Wakipigwa pesa wanakaa kimya! Hawatojitokezi hao.Mrejesho wa waliopigwa jamani
Mbona unawashwa sana mkuu unauliza na kujijibu mwenyewe heheheheh endelea kukaanga sumu humu watu wanapiga hela huko kimya kimya .Mrejesho wa waliopigwa jamani
Wakipigwa pesa wanakaa kimya! Hawatojitokezi hao.
Go go go go [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila sijakoma bado!
Mkuu mbona kama unatumia nguvu nyingi sana???Hiyo Hela haitokaa irudi. Kiendacho kwa mganga hakirudi.
Stop that non sense hao jamaa ni matapeli.
Uwezekano wawewe kupoteza Hela ni zaidi ya 95% kwa kukosea au kwa kudhulumiwa
na bado uendelee tu kupigwa mpaka Akili iku kae kisawa sawa!!!Nianze na Mimi, tangia June 2017 nimepigwa 280,000 hivi. Nyingi kati ya hizo ni kwa kudhulumiwa tu na si kukosea na evidence zipo
Hao jamaa ni wezi
Mtu mzima unadhulumiwaje yani? SijaelewaNianze na Mimi, tangia June 2017 nimepigwa 280,000 hivi. Nyingi kati ya hizo ni kwa kudhulumiwa tu na si kukosea na evidence zipo
Hao jamaa ni wezi
asante sana nitawaona soon.View attachment 631331
Second Floor, Office Number 211
Ingekuwa vizuri ujiulize, kwann udhulumiwe 280K hafu watu wengne kibao hawajadhulumiwa? N kwann? Nahc kuna mahali ulikosea. Haiwezekani wewe ulalamike kudhulumiwa, wakati wengne wote wanatoa screenshot za miamala tu![emoji17]Nianze na Mimi, tangia June 2017 nimepigwa 280,000 hivi. Nyingi kati ya hizo ni kwa kudhulumiwa tu na si kukosea na evidence zipo
Hao jamaa ni wezi
Kwani lazima wote waliodhulumiwa au kutapeliwa walalamike humu? Wengi wanakula jiwe kujisitiri haibu yao. Feeling embarrased baada bragging kwamba wanapiga pesa kumbe wamepigwa pesa!Ingekuwa vizuri ujiulize, kwann udhulumiwe 280K hafu watu wengne kibao hawajadhulumiwa? N kwann? Nahc kuna mahali ulikosea. Haiwezekani wewe ulalamike kudhulumiwa, wakati wengne wote wanatoa screenshot za miamala tu![emoji17]
Ni kweli boss, hata mie niliwazaga hivyo hvyoKwani lazima wote waliodhulumiwa au kutapeliwa walalamike humu? Wengi wanakula jiwe kujisitiri haibu yao. Feeling embarrased baada bragging kwamba wanapiga pesa kumbe wamepigwa pesa!
Hizo screenshots za visenti mnazozionesha ni fake, watu kama nyiye mna fix up uwongo ili kudanganya, kushawishi na kuibia watu wasiyo jielewa.
Forex trading haiko regulated in TZ., so everything about forex is dodgy and fraudulent.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa TZ Forex trading haiko regulated, kwahiyo broker anao uwezo wa kukupiga pesa yako.Ni kweli boss, hata mie niliwazaga hivyo hvyo
Nakubaliana na wewe... Lakn waliojitoa ufahamu wacha waendelee, hakuna haja ya kuwatisha wala kuwasumbua[emoji40]Mkuu kwa TZ Forex trading haiko regulated, kwahiyo broker anao uwezo wa kukupiga pesa yako.
Angalia link hizo zifuatazo:
Forex Trading Guide | Forex Scam Watch | Forex Broker Reviews
Wenzetu wanazi regulate hizi forex trading company
ScamSmart
Kwani lazima wote waliodhulumiwa au kutapeliwa walalamike humu? Wengi wanakula jiwe kujisitiri haibu yao. Feeling embarrased baada bragging kwamba wanapiga pesa kumbe wamepigwa pesa!
Hizo screenshots za visenti mnazozionesha ni fake, watu kama nyiye mna fix up uwongo ili kudanganya, kushawishi na kuibia watu wasiyo jielewa.
Forex trading haiko regulated in TZ., so everything about forex is dodgy and fraudulent.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Wewe tulia tu, unavutwa kidogo kidogo kwa kuonjeshwa visenti alafu unapigwa kisawasawa!Tupo hapa tunakunywa pombe na bata reeeeefu kwa pesa za forex sijui kama nami nimepigwa au lah toka j3 na make mapesa tu leo nimefunga market nakula faida shauri enu
Wewe tulia tu, unavutwa kidogo kidogo kwa kuonjeshwa visenti alafu unapigwa kisawasawa!
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app