Forex ni Aviator Game kwa 100%


Kama haya yote unayafaham bas umebakisha hatua chache kuielewa forex kidogo japo kiukwel hujaielewa...in forex hata ukiamua kufanya spot unaweza unaenda benk yoyote na dollar zako na kitambulisho cha nida wanakubadilishia hela unayotaka ndo maana katika kila benki kuna rate za kununua na kuuza mfano wananunua dola kwa 2500 labda alaf wanauza kwa 2550 hio ndo spot trading ya forex..sasa technologia imeshatoka huko sasa ivi kuna futures trading ambayo huitaji kwenda benki kununua na kuuza hela mtandaon unaziuza kupitia miamala ya simu kupitia kwa broker kama una dollar zako unaweza kutrade na kununua au kuuza EURO, Yen ya japan, dollar ya uswiss, pound ya uingereza na pesa nyingi duniani..na FOREX INAYOFANYWA MTANDAONI ndo soko kubwa lilipo kwasababu mtandaon hamna mipaka dunia nzima ina trade ila hio spot unafanya tu kwenye benk zilizo nchini kwako..Hata hio bitcoin unayoiongelea, ulishawah kwenda kununua bitcoin ukapewa mkononi, Je hayo makampuni makubwa Duniani kama Binance, coindesk, bybit, coin base, HTX, ambayo yanafanya biashara ya bitcoin, unadhani ni watu wanaamka asubuh na kubet, na kama wangekua wana bet bas wana bahati sana, Haya umeongelea DSE sasaivi yenyew hisa soko la DSM zipo online download application yao utrade hisa za hapa nchini...yaan unachoongelea ww ni kama kukataa kua BIASHARA YA FOREX AU SOKO LA FOREX HALIJAHAMIA MTANDAONI lakin kiuhalisia biashara zote na product zote za forex zina tradiwa mtandaoni
 
FOREX NA BETTING...ndug yang forex trading sio betting ijapo kua KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTOFAUTISHA FOREX NA BETTING...watu wengi wanavamia forex wakijua ni kitu rahis tu ambacho mtu yoyote anaweza kufanya, ila kiukweli forex trading ni kama profession nyingine kama unavoona madaktari, waalimu, na wanasheria labda, inakuhitaji mda wa kujifunza sana alaf pesa itakuja baadae, kulijua soko nje na ndani, kwamfano kitu kama Bitcoin huwez kujifunza tu mwezi mmoja au miwili alafu unategemea ukaitrade upate hela, unaitaji skills, expirience ya kutosha, lijue soko in and out..ukitaka kununua au kuuza chochote uwe na sababu ya msingi kwanini unanunua au unauza hicho kitu, shida ya wengi hawana elimu alaf wanaingia kwenye soko hapo unakua unabett..tofaut kubwa kati ya watu waliofanikiwa kweny forex na ambao hawajafanikiwa ni..1, elimu..2 uzoefu wa kutrade forex...3 wanaweza kujicontrol kutokua na tamaa za kutengeneza pesa nying kwa wakat mmoja wana risk managment nzuri nikimaanisha wnatengeneza zaid ya wanachopoteza, HIVYO ujuzi wako ndo utatuambia JE UNATRADE AU UNA BET? ulishawah kuona mtu amepata udaktari ndani ya mwaka mmoja, au mtu amekua mwanasheria kwa mwaka mmoja..ulishawah kuona mtu amekua mfanyabiashara mkubwa na maarufu chap chap ndani ya miez sita,kila profession inachukua muda vile vile kama forex, cha msing ni kulinda mtaji wako ili utrade kwa mda mrefu
 

Its very easy kuelezea ivi vitu theorotical but kiuhalisia hakuna anaeweza kutengeneza ata 1% constant kila mwezi, na pia kingine unatakiwa kujua brokas sio soko wale ni wafanya biashara na wanaishi kupitia wewe usiwachukulia kama ndo soko


another thinf

kufanya biashara ya sarafu sio sawa na kitrade sarafu, benki hawafanyi trading wanafanya biashara ya sarafu, elewa icho kitu

2) hakunaga kitu kinaitwa online forex hicho kitu hakipo na hakiwezi kuwepo na hakuna soko la forex everything else under the name broka ni pyrmaid scheme,

3) hakuna mtu mwingine yoyote duniani anaweza kutrade currncies isipokua central banks peke yake na hawafanyi online ivo unavodhan its pure cash
 

najua unapenda sana forex ionekane ni kazi halali ila mm naijua forex kwa ukubwa sana, na am here to confidently tell you hakunaga kitu kinaitwa forex market wala forex trading
 


najua unataman sana forex ionekane ni kazi lakini ukwel ndo huu
 
mdogo wangu forex sio ujuzi msitake ionekane kma kitu serious, forex inatrediwa central banks pekee nje ya apo hakuna anaeweza kufanya trading ya currency kwa niaba ya nchi husika, unaweza kufanya biashara ya sarafu kama byuro de change but you cant trade forex hio haiwezekan na hakuna soko hilo, yaaani kwa lugha nyepesi unachofanya sio trading


najua unapenda watu waone unafanya kitu serious but uhalisia ndo huo, kinachokusumbua wewe ni ulipata elimu magumash


kingine hakuna mtu anaweza kutengeneza pesa kila mwezi kwa forex na haiwezi tokea, kwa lugha nyepesi hakuna mtu anaishi kwa forex unless unafundisha ama uko na broka unamtafutia wateja ama unauza bot

the best u can do ni kama unafanya HFT apart from that unapoteza mda
 
Mkuu hawa jamaa wa forex hawajawahi kuelewa kwamba wanachofanya ni ujinga nahisi zile charts ni madawa ya kulevya, kila nikipata mshkaji alaf akaanza story za forex huwa namkimbia na akili zao wote huwa zinafanana plus story za mafanikio ambayo unaona mtu anayeongea hana dalili za kuwa na hayo mafanikio
 
hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumika
 
hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumika

hahaha akili zao wote zko sawa ila tunaenda nao taratibu ivo ivo viboko vikihitajika vitatumika
Hahaha..Bro mbona mimi nakupa Fact zilizo nyooka kabisa, alaf ww unaleta ushabaki maandazi๐Ÿ˜‚..ww kama uliishindwa kubali kwamba ww ndo ulishindwa na kushindwa sio aibu wala ujinga, na hata ukisema forex ni betting sishangai maana hata unachokisema huna vithibitisho vilivo nyooka kunishawishi kwamba forex na aviator ni sawa..Tena kwa heshima zote: naona watu walio trade maisha yao yote kama Warren buffet ambae ni mtaalam wa stocks akiskia kuna kijana MTANZANIA anafananisha FOREX NA AVIATOR anaweza akashuka apo julias nyerere na ndege aje akuone. Mbaya zaidi si kwa UBAYA unajiita STAKE HIGH, yaan unaonekana una risk sana, ni ngumu sana kuuona ufalme wa FOREX๐Ÿ˜
 
kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?

kingine mm skulazimishi uamini maaana maisha ya watu wa forex yapo the same
 
kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?

kingine mm skulazimishi uamini maaana maisha ya watu wa forex

kwahio warren buffet ni trader? unajua tafauti ya trader na investor ama tuanze basics?

kingine mm skulazimishi uamini maaana maisha ya watu wa forex yapo the same
Kwahiyo trader sio investor? Ni trader na ni investor, unaona ni investor kwasababu yeye ni trader wa miaka mingi na amewekeza kwenye vitu ngine vingi ukiachana na masuala ya hisa.

Yaaah..ni swala zuri pia
 
Kwahiyo trader sio investor? Ni trader na ni investor, unaona ni investor kwasababu yeye ni trader wa miaka mingi na amewekeza kwenye vitu ngine vingi ukiachana na masuala ya hisa.

Yaaah..ni swala zuri pia
ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?

ebu pumzika
 
ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?

ebu pum

ujue kuna mda watu wa forex mnatakiwa stiki zitembee? kwahio wewe umeona investor na trader ni sawa si ndio?

ebu pumzika
Trading ni short term(ndani ya mda mfupi) kuwekeza ni long term(ndani ya mda mrefu) trader anakua investor kama atatumia faida zake anazopata kununua product ambazo zina uwezekano mkubwa wa kupanda bei miaka ya usoni kama sasa ivi unaweza kuwekeza kwenye dhahabu, bitcoin na baadhi ya hisa hasa za makapuni ya AI na mengine, hata machinga wa kariakoo anaweza akaamua kua investor kama ataweka akiba au ile faida yake akaiwekeza kwenye kitu chenye iwezekano wa kupanda bei siku za usoni my Brother...
 

nicheke kwanzaa, na wewe uko forex nn maaaana akili zile zile, kwahio unataka kusema kwamba nkinunua hisa za google pale NASDAQ na mwinginr aliebet hisa za google pale DERIV tuko sawa si ndio?

- kwahio nkisema nishikilie zile hisa za google pale deriv mwisho wa mwaka google watantamtua kama mwekezaji wao si ndio? na ntapata gawio kabisa si ndio? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ! yaaani mpaka tafauti ya trader na investor hamjui sasa hio forex mtaijua kwel?
 



ni kwamba ata kusoma mnashindwa ama nivp maaana watu wa forex mshakua comedy
 
View attachment 3027637

najua unataman sana forex ionekane ni kazi lakini ukwel ndo huu

My Brother NASDAQ ipo marekani, new york. Kama una huo mtaji mzuri wa kwenda marekani kununua hisa za GOOGLE huko marekani basi SAFARI NJEMA, hao wanaomtumia Deriv wakiwa majumbani au makazini kwao ila wakiwa TZ wao pia waache wanunue hisa za NASDAQ kupitia kwa broker wao DERIV..NA deriv ni moja kati ya kampuni kubwa Africa yenye uzoefu wa masuala ya forex kwa zaidi ya miaka 20 hapa Tanzania Deriv wapo MIAKA NA MIAKA ww ndo umechelewa kuwajua๐Ÿ˜‚ idris sultan analipwa na Deriv kuitangaza!! WEWE NANI? UNA NINI? UNA KAMPUNI YENYE HATA MIAKA 10 WEWE? Na hii ni kitu cha mtandaoni hata kuchagua broker wa kumtumia ni kitu ambacho unatakiwa ukijue kabla ya kuweka pesa yoyote

ALAFU vijana wengi mnaingia kwenye forex na mindset ya betting, wakati trading ni BIASHARA KAMA BIASHARA NYINGINE...kwasababu kila kitu kina bei yake sokoni, na bei inabadilika badilika kulingana na jinsi dunia inavyoenda na hakuna mtu duniani mwenye uwezo wa kujua exactly kesho Kesho Bei ya HISA kama za NASDAQ itakua ni shilling ngapi..ingekua rahisi hivo kila mtu duniani angekua tajiri, Hata ww unaweza ukanunua hisa leo kesho zikapanda au zikashuka rejea uone HISA ZA NASDAQ zilivoporomoka kipind cha CORONA kwahiyo kama ww BLAZA ungeenda marekani kununua hisa za GOOGLE HAPO NASDAQ alafu corona ingekukuta huko..UNGEFILISIKA!
Kwahiyo kwenda tu kununua hakuna garantii kwamba utapata faida..
KIJANA forex inahitaji NIDHAMU, tena ya biashara, inahitaji uwe mtu wa kujifunza kila siku, lazima pia ufuatilie masuala ya dunia yanaendaje kwasababu soko hilo linaangaliwa na dunia nzima
ujue kulichambua soko na kulielewa UKIFUNGUA ZILE CHARTS UNATAKIWA UELEWE NI NINI KINAENDELEA, ni nini kimetokea na utarajie kuona nini, kama ukifungua zile charts unaona kindege cha AVIATOR achana nayo
ALAFU mbona forex ni rahisi๐Ÿ˜‚ kwasababu ndo Biashara pekee ambayo unaweza kujijenga na kujielimisha na kukua ndani yake bila hata kuweka pesa yako..TUMIA DEMO ACCOUNT ambayo huweki ata mia alafu jifunze na uweke juhudi ukiona unaweza kutengeneza hela kwenye DEMO ndio unaweka pesa yako ukiona kwenye DEMO huelewi unapoteza tu...ACHANA NAYO
 
We jamaa kama nakujua hahahaa
 
sidhan kama ni busara kuanza kubishana na wewe kitu hukijui, na wala sio mahali husika pa kuanza kukufundisha labda nkuachie screenshot kadhaaa utaeleewa zaidi: ila napenda kukwambia mpaka sasa huna uelewa na hujui ata forex ni nn, yaaani huelewi ata uhusiano wako na broka ukoje



forex unaojua wewe ni ya kimagumash, ile ya mamentor! kuna reason kwann umefundishwa hizo garbaage na waliotengeneza izo content ni mabroka wenyewe! infact sio tu kujua deriv naweza kuitengeneza deriv yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho
 

usimlaumu mtu kwann mpaka leo forex haikutoi na akili ndo izi, kwa lugha nyepesi hujui anything about the forex market, yaaani nyie ni wale kusema forex is exchange of currencies alafu ndan mnaanza kuelezea stocks, crypto ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Hebu na wew soma iyo screenshot ya CHATGPT...maana naona betting imekuharibu akili, soma na conclusion vizuri!
 

Attachments

  • Screenshot_20240629-000618_ChatGPT.jpg
    677.9 KB · Views: 26
  • Screenshot_20240629-000950_ChatGPT.jpg
    695.6 KB · Views: 28
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ