Forbidden knowledge, why?

Forbidden knowledge, why?

The master

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
289
Reaction score
195
Habari zenu wadau wa JF. Kwanza kabisa nawatakia amani ya Mungu iwe juu yenu.

Leo nimekuja na swali baada ya kukuta hii kitu kwenye mitandao forbiden knowledge. Nimejiuliza hii ni elimu ya namna gani na ni kwann iitwe forbiden why ?

Ktk pitapita zangu niliwahi kukutana na mjeshi mmoja mstaafu wa maswala ya anga. Ukweli ni kwamba alinisimulia mambo ya ajabu sana tena sana juu ya ulimwengu huu.

Alichokisema kimojawapo ni kuchakachuliwa kwa historia ya dunia jambo ambalo limewafanya binadamu wasiyaelewe mazingira ya duniani na jinsi ya kuyatawala na hivyo kujenga tabia ya kuwa tegemezi kwa kila jambo kwa MUNGU.

Mungu ametuumba na akatupa uwezo wa kuyamudu mazingira yetu ikiwa ni pamoja na kuyatawala. Sisi tumejinyima uwezo huo na kuambiana ktk kila jamb tumtegemee yeye MUNGU.

Wachache kati yetu waliogundua siri hii ya elimu wakaificha na ndio hao wanaoandaa mpango wa kutawala dunia. Mwanajeshi huyo alinipa kitabu kidog kilichoandikwa FORBIDEN KNOWLEDGE OF SECRET SOCIETY.
Nawaomba great thinkers tujadili hil
 
Thread nzuri ilokosa wachangiaji! Wengi wapo kwenye siasa!
Hii kitu ni ya kweli kuuna kitu watu wameficha kuhusu dunia na siri hii wanayo wazungu! Kuna vitabu ambayo vikiachwa watu wavisome dunia itakuwa vurugu tupu!
 
Anza na hicho kitabu kinahusu nini ?
elimu ipoje
wanatawalaje ?
 
Habari zenu wadau wa JF. Kwanza kabisa nawatakia amani ya Mungu iwe juu yenu.

Leo nimekuja na swali baada ya kukuta hii kitu kwenye mitandao forbiden knowledge. Nimejiuliza hii ni elimu ya namna gani na ni kwann iitwe forbiden why ?

Ktk pitapita zangu niliwahi kukutana na mjeshi mmoja mstaafu wa maswala ya anga. Ukweli ni kwamba alinisimulia mambo ya ajabu sana tena sana juu ya ulimwengu huu.

Alichokisema kimojawapo ni kuchakachuliwa kwa historia ya dunia jambo ambalo limewafanya binadamu wasiyaelewe mazingira ya duniani na jinsi ya kuyatawala na hivyo kujenga tabia ya kuwa tegemezi kwa kila jambo kwa MUNGU.

Mungu ametuumba na akatupa uwezo wa kuyamudu mazingira yetu ikiwa ni pamoja na kuyatawala. Sisi tumejinyima uwezo huo na kuambiana ktk kila jamb tumtegemee yeye MUNGU.

Wachache kati yetu waliogundua siri hii ya elimu wakaificha na ndio hao wanaoandaa mpango wa kutawala dunia. Mwanajeshi huyo alinipa kitabu kidog kilichoandikwa FORBIDEN KNOWLEDGE OF SECRET SOCIETY.
Nawaomba great thinkers tujadili hil

Hii documentry niliwahi ione 2years back. Ni ukweli kuwa mind ndo kila kitu.
 
Habari zenu wadau wa JF. Kwanza kabisa nawatakia amani ya Mungu iwe juu yenu.

Leo nimekuja na swali baada ya kukuta hii kitu kwenye mitandao forbiden knowledge. Nimejiuliza hii ni elimu ya namna gani na ni kwann iitwe forbiden why ?

Ktk pitapita zangu niliwahi kukutana na mjeshi mmoja mstaafu wa maswala ya anga. Ukweli ni kwamba alinisimulia mambo ya ajabu sana tena sana juu ya ulimwengu huu.

Alichokisema kimojawapo ni kuchakachuliwa kwa historia ya dunia jambo ambalo limewafanya binadamu wasiyaelewe mazingira ya duniani na jinsi ya kuyatawala na hivyo kujenga tabia ya kuwa tegemezi kwa kila jambo kwa MUNGU.

Mungu ametuumba na akatupa uwezo wa kuyamudu mazingira yetu ikiwa ni pamoja na kuyatawala. Sisi tumejinyima uwezo huo na kuambiana ktk kila jamb tumtegemee yeye MUNGU.

Wachache kati yetu waliogundua siri hii ya elimu wakaificha na ndio hao wanaoandaa mpango wa kutawala dunia. Mwanajeshi huyo alinipa kitabu kidog kilichoandikwa FORBIDEN KNOWLEDGE OF SECRET SOCIETY.
Nawaomba great thinkers tujadili hil

Nani mwandishi, Kinapatikana wapi? Je, ni ipi siri hiyo iliyofichwa?
MSAADA TAFADHALI
^^
 
Mtoa mada ungekua na busara ungetueleza kwanza hicho kitabu kinasemaje? Ndipo tuanzie kujadili kolipoishia kitabu. Weka hata summary ya yaliomo kitabuni.
 
Weka angalau ukurasa mitatu kwa yaliyomo kitabuni.na uzi mzuri ila tatizo hajadadavuwa kwa kina labda wanakitafuta ndo wachangiaji hawapo.
 
tutaijuao forbi knowledge wakati ata wewe uliyemegewa batutaijuajehiyouliunaificha? Tupatie hata executive summary ya hicho kitabu tuone kama kweli hiyo knowledge ni siri
 
Nani mwandishi, Kinapatikana wapi? Je, ni ipi siri hiyo iliyofichwa?
MSAADA TAFADHALI
^^

Mtoa mada ungekua na busara ungetueleza kwanza hicho kitabu kinasemaje? Ndipo tuanzie kujadili kolipoishia kitabu. Weka hata summary ya yaliomo kitabuni.

Weka angalau ukurasa mitatu kwa yaliyomo kitabuni.na uzi mzuri ila tatizo hajadadavuwa kwa kina labda wanakitafuta ndo wachangiaji hawapo.

tutaijuao forbi knowledge wakati ata wewe uliyemegewa batutaijuajehiyouliunaificha? Tupatie hata executive summary ya hicho kitabu tuone kama kweli hiyo knowledge ni siri

Mkuu, nenda you tube then search hiyo title utakutana na documentary moja safi san..u Gonna love it
 
Mkuu, nenda you tube then search hiyo title utakutana na documentary moja safi san..u Gonna love it
images (14).jpg
 
Forbidden knowledge ipi hiyo unayoongelea, nadhani hujaeleweka vizuri hapo juu maana umetoa tu maelezo kua knowledge flani imefichwa, ipi hasa unayojaribu kuiongelea wewe??
 
Forbidden knowledge ipi hiyo unayoongelea, nadhani hujaeleweka vizuri hapo juu maana umetoa tu maelezo kua knowledge flani imefichwa, ipi hasa unayojaribu kuiongelea wewe??

Jaribu kupitia na comments za watu, utakuwa umepata jibu maridhawa
 
#KINGO mi wala sijaelewa issue yenyewe mi nilikuwa nataka uweke ubaoni watu wasome na kama kiingereza kitafsiriwe kwa lugha ya kiswahili ili kupata wachangiaji wengi na wengi wataipenda mada hii na utakavyoflow
 
FALSAFA Kwa ufupi kabisa ni kuwa hii inayoitwa forbidden knowledge, ni suala linalohusu jinsi baadhi ya watu (secret societies) walivyo/wanavyojaribu kutengeneza historia ya dunia kwa manufaa yao kwa njia mbalimbali, kuanzia dini (zote) hadi siasa na kumjengea uwezo mdogo binadamu (wa kawaida?) kuendelea kuwa tegemezi kifikra, mtazamo na ukombozi wake mwenyewe, bila kumpa nafasi ya kutumia nguvu na uwezo wake asili (energy?) katika kupambana na kuulewa ulimwengu bila kufikiria na kutegemea "huruma" na msaada wa (M)ungu!
Wanatengeneza kila aina ya dini na mungu na maarifa gani yatolewe kupititia elimu ya kawaida, kupotosha au kufisha kabisa elimu ya awali ya kale ya makabila, mababu ambayo kwayo kama ingepatiwa kwa kila mtu basi uoga na tegemezi kwa watu wachache na (M)ungu ungekuwa mdogo mno. Topic ni ndefu.
 
Last edited by a moderator:
unaona bwana $KINGO hapo kidogo inakuja. kama vp hua uweunaflow kidogo kidogo siku baada ya siku kama ulivyotiririka hapo mwanzoni maana usgaribu huu UZI maana mtamu sana.cha kufanya uwe unapanga muda uwe unaendeleza huu uzi kwa manufaa ya WANAJF na kizazi kijacho.Ukipata nafasi endeleza mi binafsi nimeupenda huu uzi,SI UNAJUA ALAMBAE ASALI HUWA ALAMBI MARA MOJA,.
 
Back
Top Bottom