Forex : Mirejesho imepungua mno kulikoni?

Nimefuatilia kwa kiasi sio sana , kuhusu forex na Biashara nyingine za fedha, bitcoin, one coin and crypocurrency , kwa ugunduzi mdogo nimeona forex na Biashara hizi zina networking marketing ndani yake ambayo SIJAWAHI KIUBALI TANGIA NILIPOZALIWA
Pole sana kwa mawazo mgando...kafanye utafit upya naona unafananisha forex na forever living au d9
 
KILA MTU YUKO BIZE KUCHAMBUA TRADE SYSTEM AMBAYO ANAONA KWAKE ITAKUWA PROFITABLE SASA HUO MUDA WA KUANZA KULETA MIREJESHO HUMU JF UTAUPATA WAPI???...
 
Forex ni mtaji unaona huyo Jamaa ana balance ya million 9 na kuendelea so with no capital business is very dificult
 

Nadhani pia kuna group nyingi za telegram na watsup so huko ndio watu wana discuss mambo mengi ya forex na kufundishana pia so labda wako na muda mchache sana wa kuja huku.
 
Utakuwa umemsahau mwalimu mwingine anayeitwa Rea aliyekufundisha price actions [emoji23] [emoji23]
 
Hiki kitu mi roho yangu inagomaga asee sijui kwanini!?

Mi navyopenda hela but kwa Forex imegoma! Sitaki hela through forex[emoji15]
Shida yako utakuwa mvivu uliyezoea pesa bila struggles zozote..!

We jitafutie libwana la kisukuma likiuza ng'ombe wewe unalamba bingo..! Kazi za kina Lara1 chagga girl..
 
[emoji124][emoji124][emoji124]. Kila mtu ajue kichaka chake cha kula majani.
 
Shida yako utakuwa mvivu uliyezoea pesa bila struggles zozote..!

We jitafutie libwana la kisukuma likiuza ng'ombe wewe unalamba bingo..! Kazi za kina Lara1 chagga girl..
Kwa hiyo we unanijua kuliko navyojijua?

Unafikiri wote tunawaza mabwana kama wewe?

Next time kama huna cha maana acha kujikotisha sawa?...shame on you!
 
Wewe apo utazunguka halafu wengine wanadownload hela mkuu
 
who can mention a nice broker wengine wajaribu kujiunga kwa broker mzuri kwa upande wa forex
 
who can mention a nice broker wengine wajaribu kujiunga kwa broker mzuri kwa upande wa forex
Nimewahi sikia watu ,wakitaja tickmill, XM nk hebu jiridhishe kwa kusoma reviews mtandaoni uone kama watakufaa
 
ADA YA USHIRIKI ILIKUWA

65,000*300 STUDENTS

IKAJA MIKOANI NA KWA MUJIBU WA ONTARIO AMEWAFUNDISHA WATU 1000

KWA ADA YA MWANZO AMEKUSANYA M. 65

YEYE FOREX HACHEZI.
Hapa ndipo mahali pekee ninaona fursa katika mchezo mzima wa forex.. Huko kwingine kote ujanja ujanja tu.
 
Watu wenye patients ni watu gani hao ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…