onyo Kali......
re: Foreign Investor In Racism Row
Wabongo Wavivu Wa Kufanya Kazi. Wakimpata Mzungu Anayewafuatilia Wanaanza Chokochoko
By Fairplayer
The Work Was Never Done" Kama Huamini Nenda Selous
1.acheni Ku Spin. Wabongo Tu Ma Lazy Sana, Tulizoea Kufanya Kazi Kijamaa Zaidi. Unaingia Ofisini Saa 3 Asubuhi Saa 4 Unaenda Kunywa Supu Saa 7 Chakula Saa 9 Umeondoka Job.sasa Wazungu Wakibana Mnaanza Zenu? Kama Una Tabia Kama Hiyo Mzungu Akikuita We Black Ni Lazy Sana Atakuwa Kakubagua? Mbona Kenya Hawalalamiki Na Wamo Kibao Hapa Tz, Ni Kwa Kuwa Wapo Competent.
Watu Wangu Weusi, Nyanyukeni Pigeni Mzigo Mheshmike, Msibakie Kila Siku Kulalamika Utafikiri Mablack Wa Kimarekani! Mwenye Kuchukia Ameze Vyupa!
By Fairplayer
2.bongoland Hii Nchi Ambayo Ccm Inasema Bado Inaendesha Siasa Ya Ujamaa Na Kujitegemea.hii Ndo Inaharibu Akili Za Hawa Watu, They Dont Think Like Capitalists, They Lack Exposure.
By Fairplayer
onyo Kali!
Kwa Masikitiko Makubwa Natoa Onyo Kali Kwa Watu Wenye Mawazo Ya Ki-maamuma Ambao Baada Ya Kusomeshwa Na Fedha Za Wakulima Wanaoshinda Mashambani Mchana Kutwa Wakilima Na Jembe La Mkono Wanarudi Na Kuwatukana Kwa Kuwaita Wavivu!
Baada Ya Kukusomesha Wewe Umewasaidiaje Kuondokana Na Huo "uvivu"??????
1.hapana Ni Wewe Umerudi Na Kuwaibia Fedha Yao Ya Ngama (wewe Unaiita "vijisenti") Na Kwenda Kuificha Ughaibuni???
2.hapana Walipokuwa Na Matatizo Ya Umeme Wewe Umewanunulia Majenereta Feki???? Sasa Watapata Wapi Kwa Kuanzia?
3.hapana Ni Wewe Ulipoona Uchaguzi Unakaribia "ulivunja" Hazina Na Kukomba Fedha Yao Yote Ya Ngama Iliyokuwepo???
4.hapana Ni Wewe Walipokutuma Ukawanunulie Matrekta Uligeuka Ukanunua "mashangingi" Ya Kutembelea Na Malaya Wako?
Sasa Hata Kile Kidogo Walichokitafuta Kwa "uvivu" Wao Wewe Umekikomba!!! Unataka Waanzie Wapi????? Tafakari!!!!