ni kweli hii ni biashara ya akili kubwa,watu kama mimi hii kitu kwangu imekua mteremko,mpk sasa nimesoma vitabu 8 vya forex,nimesoma articles 56,nimesikiliza youtube kibao kutoka kwa website bora zaidi duniani,nimepiga 1 week training,nimepata quality education,nimeielewa ins and out na sasa nipo kwenye mentorship na mentor bora zaidi,MR CRE na sasa nimeanza kua mtaalamu.soon nami nitakua mwalimu wa wengine.ninasoma sana.
Hii kitu ukiimaster utakua unapiga pesa,ila inahitaji uinvest time kupata elimu yake na kujifunza zaidi,Forex is simple.
TMT