Ndyo Tabu na Ugumu wa sisi wabongo upo hapo yaan kichwani tushaweka hiyo ni kupiga hela tuu yaani nikama za kujichukuliaa tu au ni kama kitu cha funika funua pesa hii hapa kuna watu wamechukua mwaka mzima kujifunza hii Forex na kupoteza hela pia ipo kuna dada mmoja aliijua hii forex hajamaster vizur kakimbilia kuweka pesa akapigwa zote milion 3 hataki hata kuisikia hii Forex hebu tujaribu kuondoa hizi akili za kuwaza kuwa ni kupiga pesa tuuu bila wewe kupigwa hakuna hela isiyo na jasho tuwe wavumilivu wa kujifunza sana tu nawafatiliajiMaswali mengi yanayoilizwa tayari nimejibu mapema sana kwenye hizo post za kwanza kwanza, ni vile kile mtu ana pupa akisikia pesa. But maswali yote ni basic.
Mfano mtu ananiuliza "ontario nikiwa na $300 naanzaje forex" na tayari nimesema kua tuwe wavumilivu hadi kila kitu kitakapokuwa tayari. We have to be patient nimalize kila kitu ikiwemo vibali nk nk.
Nots zipo kwenye group we join kwenye groupBoss kama hata kuandika notice imekushinda je utaweza kumwelekeza newbie jinsi ya kutumia Ichimoku au Avramis River, soko likiwa kwenye range? je utaweza kumconvince newbie awe na clean charts kuliko kutumia moving averages wakati soko lipo kwenye trend?!
Mkuu Lengo lake si Kukupinga naona Bwana Pogba Amekubwa na Mihemuko kama wengi yeye ameenda Kuanzisha Uzi ili wajiunge wawe wengi na wakutafute Mtaalamu Kama wewe!Boss kama hata kuandika notice imekushinda je utaweza kumwelekeza newbie jinsi ya kutumia Ichimoku au Avramis River, soko likiwa kwenye range? je utaweza kumconvince newbie awe na clean charts kuliko kutumia moving averages wakati soko lipo kwenye trend?!
Kwanza kama kweli yeye alikuwa na nia ya dhati ya kuwafundisha watu kuhusu forex kwanini hakufungua hilo group la whatsap mapema kabla ya wewe kuanzisha huu uzi?Boss kama hata kuandika notice imekushinda je utaweza kumwelekeza newbie jinsi ya kutumia Ichimoku au Avramis River, soko likiwa kwenye range? je utaweza kumconvince newbie awe na clean charts kuliko kutumia moving averages wakati soko lipo kwenye trend?!
Wewe ndiyo mwalimu huko WhatsApp?Nots zipo kwenye group we join kwenye group
Wewe ndiyo mwalimu huko WhatsApp?
If yes, then your students are in trouble.
JF bhana
Hapo kwa morinho umedanganya mkuu!! Mou alikua mchezaji mzuri tu! Sema hakua wa level za akina ronaldo na messi na ndio maana hukumskia sana!!mawazo yako bana....hivi hujui kocha wa Manchester United Morinhyo ni kocha mzuri na hajawahi kucheza soka na hata kupiga dana dana tano hawezi? hujiulizi waganga wengi ni masikini sana lakini watu wanaenda kuchukua dawa ya utajiri? .....sio lazima upractise kitu unachofundisha mkuu hivyo ni vitu viwili tofauti
Open position ni point ambayo mtu unaingia ili uanze ku trade, close position ni point ambayo mtu unatoka sokoni au unamaliza kufanya biashara!!hebu mimi nikomae na huu uzi maana hapa nafaidi maujuzi mob tu...saivi wenzangu nawaombeni mnifafanulie misamiati kadhaa kama inavyotumika katika masoko ya fedha na ikiwezekana mtupie mfano ili wengi tufaidi..
la kwanza ni ni nini maana ya "open position" katika fx
pili,ni nini maana ya "close position" katika fx na ina umuhimu gani katika swala la ununuzi na uuzaji wa fedha za kigeni?..
cc:Ontario
cc:Bavaria
kidogo umenichanganya..naomba urudie maelezo yakoClose position ni point ambayo mtu unaingia ili uanze ku trade, close position ni point ambayo mtu unatoka sokoni au unamaliza kufanya biashara!!
Kama huna kitabu anza kujifunza vipo humu!
hebu mimi nikomae na huu uzi maana hapa nafaidi maujuzi mob tu...saivi wenzangu nawaombeni mnifafanulie misamiati kadhaa kama inavyotumika katika masoko ya fedha na ikiwezekana mtupie mfano ili wengi tufaidi..
la kwanza ni ni nini maana ya "open position" katika fx
pili,ni nini maana ya "close position" katika fx na ina umuhimu gani katika swala la ununuzi na uuzaji wa fedha za kigeni?..
cc:Ontario
cc:Bavaria
Open position. Ni kama umefungua duka asubuhi na kaunza kuuza bidhaa. Likewise kwenye forex tunaposema open position ni kwamba umenunua shilingi say dolla na kungojea ipande thamani ili uuze!kidogo umenichanganya..naomba urudie maelezo yako
mkuu nimeelewa hivyo baada ya kusoma lakini wakati unajaribu kwenye demo account maelezo na uhalisia haziendani kabisa..unapata tuseme una currency pair kama EUR/USD na kwa kuzingatia bid and ask prices ukaona vyema uuze hiyo currency pair,hapo tayari umeingia "open position"kinachonishangaza ni kuwa kadri muda unavyosonga wakati uko katika open position hela yako (equity) inazidi kupungua hata kama ulibashiri currency pair unayotrade ita "get strong" swali lingine ni utajuaje wakati sahihi wa kuclose position ili uwe square au flat?Mfano umeamua kuwa you are getting long kwa maana kwamba umeamua kununua base currency ili uje kuuza ikisha panda, sasa ukisha nunua base currency wakati unasubiri kuiuza hapo unakuwa kwenye open position, ukisha uza hiyo currency uliyonunua baada ya kupanda thamani hapo unakuwa ume close position na unakuwa square yani huna position