Dar training inawezahuko nako wamenihunia, ila kuna mdau kanipa namba ya ofisi
izi ndo akili za waTz wengiHata mayai ya kware kuna kipindi yali trend sana kisha yakapotea, ngoja wabobezi waje
Halafu hakopeshi mafunzo yake ili wakati mnakula kozi ukipata faida unalipa chake hapo hapo darasanidah mm na ushiriki wangu wote wa betting forex roho ilikataa 100%
kwanza mirejesho yake ilikua sio ya kiuhalisia mtu anakuja tu "oooh nimepata mshahara wangu kwa siku 3 najuta kwann nimeajiriwa" hii nilijua tu lugha ya biashara
2.nilifatilia watoa mirejesho ndo wale wale kila comment na ndo hao hao wanao wa-attack ambao walikua wakidoubt
3. mm hua siamin kitu ambacho unashawishiwa tu kwa upande mmoja(faida) yan kila aliekua akichangia yy anapata faida tu hakuna hata mmoja aliekula loss
4. hili ndo la msingi
Hakuna tajiri duniani atakaekupa straight njia aliyoitumia yy kutajirika wao watakupa mawazo ambayo yatawasaidia wao wazidi kutajirika kwa kukunyonya ww
alibaba anashawish watu wajiajiri kwa kufanya online business(yy aendelee kupiga faida)
billgate anahamasisha dunian matumiz ya kompyuta ili yy aongeze wateja wa cd zake za window)
wengi wanaficha mf
bakheresa daily anadanganya watu alikua fundi viatu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sasa Ontario kuja humu na straight idea yake inayomtajirisha eti anataka kila mtu atajirike mm Sikuamini 100% sijajua tu hw yy amewapiga vipi wajinga wake
Najua mtakuja na mapovu karbuni nna nguo nying za kufua povu lenu litanisaidia
izi ndo akili za waTz wengi
yaan una beza foreign exchange trading kwa Mayai ya Kware!!??
Endeleeni kuwaza iv iv ukija kushtuka usingizini ndo utaelewa
Kwa hiyo balance uliyonayo na leverage unayoiweka kaka mpo wachache sana.Hongera !!ππ
Acha kuongea vitu usivyokuwa na uhakika navyo humu JF kuna jamaa alianzisha Uzi wa kuomba msaada wa ada ya mafunzo akalipie coz ya Dar es salaam kabla hawajaenda mikoani Ontario alimpa ofa ya kusoma bure Forex bila malipo sio kukopeshwa tu jamaa anajari shida za mtu kama upo interested na Forex ni mtu wa kujitolea sana.Halafu hakopeshi mafunzo yake ili wakati mnakula kozi ukipata faida unalipa chake hapo hapo darasani
no need to hurry hivi vi laki tano au tatu vnatosha kabisa kwa sikuKwa hiyo balance uliyonayo na leverage unayoiweka kaka mpo wachache sana.Hongera !!ππ
Course za forex umeudhuria?Hiki kitu mi roho yangu inagomaga asee sijui kwanini!?
Mi navyopenda hela but kwa Forex imegoma! Sitaki hela through forex[emoji15]
Swala ni kupata profit au hujui kama signal zinauzwa sa nin cha ajabu hapoMbona mnatoka povu lakini ??mdau kauliza tu kuwa mbona hamleti mirejesho kama awali...embu eleweni swali LA msingi.Nina mashaka kama hata hizo trade mnafanya wenyewe au mnaiga kwa mentor !
Ungemruhusu mke wako aje apate elimu ya forex kwani tunaamini ukitoa "Elimu kwa mwanamke mmoja nae atatoa elimu aliyoipata Kuanzia ndani ya nyumba na kwa wengine.Mbona mnatoka povu lakini ??mdau kauliza tu kuwa mbona hamleti mirejesho kama awali...embu eleweni swali LA msingi.Nina mashaka kama hata hizo trade mnafanya wenyewe au mnaiga kwa mentor !