UTAMTILIA SHAKA MTU ALIYEKUSANYA HISTORY YA YESU? MFANO BARNABA (INJILI YA BARNABA,KITABU CHA ENOCK n.k HAPO MI NAONA WALINYOFOA VILE AMBAVYO VILIKUWA VINAWAFUNGA NA KUWEKA VYA KWAO VYA KUWAFAIDISHA.Bangsweezy@hapa siyo kweli kabsa kua vitabu vya biblia vimewekwa kwa kuwafavour wao,ukilejea kwenye ule mkutano wa ma askofu wte wa rumi ya kale kati ya kanisa la mashariki na magharibi aka council of nacea unaeleza vuzuri kwanini vitabu flani flani viliachwa kuambatanishwa dani ya biblia ya vitabu 66,sababu yakila kitabu kilichoachwa zilitolewa kuepuka kuingiza vitabu ambavyo waandishi wake walitiliwa shaka kama ni wakristo nk
NDO UJIULIZE KWA NN WAO WANA MFUMO MWEPESI WA ELIMU TU NA SS TUNA MFUMO MGUMU WA ELIMUMara nyingi huwa najiuliza kwanini kila jambo linalohusu dunia mf. maendeleo ya kiteknolojia na mambo ya anga, wanaoyajua ni wazungu tu, na yanatoka kwao tu, je ni kwamba waafrika hatuna maarifa ama wazungu wana siri fulani kuhusu dunia hii...
Kweli endeleeni kutujuza tuwe na ufahamu, uzi mzuri sana huu
foolwatu wamekaa chini wakamtengeneza mungu na vitabu vyake na huko kumtegemea ndo kutiana umasikini ,habari everything happened ni god plan kwa kweli ni udhaifu sana tunahitaji kutoka kwenye dark age na tufute nadharia ya mungu akili I hopefully tutaweza kutoka kwenye umasikini huu Two hands working can do more than a thousand clasped in prayer