Forex indicators

ukishalipia hiyo ndio basi au maana na hao waliozitengeneza watahitaji uwalipe tena
Ukishalipa ndo basi hakuna malipo mengine. Kama ukihitaji kuziuza itakua kazi kwako maana utakua nazo kwenye komputa yako
 
ukitaka ufaidike forex ni lazima uachane na mambo ya indicator na kuanza kuchambua soko au price naked( without any indicator) yaai utakua unatumia Price Action(PA) itakayojumuisha 1. support and resistance 2. supply and demand zones 3. Trendline 4. candlestick pattern 5. chart pattern kama triangle, double top, double bottom, head and shoulder, tripple top and bottom etc
 

Vipi kuhusu fundamental analysis na sentimental analysis nazo hazina faida au
😅 ndo maana mnapigwa hela mko busy tu na technicals.
 
Anayehitaji indicator anicheki nampa free kwenye Whatsapp 0787565947
 
Haijashindikana. Ila lazima kama mfanya biashara Uwe na mbinu nyingi
Nikishindwa naked za MT4 zitanitosha ,pia hapo umesema news ya EUR means umetumia fundamental sawa mkuu??
 
mm ninazo indicator zinazokupa signal wapi uweze kununua na kuuza
hizo ni special programmed indicators kwa mt4
 
mm ninazo indicator zinazokupa signal wapi uweze kununua na kuuza
hizo ni special programmed indicators kwa mt4
unataka kuniambia wewe haulose ,kama jibu ni ndio wazungu siyo malofa, kama hapana jitathimini tena.
 
huu upumbuvu eti ili ujue bei ya viazi mviringo mkoani mbea wewe ukiwa mororgoro lazima umlipe ataye kutajia soko na bei pumbavu kabisa
 
kwa uandishi wako hakuna namna unaweza kukwepa kuitwa tapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…