Ni miongoni mwa broker wasio faaWakuu, naomba kufahamishwa. Ni muda upi TemplerFx anakua na spread chache na zinashuka mpaka ngapi? Nataka ku-compare na AmegaFx
Mkuu huyo broker ni templerNi miongoni mwa broker wasio faa
View attachment 851031
USHAURI
- Chagua broker ambaye yupo regulated.
- Inatakiwa awe regulated na moja kati ya hawa : FCA, ASIC, MAS, BaFin
Fungua hii link uchague baadhi ya broker bora: FCA Regulated Forex Brokers
Na kama unafahamu ABC's za broker basi ni vyema ukawachuja brokjer kwa kutumia hii search engine:
View attachment 851042
Mwisho iwapo ABC'S za broker huzijui basi chagua broker kwenye hii link, Hawa ni ECN broker with lowest spread in market: MT4 ECN Forex brokers - FX-C.com
Kazi kwako hapo
Mzee usijisifu sana,nenda pole pole kwa hawa wakubwa ujifunze zaidi,Huyo mzee sometimesyes hapo alinunua na ameshapiga profit tayari na ameilock na hiyo stop loss,we unasema ali-sell,endelea kujifunza mzee.Hahah I'm genius two months nimepiga hatua sana bila mentor ila nawakubali wanangu wa JF team promo mnajisifu sana[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaulizia huyu broker AmegaFx
JF ni sehemu ya majisifu yaani fake ni nyingi kuliko reality huku ndo maana tunatmshauriwa kutumia ID fake ni mwendo wa fake fake.Mzee usijisifu sana,nenda pole pole kwa hawa wakubwa ujifunze zaidi,Huyo mzee sometimesyes hapo alinunua na ameshapiga profit tayari na ameilock na hiyo stop loss,we unasema ali-sell,endelea kujifunza mzee.
Alafu wewe hata hiyo sell kwenye chart huoini au inamaanisha nini? cheki vizuri hiyo chart.Mzee usijisifu sana,nenda pole pole kwa hawa wakubwa ujifunze zaidi,Huyo mzee sometimesyes hapo alinunua na ameshapiga profit tayari na ameilock na hiyo stop loss,we unasema ali-sell,endelea kujifunza mzee.
Mbona hujaitaja ile most reputable regulation ya SeychellesNi miongoni mwa broker wasio faa
View attachment 851031
USHAURI
- Chagua broker ambaye yupo regulated.
- Inatakiwa awe regulated na moja kati ya hawa : FCA, ASIC, MAS, BaFin
Fungua hii link uchague baadhi ya broker bora: FCA Regulated Forex Brokers
Na kama unafahamu ABC's za broker basi ni vyema ukawachuja brokjer kwa kutumia hii search engine:
View attachment 851042
Mwisho iwapo ABC'S za broker huzijui basi chagua broker kwenye hii link, Hawa ni ECN broker with lowest spread in market: MT4 ECN Forex brokers - FX-C.com
Kazi kwako hapo
Mbona ushafanya trade hapo mkuu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]nimefika hapa sasa sielewi nafanyaje ili niweze kufanya hizo trading naomba msaada nielewe na hapa maana sehemu nyingi nimeelewa@Mwl.RCT
Ahahah nimefanyaje hapo mbona sielewi sasaMbona ushafanya trade hapo mkuu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Je katika kujifunza umefikia wapi?Ahahah nimefanyaje hapo mbona sielewi sasa
Huoni hizo red?? Means you are in loss..Ahahah nimefanyaje hapo mbona sielewi sasa
Nilipitia ile link uliyonipatia hapo nyuma nimeisoma yote hadi nikafanikiwa kufungua account sasa hiyo MT4 najifunzia wapi?Je katika kujifunza umefikia wapi?
Je MT4 yenyewe kama yenyewe umejifunza?
Mbona hatari sasa napata loss kabla sija deposit
Zipo video nyingi youtube.Nilipitia ile link uliyonipatia hapo nyuma nimeisoma yote hadi nikafanikiwa kufungua account sasa hiyo MT4 najifunzia wapi?
Bado inatakiwa ujifunze taratibu, kwa kuelewa, sio kwa kumaliza.Mbona hatari sasa napata loss kabla sija deposit
Mbona hatari sasa napata loss kabla sija deposit