Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mtz ni mtz tu hata hao mainjinia nao uadilifu ni tataView attachment 2479630
Force Account at village level!
Watu nanafikiri kujenga choo hata cha shimo, kama nyumbani kwake, ni simple business.
Wanafikiri ni kutandika vyuma na kumwaga zege, Fundi Maiko style.
Sasa katika clip, hata malaymen kijijini hapo wametambua kuwa kitu kinajengwa kiholea na kinatishia maisha ya watoto wao.
Force Account na fundi Maiko wanataka kuua.
Wananchi wako macho,nao si wajinga, wanajua viwango!Safi kabisa wananchi!
Waache wale vya mwishomwisho... Tamati yao haiko mbaliView attachment 2479630
Force Account at village level!
Watu nanafikiri kujenga choo hata cha shimo, kama nyumbani kwake, ni simple business.
Wanafikiri ni kutandika vyuma na kumwaga zege, Fundi Maiko style.
Sasa katika clip, hata malaymen kijijini hapo wametambua kuwa kitu kinajengwa kiholea na kinatishia maisha ya watoto wao.
Force Account na fundi Maiko wanataka kuua.
KabisaWananchi wako macho,nao si wajinga, wanajua viwango!