Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Daah Jamani Mkuu QUIGLEY asante sana kwa elimu yako ya bure ya leo juu ya Payoneer.. Nimefanikiwa pia kufungua account yangu ya Dollar via Online Banking. Kumbe iko facilitated na First Century Bank.. Aisee nimefurahi sana kwa kweli leo!!!

Kwa wale ambao mko interested pia kufungua hii account msisite. Procedures ni rahisi sana zaidi ya unavyofikiria!!
Linki hii hapa ya Kuingia moja kwa moja kwenye application form ya Payoneer!
https://share.payoneer.com/nav/1dDP...KdF7SooaYH0baingL3T0WXMRQIA0S7-UpETWcwEMw-cw2
Ubarikiwe sana Mkuu!
 
SCAM, SCAM ,SCAM nashauri watu waende kwenye main website
 
Kwenye hivi vitabu naona njia nzuri ni kuviblend viwili ama vitatu ili upate desired knowledge. Kwa mimi naona kitabu cha Astro Fx kama kinachanganya vile, siuoni ule mtiririko fulani hivi utakoukufanya uende with the book's flow (labda ni kwa vile wenyewe wana video clips during sessions which work hand to hand with books). Mfano wanakuja tu kwenye graph na kuanza kuichambua kwa kutumia Fibonacci tool huku hata hawajaeleza kinagaubaga ni kitu gani, inabidi uende mbele kama imeelezewa au urudi kwenye kitabu kingine utafute knowledge yake. Kwa sasa naona ni bora niende na vitatu, napiga Astro nikiona chenga nahamia Naked forex then namalizia na forex bible, naamin nitakua nimepata kitu hapo ndo naendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi card nazo ni msaada pia but bado sija apply
Mi nafikiri kama hizo kadi za broker zingekua msaada kwa Tanzania ONTARIO asingetuambia anasumbuliwa kutoa fedha zake bongo,labda hizo card za broker ni maalum kwa nchi flani flani coz wanakua na busness partiner na benk fulani
 
Yani niliangalia nikiwa natamani muda urudi walau dakika tano nyuma lakin ndo basi ikawa imenipita!!! Yani kama mtu uneset sell stop order alafu ikawa triggered mda huu ingekua unacheka tuu!!!

Sijazoea ku trade na pound itabidi niwe flexible sasa!!
GBPJPY huwa tamu sana anza kuifuatilia boss wangu
 
Nadhani kwa sasa wenda hawatumii tena ndio maana!! japo sizani kama kuna broker ambaye hatoi card za atm am not sure though!!
Xm anayo card kwani ndiye ninayemtumia..japo watu wanaogopa spread zake kubwa lkn ni kampuni bora sana na ni la 4 kwa ubora duniani
sasa kinachomsumbua Ontario ni nini mana kwenye post ya mwanzo alipost mpaka na card ya XM, AU KUNA BAADHI YA BROKER HAWANA CARD
 
Uko sahihi...marekebisho kidogo;
Iko hivi, pesa ya kwanza unayoituma kwa broker mfano $100, lazima uwithidrawal kwa same acc uliyotumia kumtumia broker wako, ndipo zinazofuata unaweza kutuma kwa skrill a/c. Hivyo ninyi mnaoanza kwa ufahamu huu msifanye makosa kama mimi niliyeanza kwa CRDB.
Tuma kwa skrill a/c yako ndipo utume kwa broker ili iwe rahisi kuwithdrawal bila kulazimika kurudisha kwa local a/c.

Kuhususu mastercard ya I&M bank na barclays ni kwa ajili ya kudeposit $ zako tu kwa ajili ya kuzituma
 
Mkuu wewe unafaa sana, inapendeza ukisaidika wasaidie na wengine kama ONTARIO alivyotufungua
 
Daaah nashangaa sana pale mtu anapocomment kitu bila kuwa na elimu nacho!! Soma kwanza mkuu upate uelewa ndo ucomment usipotoshe watu!!
Futa ulipo mquote huyo jamaa tusichanganye wadau..tuko hapa kusaidiana wakuu
Mkuu link ya jamaa sio SCAM ila anapata benefit kwa kushare, Angalia web address vizuri mkuu
Naomba ufute ulipo quote jamaa inaleta usumbufu tunachanganya wadau
SCAM, SCAM ,SCAM nashauri watu waende kwenye main website
Futa hiyo post yako mkuu, umeleta usumbufu, hiyo link ni sahihi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…