callmeGhost
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 278
- 831
Used mpaka Dar zina range $13000-$18000, inategemea na mileage. Ila sisi tulinunua new maana ilikuwa ya kampuni ya Mzee, alileta 5, kila moja mpaka Dar ilikuwa $45000, 4*4 DX, 2.3L diesel 6 speed manual double cab.Naomba bei ya Navara mkuu hasa kama used ipo
Ok..Ford Ranger kimuonekano ni kali kuliko Toyota Hilux. Hata ukiwa nayo ya mishe za town hakuna atakaekushangaa. Wahindi wanazipenda na wamezipimp balaa. Ila Hilux Baba Lao bana.
Ford kwenye tope na mishe za Shamba unaionea tu. Bora uende nazo picnic ubebe crate za bia na mengine.
Ila Hilux nahisi ikiona tope lile la mfinyanzi inasemaga Yay [emoji12][emoji12]. Tena ikiwa na mkonga inapendeza sanaaa.
Amarok sina experience nayo but kimuonekano inanikumbusha Dodger truck. I think experience yake itakuwa marvelous pia.
Ford Ranger kimuonekano ni kali kuliko Toyota Hilux. Hata ukiwa nayo ya mishe za town hakuna atakaekushangaa. Wahindi wanazipenda na wamezipimp balaa. Ila Hilux Baba Lao bana.
Ford kwenye tope na mishe za Shamba unaionea tu. Bora uende nazo picnic ubebe crate za bia na mengine.
Ila Hilux nahisi ikiona tope lile la mfinyanzi inasemaga Yay 😜😜. Tena ikiwa na mkonga inapendeza sanaaa.
Amarok sina experience nayo but kimuonekano inanikumbusha Dodger truck. I think experience yake itakuwa marvelous pia.
Iliyosimama ya kugeuza shingo usikose 40Ok..
Mkuu hivi Holux inachezea ngapi?
Kali Sana.Ford Ranger gari ya starehe....siyo gari ya kuendesha kwa hela ya mafao. Sina experience na Hilux. But mimi both interior na exterior ya Ford Ranger naielewa sana!
Ford wameiwezea ile appearance ya nje tu.Ford Ranger kimuonekano ni kali kuliko Toyota Hilux. Hata ukiwa nayo ya mishe za town hakuna atakaekushangaa. Wahindi wanazipenda na wamezipimp balaa. Ila Hilux Baba Lao bana.
Ford kwenye tope na mishe za Shamba unaionea tu. Bora uende nazo picnic ubebe crate za bia na mengine.
Ila Hilux nahisi ikiona tope lile la mfinyanzi inasemaga Yay [emoji12][emoji12]. Tena ikiwa na mkonga inapendeza sanaaa.
Amarok sina experience nayo but kimuonekano inanikumbusha Dodger truck. I think experience yake itakuwa marvelous pia.
Hivi Ford inatofautiana manufacturer?Ford wameiwezea ile appearance ya nje tu.
Ila kwa ndani ipo very basic halafu haina mbio.
Ford wameiwezea ile appearance ya nje tu.
Ila kwa ndani ipo very basic halafu haina mbio.
tatizo la amarok hazina engine zenye Hp kubwa. hapa hata toyota kamzidi
Ni Mashine nzuri,ila spare zake ni gari sana ukilinganisha na Toyota models.Kiukweli mi naikubali hii gari, kwanza mwonekano wake ni Luxury halafu pia iko tough kwa masafa marefu.
Wadau mnasemaje kuhusiana na mambo ya kiufundi, ubora, bei, na mengine mengi juu ya hii gari?
View attachment 583964
Ni umaskini tu hivi ukiwa na cash hata Million hamsini utawaza spearNi Mashine nzuri,ila spare zake ni gari sana ukilinganisha na Toyota models.
Zinatoka Thailand na S.A. ila ni hizi tunazoziona huku kwetu.Hivi Ford inatofautiana manufacturer?
Bro.Mbio za kwenda wapi? Inategemea na matumizi yako mkuu. Kama unataka ya Rally hapo sawa. Lakini kama ni hizi mishe kwenye barabara za Kunenge speed iko powa........Hivi Tz kuna barabara za kupiga gear zaidi ya 120+? Mi naona hapo ni kumjaribu Muumba wako tuu hakuna namna.
Wengi tunapenda Toyota kwa sababu ya changamoto za barabara zetu na uwezo wa kiuchumi pia. Ukweli ni kwamba hata ungekuwa na kipato cha chini uwezo wa kumilika usafiri wa Toyota upo. Imagine million tano unapata ndinga...Ni kama VW Ulaya....
Mwisho wa siku mabeberu wanafanya biashara. Kuna nchi unaweza tembea asubuhi mpaka jioni....hujakutana na Toyota. Ni swala la marketing na ushawishi. Hivi kiuhalisia ni waTz wangapi wanaweza kuvuta V8 au V10? Ndo maana mengi ni ya serikali ambayo yanalipiwa na kodi zetu. Au hata gari mpya wangapi tunaweza kuzimiliki? Ni wale wale..usual suspects.
In all kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake. Sioni kwa nini mtu mwenye uwezo wa kuvuta machine ya 100+ awe na mawazo ya spare parts za million 5+.
Choices have consequences ! Na by the way kwenye uchumi wanasema.. jinsi hali ya uchumi inavyoimarika hata tastes zinabadilika. Ni kanuni ya maisha!
HilUx D4D invincible hapa umenimaliza kabisa.Ifananishe na toyota hilux, nissan navara, Mitsubishi Triton, Isuzu double cab, mazda bt-50 na Volkswagen amarok halafu utupe mrejesho. "The battle of the Titans".
Hilux is the best asikwambie mtu. Hizo nyingine weka pembeniKuna video fulani YouTube ilikuwa ina compare haya magari. Walikuwa wanaangalia lipi lina nguvu. Toyota Hilux ili yavuta yote. Najua hii sio comparison nzuri, cause type ya tyres na ubora wake una matter.
Toyota Hilux ili lose kwenye comfortability na having cheap interior. But at the end waka conclude kuwa Toyota hilux is the king of Off-Road(just like the brother Land Cruiser V8). Lakini kwenye terms ya on-road, Amarok na Ranger zinachuana.
Conclusion:
Personal experience, tulishamiliki Amarok, Navara na Hilux. Amarok tamu ila sasa issue spare. Off road ilikuwa poa tatizo it felt like it didn't wanna go there. Yani mpaka wewe mwenyewe unasema hili gari la masaki la kubebea Windhoek. Kwanza tulikuwa Kahama, tulipata puncher mara 7 in 2 days[emoji15] [emoji15] sijui bad luck au tyres zake vimeo. Kuja kupata spare sasa... Mpaka Dar, schedule ikaharibika. Nivara, sina usemi aisee. It did fine. But seats zinabana. Lastly Toyota Hilux the animal 2013 model, this thing was a beast tyres hatujawahi kupata puncher, tunabadilisha miles zikifika. It screams 'I want to go Off-Road' hii machine haijawahi nidissappoint. Spares kwa wingi, very powerful and economical. Mie sijali sana kuhusu luxury but to me naona it was enough. Btw ilikuwa Diesel 4 cylinder. To me Toyota Hilux trumps all the above [emoji115] [emoji115] [emoji115]
-callmeGhost