Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu naomba uniweke hapo niwe siti ya mbele maana daah aisee nawazia tuu mkwanja aisee nina njaa ya mafanikio
 

unaweza kunielekeza wanaanzaje!? me kuona post zingine shida kisa natumia simu
 
they are the main currencies in forex trading and have the highest liquidity thats why they are preffered...zingine maybe zaweza zikatumika katika cross currencies. .

nakaribisha marekebisho..
cross currencies unamaanisha nini? samahani kwa maswali .
..la fiesta..
 
Ontario mkuu I Salute...
Inahitaji moyo wa pekee kuwajulisha watu opportunity kama hii, Mungu akubariki sana na ikiwezekana wazaliwe mamilionea humu kupitia wema wako.

Sasa mkuu umesema yafuatayo:-
“Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE. Watu 300 wa mwanzo nitakaoanza nao hii safari nitatoa learning materials, trainings, mentorship, na 3 months guidance for free. I am blessed to bless others - Don't misquote me.”

Hawa watu 300 watapatikana vipi? Kama kuna utaratibu wa kujiandikisha tafadhali tujulishe ili wenye nia tusipitwe na hii fursa ni adimu lakini imetujia kama dodo jangwani.
 
mkuu @ONTORIO wewe ni kiboko kabisa kwa kutafuta na kuzitendea haki fursa mwaka jana wakati nipo shambani kwangu nina stress za loss ya more than 6mill niliona uzi wako wa jinsi ulivyotengeneza 19+ millions kwa kukodi na kuyafanyia kazi matrekta, uli ni motivate sana nikaanza kuangalia natokaje na mm, leo naingia nakutana na huu uzi tena katika kipindi nilichokua natafakari naanzaje kuitumia taaluma yangu ya finance kuanza kutengeneza pesa, sasa sina maneno nasema semina ikianza tu mimi nimo.
 
Nimekuelewa mpaka najiogopa aisee, Huyu Mr Sandile namuona sanaaaa Kwenye Social network na Televishen flani flani this guy aisee ana motivate watu sio mchezo, aisee this kitu FX inaonekana kuwa ni Deal haswa...i nd to b one f ur student aiseee
 
Reactions: MC7
Pamoja na watu kuwa na muamko na hamasa kubwa ya kutaka kujua na kujifunza lakini wanatakiwa kujua ya kuwa Anyone can trade forex, but not every one can be profitable. That’s the rule of any game bahati mbaya sana watanganyika si watu wa kuvumilia hasara coz (profits and losses), ni fundamental ya kibiashara kitu ambacho watanganyika wengi wamekuwa wakiamini {UKULIMA na UFANYAKAZI} pekee ndio njia ya kuendesha maisha yao. Karibuni kwenye ulimwengu wa FOREX, kama zitatokea nafasi za kufundisha kwa kile tukijuacho juu ya FX nitakuwa tayari kufanya hvyo.
NOTE; Kama sheria za mafanikio na kifedha no3 inavyosema {midomo ya kuingizia fedha inatakiwa kuwa mingi lakini mdomo ya kutolea fedha inatakiwa kuwa ni mmoja} Don’t trade with money you can't afford to lose. Make sure that even if you lose all of your trading capital, your lifestyle won’t be affected coz 50% out of 100% weekly return is an extreme risk
 
Hii Opportunity i cannot afford to pass,Ninafanya
Binary Options Trading na demo account mwezi wa pili kweli inahitaji patience and discpline dont let ur emotions interfere.
Nategemea kuipata hii fursa,Here waiting....
 
Reactions: MC7
Hii kitu ni kweli wanawaita "speculateurs" huko Marekani, na mm niliisoma hii kitu nilikua na mwalimu mumarekani wa economics undergraduate na nilisoma pia at Masters level,ila tatizo walimu hao wote hakuna alieweka msisitizo walikua wanasema hii kitu inawezekana tu in advanced economies .Kwa waliowahi kumfahamu the late prof Kami Rwegasira ndo alinifundisha at Masters nae alikiongelea sana thouhg msisitizo ulikua mdogo so no interest kwa wanafunzi. Mr Ontario niko interested ukiweza kupata nafasi ya kuniweka nitashukuru
 
Mkuu, nakuomba uanzishe Youtube account uwe unatupa darasa pia binafsi naomba unipie curriculum yako iliyokutoa ( Vitu vya msingi ambavyo sitakiwi kuacha kuvijua) ili nijipinde mwenyewe!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…