Bangsweezy
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 880
- 200
stori hii je inahusisha kitabu cha enock kilicho zuhiliwa kuwekwa kwenye biblia.?
kama ndohivyo basi kutakua na ukweli hapo maana nasikia hata vitabu vya kwenye biblia wamechagua vinavyo wafavour sio vyote vimewekwa
naomba majibu kwa mwenye uelewa zaidi juu ya mambo hayo
kama ndohivyo basi kutakua na ukweli hapo maana nasikia hata vitabu vya kwenye biblia wamechagua vinavyo wafavour sio vyote vimewekwa
naomba majibu kwa mwenye uelewa zaidi juu ya mambo hayo