Mpe pole sana Mungu ampe wepesi apone harakathe viking".nawaombeni sana mnisaidie
tuuvushe sisi mwanangu,,salamuni wandugu uzi umepoa duh yaani hata hauvuki page
Mkuu ulipiga kimya
na walioanza cheza live hawaji kuleta feedback humu ndo sababuZa asubuhi wadau,,, Ontario sema neno boss wangu... cjoana comment yako mda kweli yaan.
Pole sana mkuu Viking.... Get well soon.wadau wa jukwaa hili hamjambo?sio mfatiliaji wa uzi huu ila nawapongezeni sana kwa jitihada mlizonazo katika kutafuta uhuru wa kifedha (financial freedom)kupitia ujuzi wa biashara hii.
naamini wengi mnamfahamu mdau mwenzenu "the viking".nawaombeni sana mnisaidie kumuombea maana yupo hospitalini alihusika kwenye ajali wakati akirejea nchini kutoka kenya.nafahamu hili sio jukwaa la mambo ya kihivyo ila kwa vile ni mmoja wenyu msione vibaya kumuombea..ahsanteni...
[emoji15]
Markert.com,option hiyo haikuepo, nikaona nitumie bank wire
Hahahahah Ni OneWay yaan One mistake One go.Kibongobongp watapigwa wengi sana,hasa wapenda shortcut,hii kitu haina shortcut.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona watu wameanza kuwa wadogo hapa.
kuna fursa nyingine mtu unashindwa hata kuwaambia familia maana wanaweza kupoteza pesa nyingi na undugu ukaisha;
hii forex trading imeanza miaka ya 1920s - mbona ujiulizi maswali ya msingi......
kwanini sio kila mtu anayejua ni trilionea sasa hivi tangu 1920?
kwanini kwenye top 100 bilioneas duniani hakuna anaye trade forex kujikimu maishani/for living na wanaijua?
kwanini watu wenye akili zao wameajiriwa serikalini au kwenye makampuni hawana muda na FX;
kwanini kwenye jamii forum watu bado wanaulizia biashara ya kuku na hii thread ya FX iko hapa?
kwanini alianzisha huu uzi ameamua kuwapa hii elimu na angeweza kutengeneza pesa? kwasababu anawapenda?
ILANI: forex trading ni kama madawa ya kulevya, cocaine, heroine.. usipoangalia unaweza kuwa jambazi ili upate pesa ya kuweka kwenye forex trading account;
TUNASHUKURU NDUGU..
Ila kwa sasa huna cha kutubadilisha tumeshafanya maamuzi na FOREX TRADING.
Tumeisoma, tumeielewa na tunaendelea kuielewa! Naomba usiwakatishe watu tamaa kwa sababu pengine wewe imekuumiza au una roho mbaya hutaki watu waijue vizuri!
Kwanza tambua vizuri kuwa FOREX TRADING ilianza kwa Financial institutions only. Individuals like us hatukuruhusiwa kutrade mpaka hapo walipoanzisha mfumo wa kidigitali kutokana na expansion ya technology worldwide. Due to the technology breakthroughs and the expansion of the internet, the Electronic Communications Network (ECN) was introduced in 1990 in the US to facilitate ‘electronic trading’. Kwa hiyo kusema kwamba Forex imeanza tangu mwaka 1920 na watu hawajawa matrilionaire si kweli ndugu. Retail traders kama sisi wameanza miaka ya 1990 kufanya trading! Lakini kutokana na watu wachoyo kama wewe ndo maana hiyo elimu ikachelewa kuwafikia watanzania! ONTARIO go on... go on... go on... Usikatishwe tamaa na hawa watanzania wachache wenye moyo wa jiwe!!!
naona watu wameanza kuwa wadogo hapa.
kuna fursa nyingine mtu unashindwa hata kuwaambia familia maana wanaweza kupoteza pesa nyingi na undugu ukaisha;
hii forex trading imeanza miaka ya 1920s - mbona ujiulizi maswali ya msingi......
kwanini sio kila mtu anayejua ni trilionea sasa hivi tangu 1920?
kwanini kwenye top 100 bilioneas duniani hakuna anaye trade forex kujikimu maishani/for living na wanaijua?
kwanini watu wenye akili zao wameajiriwa serikalini au kwenye makampuni hawana muda na FX;
kwanini kwenye jamii forum watu bado wanaulizia biashara ya kuku na hii thread ya FX iko hapa?
kwanini alianzisha huu uzi ameamua kuwapa hii elimu na angeweza kutengeneza pesa? kwasababu anawapenda?
ILANI: forex trading ni kama madawa ya kulevya, cocaine, heroine.. usipoangalia unaweza kuwa jambazi ili upate pesa ya kuweka kwenye forex trading account;