Kuliko kupoteza hela zako $2000 kwenye D9 club.. ni bora kuziweka huku FOREX.. maana kule d9 CLUB ni kama desi hiv
Leta evidence $15,000 n PESA nyingi sanaaakwa kweli hapa huwa sielewagi manake binafsi kwenye D9 nimeshainvest USD 15,000 na ilisharudi sasa nakula faida...bado nasubiri huo utapeli kwa hamu sana.....ni sawa na kuacha kutafuta hela kwa nguvu eti sababu utakuja kufa ...THE TIME IS NOW!
Boss naomba uniambie maana ya Hikkake, inside bar, pin bar, NR7 ama engulfing candlestick chagua 1 hapo kisha unieleze then tuendelee. Kama hata huelewi nini nazungumza rudi ndani kasome boss vzr. Forex ni tofauti na biashara za kukimbiza korosho kwenye magari ya mkoani boss wng.ONTARIO
Naomba quick advice ,kama nilivyokuambia nimejiunga ila nipo kwenye MT4 Platform XM real 20.je hii platform ni sahihi mimi kuwepo na nikitaka kubadili nafanyaje? sijawahi kutrade mpaka sasa.cash ipo ,ila sijui niendelee vipi? nisaidie brooo
Kwa mtazamo wangu mkuu nadhani swala la msingi ni kwamba je kuna watu ambao wamefanikiwa kwenye FX?
Hao ambao wamekuwa mentioned kwenye FORBES verified reports zao huwa zinaonyeshwa huko Forbes?
If the answer is yes to all the questions then people are good to go and try regardless Sandile ni muigizaji or not
kwa hiyo wewe kipimo chako cha utajiri ni mpaka uhojiwe na forbes? ......forbes ni fraud tu utashangaa wanamsifia sana MO kupita Bahresa jiulize why
Kiongozi! Nimekukubali na niko tayariWazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
haha FORBES is fraud?
Forbes sio kipimo cha utajiri - but to publish their reports they have to look inside and verify YOUR assets.
and obviously being in media indusrty, its also a marketing tool - ndio maana they will talk up Warren Buffett and wont mention Ortega as much;
bottom line - if you cant get your trades/accounts verified - there is 110% chance you are telling fibs;
Sitaki kuandika sana, yani tangu huu uzi unaanza weekend naandika tu. Muda ambao wewe unatumia kukimbizana maofisini mwisho wa mwezi unapata mil 1, mimi nipo na kisimu changu napata hiyo pesa na zaidi ndani ya masaa mawili tu.haha FORBES is fraud?
Forbes sio kipimo cha utajiri - but to publish their reports they have to look inside and verify YOUR assets.
and obviously being in media indusrty, its also a marketing tool - ndio maana they will talk up Warren Buffett and wont mention Ortega as much;
bottom line - if you cant get your trades/accounts verified - there is 110% chance you are telling fibs;
Forbes Africa haina uhusiano na Forbes original na recently hii Forbes Africa ukiiangalia vizuri ni Kama vile imekuwa inatumika kibiashara kwahiyo credibility yake ipo questioned