Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ontario kama nikitaka kufungua account kabla ya wewe kukamilisha ufunguaji wa ofisi gharama kiasi gani zitaongezeka upande wangu?
 
USHAURI: ONTARIO jaribu kuweka maelezo kwa wepesi kidogo naona kama kuna baadhi ya watu hawakupati vizuri. Natanguliza Shukrani za dhati kwko.
 
hahahaha h....
 
Tupo Pamoja Kwenye Hii Biashara Tupe Utaratibu Wa Kujiunga na Tarehe
 
Mimi app ninayo tumia ni IQ OPTION

Kwa swala la elim nilikua sina kabaisa,na maximum time ya kutrade ni 3mints, na mm nilikua nacheza kama bahati nasibu tu

Now umenifumbua wait niingie class kwanza ndio nirudi tena.

Mkuu kuhusu Bushiri mimi kama mm i do not trust him, so ulivyo mtaja nikaanza jiuliza about mchezo weneywe,
 
mawazo yako bana....hivi hujui kocha wa Manchester United Morinhyo ni kocha mzuri na hajawahi kucheza soka na hata kupiga dana dana tano hawezi? hujiulizi waganga wengi ni masikini sana lakini watu wanaenda kuchukua dawa ya utajiri? .....sio lazima upractise kitu unachofundisha mkuu hivyo ni vitu viwili tofauti
 
Kuwa makini na mifano unayotoa mkuu...
 
Upo sahihi kiongoz wabongo wengi tupo hivi yaan tukisikia tu kuna kumake mkwanja tupo moto ila hii forex sio ndyo sehem eet ya kujipigiaga faida tu ina risk yake pia ndyo maana unahitaji kusoma sana kama ontario anavyosema kasoma sana vitabu na uwe na mtaji mzuri ni kutumia muda mwingi kuisoma sna na kujifunza
 
kusema ukweli sijaelewa sana kuhusu hiyo forex but kwa maelezo yako mkuu Ontario na nondo unazotupaga humu jf. iseee binafsi nimeamua niwe risk taker na niwe kati ya hao watu 300...wa mwanzo. Mungu akubariki mkuu
 
Wanafunzi kama hawa ndio nawataka!! Salute boss!! Kitabu nilichokitoa ni 1 ya vitabu vigumu zaidi kwa ajili ya newbie trader, nikiona mtu kasoma soma na kuelewa napata nguvu sn.
Bado niko darasani nitakuja na majibu mpk sasa nachart na MTU wa easy markets
 
FOREX TRADING GROUP

Join kwenye group kama unaitaji kujifunza biashara ya Forex

Nots tunaitaji serious member tu

Boss kama hata kuandika notice imekushinda je utaweza kumwelekeza newbie jinsi ya kutumia Ichimoku au Avramis River, soko likiwa kwenye range? je utaweza kumconvince newbie awe na clean charts kuliko kutumia moving averages wakati soko lipo kwenye trend?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…