Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Wadau wote kuanzia mkuu ONTARIO na wachangiaji wote heshima kwenu!
Nimekuwa msomaji tu wa uzi huu toka mwanzo lakini leo nami niweke japo mawili matatu hapa
Toka nijiunge JF takribani miaka 6-7 (Mimi ni Muhenga) nakiri kuwa uzi huu umekuwa Very Educative and Informative too!
Nimepitia karibu comments zote.. nimesoma baadhi ya vitabu lakini nikiri kwamba hata usomaji bila muongozo na ufafanuzi wa Mwalimu inakuwa na ugumu wa kuelewa content na dhamira japo utasoma lugha na kuielewa lakini miongozo ni muhimu huku ukiwa na hazina ya books references kichwani
Kwa maana hiyo pongezi pia kwa waliotafuta vitabu mbalimbali na kuviweka humu na pia kwa wale ambao wametangulia mbele kwenye forex na wakaweza kujibu maswali mengi humu na kuwaongoza wengine
Stages alizofikia mleta uzi si za mchezo mchezo japo ni za muda mfupi
Nimpongeze kwa juhudi zake binafsi nanpia nimpongeze kwa moyo wa kushirikisha..Wazungu wanasema "Sharing is Caring"
Nimeona jitihada za watu kujifunza na kujaribu trading kwa different brokers kwa kadri nafsi zao zinavyowasukuma... ni jambo Jema pia
Kwa ushauri wangu bado naona tunahitaji mafunzo na kuweka milestones kwa kuongozwa na "Mentors" mbalimbali tukianzia na Our First Mentor ONTARIO
Subira huvita heri.. japo kuna muda umepita tangu uzi huu uingie angani na changamoto mbalimbali zimepitiwa bado naamini kwa watakaofanikiwa ku catch up darasa la Sirjeff hakika watafika mbali na nikisema darasa simaanishi forex knowledge tu bali pia moyo, utashi,dhamira na uvumilivu wake katika malengo na zile tahadhari mahsusi kwenye biashara ya Forex
JF ni familia kubwa na wengi hawajuani zaidi ya vikundi vichache wanaointeract kwa ukaribu na baadhi yao wameshafanya mambo ya upamoja kama kuona wagonjwa hospitali na wengine wanatamani kufahamiana huku wengine pia wakiogopana kwa minyukano wanayopeana
Natumaini kupitia hii kutakuwa na muunganiko mkubwa wa wana JF na kuzaa jambo jipya badala ya mambo waliyozoea ya kupashana habari mbalimbali..Elimu..Biashara na kulumbana kisiasa
Kwa kulishukuru jukwaa hili pia wale watakaofanikiwa kuelimika na program hii ya ONTARIO ni vema wakaendelea kuelimisha wengine na kuhakikisha JF inadumu
Nimeona waelimishaji wazuri akina mwl RCT, Lodrick Thomas, QUIGLEY (Mfanananiaji Mwandiko na Ontario) Bavaria DaHustler na wengine wengi ambao sijawataja mungu awabariki
All the best ONTARIO
All the best Members
All the Best Maxence Mello/Mike Mushi, Ashadii, Moderators na JF team mmepambana kufanya Platform ifikie hapa na kuwanufaisha wengi
Kama Mods hamtajali na kwa hisani ya Muanzilishi wa uzi mnaweza kuweka uzi dedicated kwa Forex Books na Materials nyingine ili kuwasaidia wasomaji wapya kupata mahitaji yao kwa urahisi na sehemu moja bila kulazimika kupitiapitia post mbalimbali
Uzi huo utakuwa ni wa Books, Materials, References, Brokers List, Bank Lists nk ONLY!
ONTARIO kanyaga twende!
Nawasilisha!
Nimekuwa msomaji tu wa uzi huu toka mwanzo lakini leo nami niweke japo mawili matatu hapa
Toka nijiunge JF takribani miaka 6-7 (Mimi ni Muhenga) nakiri kuwa uzi huu umekuwa Very Educative and Informative too!
Nimepitia karibu comments zote.. nimesoma baadhi ya vitabu lakini nikiri kwamba hata usomaji bila muongozo na ufafanuzi wa Mwalimu inakuwa na ugumu wa kuelewa content na dhamira japo utasoma lugha na kuielewa lakini miongozo ni muhimu huku ukiwa na hazina ya books references kichwani
Kwa maana hiyo pongezi pia kwa waliotafuta vitabu mbalimbali na kuviweka humu na pia kwa wale ambao wametangulia mbele kwenye forex na wakaweza kujibu maswali mengi humu na kuwaongoza wengine
Stages alizofikia mleta uzi si za mchezo mchezo japo ni za muda mfupi
Nimpongeze kwa juhudi zake binafsi nanpia nimpongeze kwa moyo wa kushirikisha..Wazungu wanasema "Sharing is Caring"
Nimeona jitihada za watu kujifunza na kujaribu trading kwa different brokers kwa kadri nafsi zao zinavyowasukuma... ni jambo Jema pia
Kwa ushauri wangu bado naona tunahitaji mafunzo na kuweka milestones kwa kuongozwa na "Mentors" mbalimbali tukianzia na Our First Mentor ONTARIO
Subira huvita heri.. japo kuna muda umepita tangu uzi huu uingie angani na changamoto mbalimbali zimepitiwa bado naamini kwa watakaofanikiwa ku catch up darasa la Sirjeff hakika watafika mbali na nikisema darasa simaanishi forex knowledge tu bali pia moyo, utashi,dhamira na uvumilivu wake katika malengo na zile tahadhari mahsusi kwenye biashara ya Forex
JF ni familia kubwa na wengi hawajuani zaidi ya vikundi vichache wanaointeract kwa ukaribu na baadhi yao wameshafanya mambo ya upamoja kama kuona wagonjwa hospitali na wengine wanatamani kufahamiana huku wengine pia wakiogopana kwa minyukano wanayopeana
Natumaini kupitia hii kutakuwa na muunganiko mkubwa wa wana JF na kuzaa jambo jipya badala ya mambo waliyozoea ya kupashana habari mbalimbali..Elimu..Biashara na kulumbana kisiasa
Kwa kulishukuru jukwaa hili pia wale watakaofanikiwa kuelimika na program hii ya ONTARIO ni vema wakaendelea kuelimisha wengine na kuhakikisha JF inadumu
Nimeona waelimishaji wazuri akina mwl RCT, Lodrick Thomas, QUIGLEY (Mfanananiaji Mwandiko na Ontario) Bavaria DaHustler na wengine wengi ambao sijawataja mungu awabariki
All the best ONTARIO
All the best Members
All the Best Maxence Mello/Mike Mushi, Ashadii, Moderators na JF team mmepambana kufanya Platform ifikie hapa na kuwanufaisha wengi
Kama Mods hamtajali na kwa hisani ya Muanzilishi wa uzi mnaweza kuweka uzi dedicated kwa Forex Books na Materials nyingine ili kuwasaidia wasomaji wapya kupata mahitaji yao kwa urahisi na sehemu moja bila kulazimika kupitiapitia post mbalimbali
Uzi huo utakuwa ni wa Books, Materials, References, Brokers List, Bank Lists nk ONLY!
ONTARIO kanyaga twende!
Nawasilisha!