ishaanza kitambo sanaNa muda sijaingia humu..naomba kujuzwa lini training itaanza
Training gani imeanza?unaizungumzia ile ya ONTARIO Kwa watu watakaochaguliwa??ishaanza kitambo sana
the very first day i saw this thread i totally believed in it..honestly speaking,i saw some light in it..and i have been working so hard coz i believe this is the chance the Lord has made..not just me but most of us..this Gentleman,Ontario,is a true defination of kindness...not everyone will reveal their financial sources to everyone...but this young man has really proved them wrong...i believe in you Ontario...i believe that you are the instrument of change in our societies..and my Hope is that,WE SHALL ALL GET THERE..wasemao na waseme..kelele za chura hizooo...tutazidi kusonga mbele..Napenda kuuita mwendo wetu Mwendo wa vipara...hahaa...Ontario mkuu,tukaze buti ili kesho waliosimanga leo wavae majezi ya aibuu....let us work hard...everybody who got inspired by this..let us keep the pace..lets keep moving...siku ya siku watatushangaa tukiingia kwa ndege tukiongozwa na mkuu Bavaria kuelekea SA..hahaaa...
waache hao mkuu..lets concentrate on our main interests...
haha hapo nimeongelea siku iliponza safari yangu ya mafanikioUjue maelezo yako tatizo hayapo straight unavyoongea ni kama umefanya vyote hivyo ndani ya siku 1 kumbe unaongelea wiki nzima
Mkuu Saa ngapi na tuko weekend..au unazungumzia ijumaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]kwa juzi nimepata moyo sana wa matumaini, nimefanya trade kwenye demo ndani ya masaa mawili kwa kuanza na mtaji wa dollar 500 hadi kutengeneza dollar 108,000. hizi hasira hazijawahi kumuacha mtu salama.
kwa juzi nimepata moyo sana wa matumaini, nimefanya trade kwenye demo ndani ya masaa mawili kwa kuanza na mtaji wa dollar 500 hadi kutengeneza dollar 108,000. hizi hasira hazijawahi kumuacha mtu salama.
brent oilSoko lipi
Mm moja Kwa moja nahitaji my number 0718905491Ontario na wengine
Leo nimeona nidownload hivyo vitabu ambavyo ni recommended
Ila mimi nitaprint kabisa, sio kwenye printa za black n white bali nitapeleka kwa publishing house(Nafahamiana na watu hao) atakipanga vizuri, ataprint na kitatoka kama kitabu halisia kwani atafanya perfect binding na lamination kwa juu
Sababu ya kufanya hivi ni kuwa mimi huwa ni mvivu wa kusoma kwenye softcopy kwani macho huniuma....
Kikiwa tayari nitawaeleza kwani si wote wanaoweza soma kwenye soft copy
Nikimaliza nitawajulisha wote au nitawasiliana na Ontario afu yeye atawajulisha nyinyi
Ila hili nitafanya kwa ajili yangu na nyinyi ili ikitokea mtu anataka basi vikiwa tayari tutajulishana
Bado hata hakijapangwa kwa ajili ya printingMm moja Kwa moja nahitaji my number 0718905491
Saa nne usiku mkuu.! Nakufungwa ijumaa at 10:00pmLeo soko linafunguliwa saa NGAPI...!?
Leo soko linafunguliwa saa NGAPI...!?
Saa nne usiku mkuu.! Nakufungwa ijumaa at 10:00pm