Forbidden knowledge, why?

stori hii je inahusisha kitabu cha enock kilicho zuhiliwa kuwekwa kwenye biblia.?

kama ndohivyo basi kutakua na ukweli hapo maana nasikia hata vitabu vya kwenye biblia wamechagua vinavyo wafavour sio vyote vimewekwa

naomba majibu kwa mwenye uelewa zaidi juu ya mambo hayo
 
Bangsweezy@hapa siyo kweli kabsa kua vitabu vya biblia vimewekwa kwa kuwafavour wao,ukilejea kwenye ule mkutano wa ma askofu wte wa rumi ya kale kati ya kanisa la mashariki na magharibi aka council of nacea unaeleza vuzuri kwanini vitabu flani flani viliachwa kuambatanishwa dani ya biblia ya vitabu 66,sababu yakila kitabu kilichoachwa zilitolewa kuepuka kuingiza vitabu ambavyo waandishi wake walitiliwa shaka kama ni wakristo nk
 

Raha ya accounts nyingi za biblia ni figurative and symbolic! Nyingine zimechota maarifa na historia mbalimbali kutoka makabila ya kale.... Ukifuatikia kwa ukaribu historia ya biblia na makabila ya ulimwengu kuna aina fulani ya uwiano wa matukio, ngano na maarifa, ni kwa kiasi gani ....
 
Ngoja nikipitie kwanza. Nitarudi kuchangia Mada. Asante kwa Taarifa.
 
Mara nyingi huwa najiuliza kwanini kila jambo linalohusu dunia mf. maendeleo ya kiteknolojia na mambo ya anga, wanaoyajua ni wazungu tu, na yanatoka kwao tu, je ni kwamba waafrika hatuna maarifa ama wazungu wana siri fulani kuhusu dunia hii...
Kweli endeleeni kutujuza tuwe na ufahamu, uzi mzuri sana huu
 
The Master huu kweli ni uzi mzuri sana leo umetuwekea hapa.Kwanza naanza na kitu inayoitwa GREEK CIVILAZATIONS ,hii civiliazant ya dunia ya leo kiukweli haikuletwa na wagiriki ni ilitokana na mtu mweusi yaani muafrika.Greeks ni wezi wa civiliazation yetu. Hii elimu karibu yote ilitokea kwetu na ilifanywa kuwa kitu cha wachache (wazungu) na utaalamu wote ndani yake ulifanywa ni wao wenyewe na sisi wenye asili nao tukawekewa vikwazo,vitu kama utawala wa anga ni vitu vyetu nisisi ndio tulioanza kusafiri kutumia nyota baharini kabla ya mtu yeyote yule hapa duniani.Utaalamu wa kutumia vitu ka compass kusafiria tulivigunduwa sisi lakini hii leo utaonyeshwa vitabu alivyoandika scientist wa kifaransa au mzungu yeyote yule lakini manyanga yote tuliyaanza sisi weusi.Nakupeni hivi vitabu jaribuni kuvisoma ka ikiwezekana labda vitasaidia kupanua skope zenu.1,Stolen Legacy2.Black Athena3.They came before Columbus humu mtakutana jinsi the great Mansa Mussa alivyokuwa na utaalamu wa kusafiri majini(baharini)na mtaonyeshwa jinsi Christopher Columbus alivyofika Americas.Nimejaribu kuchokonowa kidogo na kunywa kidogo juice na yote ninawaachieni wenyewe.M/Mpamba.Peace!
 


Great mkuu kwa kuongezea kuna watu niliwah kuwackia japo cna sana knowledge nao. Mmoja wao alikuwa anaitwa Hannibal Barca alikuwa from North Africa alisumbua sana utawala wa Roma tena resource zake was from Africa lkn habari zake watu hawaziweki wazi.
 
In 221, Hasdrubal was murdered and the Carthaginian soldiers in Iberia elected Hannibal as their commander, a decision that was confirmed by the government.The twenty-six-year old general returned to his father's aggressive military politics and attacked the natives, capturing Salamanca in 220. The next year, he besieged Saguntum, a Roman ally. Since Rome was occupied with the Second Illyrian War and unable to support the town, Saguntum fell after a blockade of eight months. Already in Antiquity, the question whether the capture of Saguntum was a violation of a treaty between
Hasdrubal and the Roman Republic was discussed. It is impossible to solve this problem. The fact is, however, that the Romans felt offended, and demanded Hannibal to be extradited by the Carthaginian government.
 
Kuna mambo mengi sana ambayo hatuyajui wengi ila wachache tu wanaojua kila kitu. Na ndo hao walioamua kuhide hizo knowledge wakaziita forbiden knowledge.

Nimeibiwa vitbu vyangu vinavyohusu hasa hizi forbiden knowledge ningevileta hapa tukachambua wote. But unaweza kugoogle the secrets of eden kama sijakosea, tuanzie hapo kisha tutaendelea.,
 
THE BOOK OF THE SECRETS OF ENOCH. THIS new fragment of early
literature came to light through
certain manuscripts which were
recently found in Russia and
Servia and so far as is yet known
has been preserved only in Slavonic. Little is known of its
origin except that in its present
form it was written somewhere
about the beginning of the
Christian era. Its final editor was a
Greek and the place of its composition Egypt. Its value lies in
the unquestioned influence which it
has exerted on the writers of the
New Testament. Some of the dark
passages of the latter being all but
inexplicable without its aid. Although the very knowledge that
such a book ever existed was lost
for probably 1200 years, it
nevertheless was much used by
both Christian and heretic in the
early centuries and forms a most valuable document in any study of
the forms of early Christianity. The writing appeals to the reader
who thrills to lend wings to his
thoughts and fly to mystical
realms. Here is a strange
dramatization of eternity--with
views on Creation, Anthropology, and Ethics. As the world was made
in six days, so its history would be
accomplished in 6,000 years (or
6,000,000 years), and this would
be followed by 1,000 years of rest
(possibly when the balance of conflicting moral forces has been
struck and human life has reached
the ideal state). At its close would
begin the 8th Eternal Day, when
time should be no more.
 
watu wamekaa chini wakamtengeneza mungu na vitabu vyake na huko kumtegemea ndo kutiana umasikini ,habari everything happened ni god plan kwa kweli ni udhaifu sana tunahitaji kutoka kwenye dark age na tufute nadharia ya mungu akili I hopefully tutaweza kutoka kwenye umasikini huu Two hands working can do more than a thousand clasped in prayer
 
Asante wakuu mliotupia soft copy. Nashukuru na sisi tutapata knowledge humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…