mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Yaani jana nilikuwa natizama citizen tv ya kenya, Raila Odinga akifungua kiwanda kipya cha bia huko mombasa, sasa nilijisikia kutahayari pale aliposema 'namkoti' kwa kiswahili, "Nchi yoyote haiwezi kuendelea kwa kutegemea wawekezaji wa nje" akimaanisha kuwa wawekezaji wa ndani ndo mambo yote.... kweli nilitahayari kwakuwa mie hapa bongo nimezoea kusikia kila kukicha kuwa wawekezaji hao wa nje ndo wanaoleta maendeleo nchini, na wamekuwa wakija na kualikwa na kutembelewa kila sikuuuu... sasa sielewi lipi ni lipi