Okey mkuu inawezekana me nimechanganya kwenye time zone. Asante kwa kurekebishaSiyo saa nne, ni saa 7 usiku
Okey mkuu inawezekana me nimechangaya kwenye time zone. Asante kwa kurekebisha
Kaka Saa7 au saa 6?? Mm najua ni saa sita kamili usiku Jumapili ndio linafunguliwa na kufungwa saa 6usiku ijumaaSiyo saa nne, ni saa 7 usiku
Kaka Saa7 au saa 6?? Mm najua ni saa sita kamili usiku Jumapili ndio linafunguliwa na kufungwa saa 6usiku ijumaa
Mkuu mtu akisema 10 pm gmt kwa hapa bongo n masaa mangapi?Ni 10 PM GMT, wewe unasema saa 6 usiku uliona wapi hii statement.?
Umebadili maisha ya mtu mmoja.Hayo ya kuchafuana yamepita - tupeane ushirikiano in case of anything!!
Weekend motivation
Hua sipendi kabisa kupost screen shots za trades, hasa kama trades si zangu... but hua nakua humbled sasa na incidents zinazomgusa maisha ya mtu directly.
Kuna huyu dogo, nimemzidi kama mwaka au miwili, niseme tulikua nae kitaa kimoja enzi bado niko mtoto. Bahati mbaya huyu bwana hakufanikiwa kuendelea na masomo yake baada ya kufail form 4. Sasa akawa anaunga unga kitaa, akapataga leseni ya kuendesha magari, mwishoe akaja akaajiriwa kuendesha yale magari ya kunyanyua mizigo kampuni 1 ya publishing. But still mambo hayakuchange - coz mshahara alikua anapewa buk 10, akikata nauli na maji anabaki na matatizo.
Sasa huyu dogo hua anajua home ninapoishi nikiwa Dar, akanicheki, akaomba nimsaidie. Mimi nikaona nimpe siri ya forex, lkn bado nilikua nina hofu sana kutokana na uelewa wake na level yake ya elimu, but nikasema nijitahidi nitakavyoweza.
Nikawa nampiga pindi kila siku masaa mawili kwa wiki 2 mfululizo, namuonesha ninavyotrade nk nk, nikamfungulia demo ya 1000 nikawa namtest skills zake.
Sasa J5 nikamwambia aweke pesa aliyonayo ajifunze kutrade, nilikua nahofia sana kwamba ataweza kuunguza account siku ya kwanza, but I just gave him confidence. Akatafuta pesa akapata km dola 150, nikamwambia aongeze zingine 150 ili iwe 300 ili aweze kutrade bila hofu na kupunguza probability ya kuunguza account (kadri account inavyokua ndogo ndio rahisi kwa mtu kuipiga kiberiti). Lkn dogo akasema hapo ndio mwisho wake.
Nikamwambia afanye afanyavyo lkn asitumie lot size kubwa zaidi ya 0.01. Jana ijumaa ndio ametrade kwa mara ya kwanza, na leo ndio akanitumia screen shot hii (nimeiedit ili kuficha baadhi ya info zake)
Hii imenipa motivation sana, hapa ni kama kagonga 5% ya balance yake... hii ni kama 14,000 kaipata kwa muda mfupi sana, hajatumia nguvu nyingi zaidi ya knowledge - ndio pesa ni ndogo, lkn ni wangapi wamenunua bajaji kwa mil 7 na kwa siku hawapati elfu 15??.
Mtu kama huyu mdg mdg ataanza kupiga 20,000 per day, atakuja 30,000 per day atafika kipindi anapiga mshahara wa Professional lawyer au auditor per day. Ni matter of time of learning more about the market na kua mvumilivu.
this boy is a pure definition of a hustler - hana masters, hajasoma international finance, hajui hata definition ya micro economy but he's hungry for knowledge. That's all he has!!
Cheers!! Happy weekend bosses!!
Kwenye demo unapata picha ya jinsi mambo yanavoenda lakini ukiweka hela yako kuna kitu inaitwa Psychology of trading ndo ina husika maana unaogopa kupata lose au kuchoma account yako [emoji4] [emoji4]Pamoja mkuu.. Pia nikuulize tunacho kifanya kwenye demo.. Ndio soko halisi lilivyo.. Au kuna mambo ambayo yamefichwa..? Au ndio ma broker wanawapa new traders motisha..maana naona wadau kwenye demo wanatusua nikiwepo mmoja wao.
Complex
yeah...kwanza kwa kuzingatia avatar ya Ontario nlijenga picha kichwani kuwa maybe ni kijana tuseme umri miaka 28-33 hivi...sasa wacha nigundue kuwa ni young blood kiasi hicho..dah!!kisha ongezea na ile picha ya MLU...ongeza na hii ya Sandile..weeeeeeeh...yani nimekuwa challenged sana aisee..imenibidi nizidishe efforts ili hiki kitu nikielewe kwa usawasawa tena in and out...if only you will pay the required efforts,uzi huu una madini ya kutosha kukufanya one of the few young africans swimming in pure wealth..ila na wewe huo muda ukifika usiwasahau wengine...[emoji120]Am in bro together mpaka SA
Durban huku tunagonga glas na akina MLU [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
mkuu mbona swali lako raisi, embu vuta picha ndio uko soko la kariakoo imefika sa 12na mahitaji bado hujapata na wafanya biashara wanafunga biashara zao, utafanyaje..Swali langu lingene kwa wadau.. Nikiwa nimefanya biashara, ukawa umefika muda soko linakaribia kufungwa wakati huo bado cjafunga biashara coz bado naona nina loss.. Hapo natakiwa kufanya nn,, au nn kitatokea endapo soko litafungwa na mm cjafunga biashara..?
mkuu kuna kitu kinachoitwa roll overs..hizi ni interests unazozipata (whether positive or negative depending on your position in relation to the current trend in the market).Swali langu lingene kwa wadau.. Nikiwa nimefanya biashara, ukawa umefika muda soko linakaribia kufungwa wakati huo bado cjafunga biashara coz bado naona nina loss.. Hapo natakiwa kufanya nn,, au nn kitatokea endapo soko litafungwa na mm cjafunga biashara..?
Swali langu lingene kwa wadau.. Nikiwa nimefanya biashara, ukawa umefika muda soko linakaribia kufungwa wakati huo bado cjafunga biashara coz bado naona nina loss.. Hapo natakiwa kufanya nn,, au nn kitatokea endapo soko litafungwa na mm cjafunga biashara..?
mkuu kuna kitu kinachoitwa roll overs..hizi ni interests unazozipata (whether positive or negative depending on your position in relation to the current trend in the market).
kama ulikuwa tayari unapiga faida kisha soko likafungwa kabla hujaexit,interests zako zitakuwa positive,hii ina maana utapata faida kiasi kikubwa kuliko ilivyo kawaida...
kama ulikuwa kwenye reds,yaani loss,hizo interests zitakuwa negative hivyo utaishia kuwa na loss kubwa by the time soko linafunguliwa for the next sessions..
sasa hapo utapendelea hatua gani?..kufunga soko na loss ya $300 au kungoja hadi roll overs zijumuishwe ili uishie na loss ya $330??
huo ndio uelewa wangu wa roll overs..mitazamo mingine inakaribishwa kwa nidhamu kabisa....
NOTE:usifanye trades zako kwa kuhusisha emotions..imeandikwa mahali kuwa soko halitambui emotions zako hata kidogo..litazidi kufanya litakavyo whether litakuuniza au likakupendelea.
anyway,jifunze kuapply orders zitakusaidia sana mkuu..
Pamoja sana mkuu.. Inapendeza tukipeana maujizi na mauzofu kama hivi..! Ili tukifika class nikuteleza tuu..Hii kitu imenitokea juzi ijumaa kwenye demo account. Trade zote zili stack yaani zilisimama na chart pia ilisimama palepale nilipo ishia na mpaka sasa ipo hivyo.
Ila nilisoma kwenye kitabu kuwa soko likifunguliwa j3 market itaenda kulingana na status ya uchumi kutokana na matukio ya weekend kwahiyo taarifa za uchumi na interest za currencies za j3 zitaathiri chart pengine nisipate faida Kama ambavyo trade nilivyo iacha ijumaa. Nasubiri j3 nione kwa vitendo
Wazo zuri sana mkuu kuhusu traders lounge.ONTARIO
Nimepata wazo.
Unaonaje kwenye hiyo ofisi yako ukawa na Traders Lounge? Yani unakuwa na ukumbi ambao una AC, Wifi, na facilities zote zinazomuwezesha traders kumake money?
Hiyo traders lounge inawakutanisha wale wote wanaofanya live trade toka sehemu mbalimbali za Tz. Kwahiyo wanakuwa wanakuja hapo, inakuwa kama ofisi yao. Wanakutana wana discuss strategies mbalimbali na wanafanya trade zao 'live' hapohapo.
Inakuwa kama lounge fulani hivi..
Na kwa kuanzia, malipo tufanye yanakuwa kama 200$ kwa mwezi kwa kuanzia.. Hiyo inakuwa membership fee.
Hilo ni wazo langu..