Ford Nyeupe - Ubungo Intersection to Sam Nujoma Road

I
Mie naendesha na mara zote nakuwa nimevaa dera. Bibi mwenye magego yake ila Matata sana
We bibi usinilishe malimbe ga Mbagala kwamba wewe ni dereva wa motorcycle ya walemavu wa miguu hii sio kweli
 
I

We bibi usinilishe malimbe ga Mbagala kwamba wewe ni dereva wa motorcycle ya walemavu wa miguu hii sio kweli

Kama huamini basi.

Ila mie bajaji ndo usafiri wangu hapa mjini.

Hiyohiyo pikipiki ya matairi matatu aka guta lenye mota πŸ˜….
 
Kama huamini basi.

Ila mie bajaji ndo usafiri wangu hapa mjini.

Hiyohiyo pikipiki ya matairi matatu aka guta lenye mota πŸ˜….
Nitaamini siku ukinipa lift ya kutoka Mbagala hadi Mbezi shamba kwa Magufuli
 
Hahahahaha bhas nimejifunza sitorudia..ila mda unaruhusu au unawahi folen

Na isirudie kwelii

Maana dude likiamka kulilaza majogooo....! Tena kwa mbindeeeeπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Dolari zikiwepo muda sio tatizoo...😁
 
Nitaamini siku ukinipa lift ya kutoka Mbagala hadi Mbezi shamba kwa Magufuli

Panga siku na muda. Usijeomba kushuka njiani tuu maana utafika salama ila maspidi kibao wakati chombo cha mwendo wa kobe πŸ˜….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…