Richard Kasubi
Member
- Sep 16, 2018
- 64
- 53
Una machozi ya Kambare lakini..?Naomba nielekezwe namna ya kufanya forex, naona jamaa imemtoa anailaumu bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una machozi ya Kambare lakini..?Naomba nielekezwe namna ya kufanya forex, naona jamaa imemtoa anailaumu bure
Broo naomba msaada kuhusu hii biashara, maelekezo plizBaasi nikatafuta rafiki yangu alikuwa anauza karoti ilala boma kwenye meza najua wenyeji wapale wanaelewa vizuri nikwamwabia anitafutie eneo kweli akaniambia per day meza unalipia 1000 na ushuru sasa mwenye meza anataka 60k ya miezi miwili nikasema poah ,nikampatia jamaa yangu pesa .
pMkuu usiache betting pia labda kama hauna ujuzi nayo kuliko FX. Betting ina strategies nyingi nzuri tu watu huwa huwa wanakosea kitu kimoja tu mtu anaweka Tsh 500 anachagua timu 20 ashinde Millioni 40. Ukiangalia kwenye somo la probability hadi huo mkeka utiki kwa kweli ni bahati nasibu hapo wanaishia kumtajirisha kanjibahi. Ila ukitulia betting inalipa vizuri tu.
Mrejesho mkuu.Tatizo fx unaweza jiwekea kanunu lakin ukishaanza kutrade unajikuta umeshachapa 0.5 kwenye mtaji wa 100. Ila ushauri wako nitaufanyia kazi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miaka zaidi ya mitano imepita.Mrejesho mkuu.