Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hivi wadau naona kila mmoja anamshambulia huyu Mberoya.
Naomba achaneni nae msimjibu chochote mnapomjibu ndo mnamuongezea maneno ya kusema sema hovyo hapa.

Fikiria kila anachopost kama kila mtu hareply back (hamjibu chochote) mwisho wa siku atakosa kick kisha atatulia tu ila mnapozidi kurushiana maneno hamtafikia mwafaka na yeye hapotezi chochote maana hiyo ndo kazi aliyotumwa kufanya humu kwenye huu uzi ila wewe na mm tutapoteza maana tungekuwa tumepost mawili matatu ya faida juu ya FOREX lakini hayatakuwepo isipokuwa marumbano na huyu bwana mdogo Mberoya.

DAWA NI MOJA TU USIJIBU POST YA MBEROYA HATA KAMA AMEQUOTE POST YAKO.

PLEASE DON'T REPLY ANY COMMENT FROM MBEROYA OTHERWISE WE ARE SOON GOING TO LOSE FOCUS ON WHAT WE AIM AT.

SALUTE
 
Eti analysis!? Matapeli wa mtandaoni...hahahahahaha
Wewe Mberoya!! Boss Unajua nilikuona tangu jana unacomment hatred, tena with direct personal attacks kwangu, nilinyamaza kimya wala sikutaka kukujibu, but now you are getting to my nerves this deep. Mimi I am so cool, a very cool guy, lkn ukinitibua I'll always get back to u. Sawa!! Challenge me critically with evidence, not just throwing shades and keeping insulting me with empty words. Otherwise wewe ni Kvma - I don't care about ur age, mambo yako ya siwezi kuyaintertain.

Personally nilianza biashara at a very tender age, nikiwa advance tayari nilikuwa well established kuweza kuingiza faida ya 15,000 kwa siku (kitu ambacho naamini hukua unaingiza ukiwa na miaka 25) - and trust me nilipata stiff resistance from my own parents. When I was 20 nikawa na kampuni yangu binafsi ambayo leo hii ikifika mwisho wa mwezi nalipa mishahara wafanyakazi 26. Nina shares kampuni 2 zingine tofauti na 1 wapo ipo Kenya. Na hii Forex inakua kampuni yangu ya 2 ambayo mimi ni largest shares holder (apparently, I am board of director ktk makampuni ma4) at just 23 yrs, we kaa na tabia zako za kike na umri hausimami.

So, You can feel the energy I have, you can measure my boldness. Sasa kwa hapa nilipofikia unadhani Us3ng3 unaoongea unaweza kunirudisha nyuma - like seriously?! Wazazi wangu walishindwa kunizuia kukomalia biashara, wewe kinyamkera utawezaje boss??

Naomba niache nitapeli watu, wewe tangulia mahakamani mkuu, sio kuja hapa kuonyesha your level of stvpidity. My boss, I'm not that easy to break, just to keep u posted.

Tena hapa nikikimbiza mwezi mmoja au miwili namtafuta tapeli mwenzangu Mo awekeze pesa yake hapa tusambae Tanzania nzima... We speak same wall street language, so tunaelewana ndani ya muda mfupi. We endelea kulia lia mtoto wa kiume, sisi tunafanya vitu ambavyo vitaacha legacy.
 

Kaka Lody, this is a down to earth feedback, so emotional. Such an inspiration. Hivi unadhani mimi najisikiaje, kushare knowledge na watanzania wenzangu, kisha iyo knowledge inakua life changer?? Just kwa vitabu nilivyoshare na motivation imekufanya uweze kutengeneza elfu 60 in few hours, tuseme tu ukweli watu, ni wangapi wamenunua Toyota Carry kwa mil 10 na kwa siku hawapati nusu ya hiyo 60,000?? Fikiria kama ukija class na kupata knowledge zaidi. I just love the results bro... Hongera sana BOSS Let's make this journey real, tuwaaibishe wachawi.

Trust me huwezi kupata watu wenye moyo kama wa Bavaria, it's just tooooooo expensive. Nakwambia ukweli, watu wa kwanza kukuvunja moyo ni forex traders wakongwe wenye roho mbaya. Hata kwenye huu uzi kuna forex traders wamechukia sana. I know what I am saying. Personally nimesumbuliwa sana na traders ambao ninawaheshimu sana - mtu ananiuliza Sasa Jeff umefanya Upvmbavu gani kutangaza forex?. Mimi nasema usivunjike moyo boss.

Tutafika, the journey might be tough lkn tutafika tu. Sasa ona hii screen shot. (Huyu ni mmoja ya wanafunzi wa mentor wangu, ambae huyu mentor (south African) amekubali kuja Bongo kwajili ya kunisupport so atakua ktk team. Hongera tena boss.
Mtu anapiga 310,000 kutumia 280,000 tena ndani ya masaa kadhaa tu.

=============================

Ungeniuliza kuhusu broker ninayemtumia mimi, ukifanya deposit yoyote unapata bonus ya 25% ya pesa uliyoweka.
 
Daaah aisee nikiona comment ya Mkuu Ontario najiona sijamaliza chapter kabisa hebu ngoja nitupie nondo tena Niko lesson 5 hapa

NB kwa anae endelea kupiga mwache apinge mbona wengine hadi tuna bet ili kupata pesa sasa anashindwa vipi kubet kwenye forex ?acha tupoteze pesa tu titazitafuta tena!!
 
Hi njemba ikikoment tena basi ni dhahiri shahiri katumwa tena inaelekea huyu thinking capacity yake ni ndogo sana maana sources na information zinapatikana by the click of a baton on Google plus video on You-tube sasa kihere here chake na kuja kuharisha humu without any sources, it good kumchalenge mtu with at least a bit of ur experience au vivd data na sio kukurupuka tu na kudecide kudandia tren kwa mbele, wenzako tushajifunza ''THE ART OF BOARDING THE MOVING TRAIN'' tena yenye spid ya zaid 160ph, ingekuwa busara Unyamaze tu na utu judge on our success in few months,
By the way Bravoo Broo Ontario hoping unamalizia final touches on our new class......
 
So motivational
ONTARIO Ningeomba kujua kama hutojali juu ya broker wako anayetoa 25% ya deposit yako, ni JP Markets or something else.?
 
ONTARIO na wadau wengine, ningependa kujuzwa hivi inawezekana kufungua forex account kwa kutumia sim ya mkononi au mpaka PC?.
 
Nashukuru sana mkuu!!

I was so eager to make this happen, i tried my best!! I had some rise and falls too...but i didn't give up!!!

Speaking of forex brokers, nimewatafuta wazuri ila mwisho wa siku nimejikuta nime stuck kwa hawa xm brokers japo sikujua kama market markers but until now sijaona matatizo yao!!

Kuna siku uliwataja JPMARKETS! hawa ndio nlikua nianze nao kwenye hii round ya tatu!! ila nikaona wanazingua hasa kwenye kujibu emails za verification documents, Nitashukuru pia kama uta share nasi hao brokers wazuri!!

Nikupongeze pia na wewe mkuu, umepitia mengi lakin still umesimama!! Japo kiuhalisia unaweza pitia mengi ila usisite kusimama na kupigania unachoamini!! Na kama unaamini katika Mungu usichoke kumuomba!!

Nikutakie kila la heri na tuendelee kusimama na ku fight pamoja mkuu!!
 
mkuu Ontario... achana na huyu jamaa.. anataka kutupotezea lengo.. hao ndo wale wabinafsi.. but trust me.. waweza kuta nae anasoma forex kwa kupitia uzi huu huu wa kwako.. haters hawaishigi hata siku 1
 
EUR/USD next week projections.

Naendelea kula tizi za kuchora trend lines hapa. Na hapa nimemaliza kuanalyse na hiki ndo nilichokiona.


EUR/USD Monthly

Nilichoweka hapo juu ni Monthly candlestic chart ya EUR/USD

1. Nimegundua hii pair ilishuka toka mwaka 2014 mwishoni, na toka kipindi hicho haijapanda tena thamani.hata hivi sasa. Nilijaribu kuchambua zaidi sababu iliyofanya Euro ishuke thamani dhidi ya dola nikakutana na sababu kama Greece fear, imposing of new ECB laws nk. Kitu ambacho sidhani kama kimebadilika hata sasa ukizingatia hata sasa kuna Brexit around the corner
3 reasons the euro is plunging

Nikatoka hapo nikachambua Weekly chart.


EUR/USD Weekly

Katika weekly chart so far nimeweza come up with two trend lines ambazo ni bullish. ambapo somewhere kwa nyakati tofauti zinaenda kukutana na resistance line ambayo imekuwepo toka mwishoni mwa 2014.

Basing on this, natarajia bearish movement kwa wiki ijayo kwani siamini kama Euro itaimarika dhidi ya dola ukizingatia level iliyo sasa ni haijavukwa toka mwaka jana september. Hata kama itaimarika haitoimarika kubreach resistance iliyokuwepo toka 2014 mwishoni. Ingawaje katika hili kuwa sure ni lini na wapi uuse hii pair naona ni swala la indicators kwa kuibia linaweza kupa signal.


EUR/USD Daily

Katika chart ya daily hizo bullish movement za hii pair zinaonekana vyema. So ukiwa umepanga kununua hii pair na wewe ni short term trader, Basi kaa kimtegomtego maana muda wowote ngoma inabadilika. Ila kama ni long term montly trader unaweza sikilizia kidogo ukauza hiyo pair kwani i expect mwezi ujao price itareverse tuu na kuwa bearish.

CC: Ontario, Bavaria.
 
Ontario achana na hao wenye roho ya kwa nini. Mimi binafsi kiuchumi Nina hali mbaya ingawa nina degree na GPA ya maana kabisa. Ujio wa hii elimu ya forex hata vyuoni hatufundishwi kama wewe mkuu ulivotufungua akili wengi wetu. Kweli huyo ni kinyamkera kabisa na kwa sisi wanyalu kinyamkera ni sawa na pepo. Hapa sasa najua tunapigana vita ya kiuchumi kama rais wetu anavyosema.Sasa tunakwambia tunasonga mbereeeeeee haturudi nyuma.
 
" FOREX CAN NOT BE CORNERD,EVEN BANKS DON'T HAVE ENOUGH PULL TO REALLY CONTROL THE MARKET FOR A LONG PERIOD OF TIME, WHICH MAKES IT A GREAT PLACE FOR EVEN A LITTLE GUY TO MOVE ON"

Katika kuchimbua knowledge ya FOREX,hayo ni baadhi ya maneno ambayo yanazidi kunihamasisha juu ya hii kitu.

Pamoja sana,The Legend ONTARIO
 
Hahahhaaaaa ...nimecheka sana hapo wakongwe wa forex walivyomwambia ONTARIO sasa Jeff upumbavu gani umefanya kutangaza forex sijui...hii kitu kweli mm ni mgeni Kabisa ila kwa nilivojisomea kwa kiasi...hii sio Biashara ya nyanya kuwa watu wengi wakijihusisha nayo nyanya zitajaa sokoni na kukosa bei...naomba niwaambie wakuda wote....hii inaitwa forex trade babe...na ndo tumeshastuliwa ishu sasa...na nyuma haturudi kamwe.....na muda si mrefu tutaride MaBMW..... tena mweusi tiiiiiiiiiiiiiiii....wakuda wakitaka kuziona waje nje ya the proposed forex lounge Bavaria ..watazikuta nyingi tu...ila sasa hawataweza kuingia lounge...mlango electronic.... P/W ni sura ya member/trader....mwishowe watatuletea polisi ila kwa vile shughuli Zetu zitakuwa zinaendeshwa kihalali watagonga mwamba..


HATERS nendeni mkajinyonge ili msishuhudie haya yanayokaribia kujiri hapa Tanzania..
 

Mkuu inashangaza sana watu wanaumiza vichwa kwa mda mrefu sana wakitafakari ni aina gani ya investment watafanya itakayowaingizia kipato bila kupata majibu wakicheki kila kona mabeki wameshakaba halafu fursa inajitokeza wenye roho mbaya wanaanza kutukatisha tamaa..na mungu aliwaona ndiyo maana hakuwapa ufunuo wakufungua branch hapa bongo hadi alipomfunulia ontario.
 
Mimi ninavyosoma post za ontario na wachangiaji wengine huwa najiona nimeshiba bila kula
 
Wewe hakuna easy money.. macho kodoo! Eti Investiment! Nenda kalime mpunga babu. Hahahhahah[emoji23] [emoji23]
 
Hili darasa halitamwacha mtu yeyote awe wa darasa la saba au chuo kikuu cha msingi awe na nia ya kupambana na kujua kwa nini amzaliwa hapa duniani,huwa najiuliza ni sh ngapi kubet mpira inavyokula hela za watu,lakini kwa forex zaidi pale unatakiwa ni kucheza na chart na akili,
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…