Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,734
- 1,709
Habari Leo tunazungumzia Forex na Aviator Game na Siri zake zenye kufanana zilizopo nyuma ya pazia.
Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida.
Kivipi inampa faida..
Forex Server huwa inatizama sokoni katika muda husika ni watu wangapi walioBUY au SELL. kisha Statics za Forex Automatic hukimbilia kwenye upande ambao una faida kwa mmiliki. Mfano. Ikiwa USD 50000 imekuwa Placed kwenye SELL na Na USD 20000 Imekuwa placed kwenye BUY Basi System itawapa walioSELL.
WalioSELL bila ya wao kujua watajua, Forex ni real maana imewapa pesa bila kujua kuna watu wengine mahali fulani wanalia machozi ya damu.
Hivyo kila unapoona statics ya forex inapanda au kushuka ujue kuna inamimina pesa kwa Mmiliki.
Nadhani nimeeleweka.. Bye.!
Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida.
Kivipi inampa faida..
Forex Server huwa inatizama sokoni katika muda husika ni watu wangapi walioBUY au SELL. kisha Statics za Forex Automatic hukimbilia kwenye upande ambao una faida kwa mmiliki. Mfano. Ikiwa USD 50000 imekuwa Placed kwenye SELL na Na USD 20000 Imekuwa placed kwenye BUY Basi System itawapa walioSELL.
WalioSELL bila ya wao kujua watajua, Forex ni real maana imewapa pesa bila kujua kuna watu wengine mahali fulani wanalia machozi ya damu.
Hivyo kila unapoona statics ya forex inapanda au kushuka ujue kuna inamimina pesa kwa Mmiliki.
Nadhani nimeeleweka.. Bye.!