataja kwa makusudi ,nilitaka tu kuonyesha jamii upande wa pili wa shilingi,wote nilio wataja wana sifa moja ,utajiri wao ni wa kuwaibia wananchi kupitia migongo ya nafasi za wazazi wao na fedha chafu za sembe