Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Subiri comment kama"inakula mafuta sana iyo"spea zake azipatikani"
"iyo ni namba D?"
Kuna watu kama gari sio namba D bado awajakuelewa.Namba D
Imesimama mno mkuu.Nijichange tumhame mjerumaniFord raptor inaubabe flani hivi
Kuna watu kama gari sio namba D bado awajakuelewa.
Gari ya kiume hiyo,heshima sanaWakuu jumapili inaendaje,
Nina week tu tangu niachiwe hii chuma cha FORD RANGER na ofisi baada ya dereva kupata matatizo.
Nilipata tabu sana mwanzon nilikua sijamasta vzr manual japo nilikua najua coz nilisoma Driving school. Ilinichukua siku 3 tu kuimasta vzr aisee sahv nateleza tu, hii gari ni tamu sana inachochea balaa na ina balance road. Toka nianze endesha hili chombo sitaman tena automatic sahv ni mwendo wa clutch tu.
Ukiingia sehem na hii ndinga kila mtu anaangalia afu wanakuta unashuka janky tu, heshima sana kwakweli[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Nikipata hela ntanunua hii chombo ipo kwenye plan zanguView attachment 1736781
[emoji120]View attachment 1736782
Same here.. Toyota kwa sasa wanawekeza sana kwenye gari za mtindo huo (double/super cabin) hivyo najikuta ndoto zikihamia kwenye toyota siku baada ya sikuGari kubwa kama hizo hasa diesel ukitaka kufaidi vizuri chukua manual transmission gearbox.
Ni tam sana hasa upate safari ndefu kama Dar to Mwanza ama mbeya.
Nb; Ford wako vizuri japo naprefer Hilux D4D invincible 3.0 diesel
Wala haina gharama kubwa,za matunzo km wengi wanavyodhania.Chuma nakilia timing sana hicho. Heshima kwa Ford. Gari ya kiume sana. Naendelea kukusanya information kuhusu maintenance yake hapa mjini!
From VW to raptorImesimama mno mkuu.Nijichange tumhame mjerumani
Wanajitahidi sana halafu uzuri gari zao ni reliableSame here.. Toyota kwa sasa wanawekeza sana kwenye gari za mtindo huo (double/super cabin) hivyo najikuta ndoto zikihamia kwenye toyota siku baada ya siku
Hizo gari zinasumbua, Pasua Kichwaa🤣🤣Subiri comment kama"inakula mafuta sana iyo"spea zake azipatikani"
"iyo ni namba D?"
ikiharibika taa moja ya mbele aandae milioni 3 hapo bila ufundi....Hizo gari zinasumbua, Pasua Kichwaa🤣🤣
Wanazingua mnooo aisee🤣🤣ikiharibika taa moja ya mbele aandae milioni 3 hapo bila ufundi....
cc: TeamNumberD