ilinibidi nianze kujiliza yale maswali muhimu diani. like who am I? whats my purpose in this world? will my life always be like this? where did I go wrong... yani ilibidi nianze kufikiria maisha yangu, je tutafika huko pia sisi ama ni kujidanganya ndo tunafanya, na nini itabidi nifanye nifike hukoKwakweli nmejiona kama siishi duniani.. ! [emoji20] [emoji20] [emoji20]
You have a point. Why should Kenyans (and any other African) marvel at a vehicle made thousands of miles away??
Instead of coming up with our own products that would compete with the westerners, we play dumb as they shock and awe us with their machines.
The battle of this world has always been the battle of the mind. If your mind is defeated, you are going nowhere. If we want to get to where they are, we have to produce and manufacture our own.
ilinibidi nianze kujiliza yale maswali muhimu diani. like who am I? whats my purpose in this world? will my life always be like this? where did I go wrong... yani ilibidi nianze kufikiria maisha yangu, je tutafika huko pia sisi ama ni kujidanganya ndo tunafanya, na nini itabidi nifanye nifike huko
kweli kabisa, hivi maisha ya kutaka ubakie pale pale ndo chanzo cha underdevelopment. Kwa nini wewe usienjoy hiyo Mustang?ndio umuhimu wa kuwa na hivyo vitu huku maana vinatia hamasa. Mimi binafsi haya magorofa ya Nairobi ndio yalinifanya nipige moyo konde na kuamua kutia bidii ndani ya maisha. Siku moja, miaka ya hapo awali nikiwa dogo, nilikua nimetulia pale bustani ya Uhuru park, maeneo ya juu karibu na community, ambapo ukiwa hapo unapata picha nzima ya magorofa ya Nairobi.
Nikaanza kujiuliza maswali mengi sana, hivi haya magorofa ni kwa ajili ya nani, mbona nisiwepo humo pia, umuhimu wangu kwenye maisha ni nini, miundo mbinu hii ipo kumnufaisha nani, waliopo humo wana nini zaidi yangu, haja gani ya kuishi kwa mazoea....nilijiuliza maswali karibia mia hivi.
Hapo nikafanya maamuzi yaani lazima nitoke kimaisha, KWA HERI AU KWA SHARI.... nikaanza kupambana bila kupoteza wakati, nikasomea kila nilichokutana nacho, nikabadilisha aina nyingi za ajira...... Hivyo kifupi, tunahitaji hayo mavitu humu.
You have a point. Why should Kenyans (and any other African) marvel at a vehicle made thousands of miles away??
Instead of coming up with our own products that would compete with the westerners, we play dumb as they shock and awe us with their machines.
The battle of this world has always been the battle of the mind. If your mind is defeated, you are going nowhere. If we want to get to where they are, we have to produce and manufacture our own.
Nyie manyang'au tafuteni forums za Kikenya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah kiswahili cha Kenya knanifurahsha xna
Mtetemeko = tetemekoWeye zumbekuku hukufa na mtetemeko wa ardhi?
π‘
Kelbu wahed!
Mtetemeko = tetemekoWeye zumbekuku hukufa na mtetemeko wa ardhi?
π‘
Kelbu wahed!
nakwambia, mawazo kama hayo ndo yalikua yananpitia akilini, hii ndo maana siku zote, afadhali umkubali jirani akifanyikiwa, hata kama uko na ka wivu ndani yako, usimuombee mabaya, chukua huo wivu wako, ongezea na hasira zinazokuja nao alafu tumia hizo nguvu kama inspiration ya pia wewe kufanya bidii ili ujiinue na usiskie wivu tena........... lakini ukiwa na kiburi kiasi cha kua hautaki kukubali mafanikio ya jirani yako ama unafanya juu chini ili kusababisha jirani yako haendelei.... hio inamaanisha nyote mtabaki sawa sawa, hakuna atakae kua anatia moyo mwezie kwa jitihada na mafanikio yake, ziku zote mtakua nyote mna think small, mwishowe unakuta badala ya kugombana nani atachangia kujenga barabara ya lami ipite mbele ya nyumba zenu mnabaki kugombana kuhusu ukipika Omena usifungue dirisha ya mbele,hio harufu hua inapigwa na upepo inakuja kwa nyumba yangundio umuhimu wa kuwa na hivyo vitu huku maana vinatia hamasa. Mimi binafsi haya magorofa ya Nairobi ndio yalinifanya nipige moyo konde na kuamua kutia bidii ndani ya maisha. Siku moja, miaka ya hapo awali nikiwa dogo, nilikua nimetulia pale bustani ya Uhuru park, maeneo ya juu karibu na community, ambapo ukiwa hapo unapata picha nzima ya magorofa ya Nairobi.
Nikaanza kujiuliza maswali mengi sana, hivi haya magorofa ni kwa ajili ya nani, mbona nisiwepo humo pia, umuhimu wangu kwenye maisha ni nini, miundo mbinu hii ipo kumnufaisha nani, waliopo humo wana nini zaidi yangu, haja gani ya kuishi kwa mazoea....nilijiuliza maswali karibia mia hivi.
Hapo nikafanya maamuzi yaani lazima nitoke kimaisha, KWA HERI AU KWA SHARI.... nikaanza kupambana bila kupoteza wakati, nikasomea kila nilichokutana nacho, nikabadilisha aina nyingi za ajira...... Hivyo kifupi, tunahitaji hayo mavitu humu.
Mtetemeko = tetemeko = MTETEMEKOMtetemeko = tetemeko
Mtetemeko = tetemeko
Lafdhi zipo TOFAUTI kabisa na tusilazimishane tafadhali........On'ger!
πππππ............sisechi kabisaa!hehehhe brathe naona hupendi ujinga na husechi!! isorait!