Forex ni Aviator Game kwa 100%


trading sio ngumu, ni huna akili tu ndo kinachokusumbua! infact naweza nkakwambia wapo watu wanatengeneza ela kwa mili seconds through trading, but ili aweze kufanya ivo lazima wajinga wawepo sasa ndo wakina nyie labda nkuachie reference kidogo ujione ulivo idiot 😂 😂 , unadhan unajua dunia kumbe mjinga and your proud kua mjinga

View: https://www.youtube.com/watch?v=z4nCTdQlH8w&t=471s&pp=ygULaGZ0IHRyYWRpbmc%3D
- kila sku unajipa moyo utatoka 😂 😂, wakati unajua kabisa ni 1% tu wanajua trading inaenda wap na nn kipo nyuma, whats funny is your doing the same shit as loosers ila unategemea kwa miujiza uingie 1% 😂😂
 
Sijakakutalia ni dizaini ya betting,Mana mna bet price fluctuations unaliwa ama unamla. Anakupa leverage ili uingie tamaa ubeti zaidi upate hasara kubwa ili akule hela yako.
Nothing physically you're owning but just betting the difference in price of certain underlying financial assets.
Hii sikukatalii hili nalijua
 
Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor
 
Good sasa ushaelewa kwanini ni BETTING, sasa uache ubishi! hio ni faida kwa broka kwa sababu iko ivi
- hakuna price haina flactuation, chances zako ni ndogo sana price itoke ulipokua umeanza mpaka fnish point yako, lazima iflactuate sasa ili kukukamata nakuwekea kitu kinaitwa LIQUIDATION PRICE

- so unaweza ukawa umepredict vizuri ila sasa central banks mengi yanaendelea, mfano unaweza predict dola itaenda chini ila ikatokea kampuni ikafanya mwamala central bank wa kufanya manunuzi nje, tuseme ni kampuni kubwa ina shida na dolaso ikafanya conversion ya $1B lazima USD ipande but ivi vitu huezi kuviona kwenye charts

- but nyie mnakaa kiMungu Mungu kwamba itaenda napotaka, all in all kwenye hii dunia lazima kue na wajinga ila wengine wapate ela sasa na kumtoa mtu kwenye ujinga ni kazi ngumu sana
 
Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor

jim simons anatrade kwa COMPUTER sio kusoma charts, na kuna video nmekuwekea apo chini jinsi wajinga mnapigwa! jim anayo hedge fund habet bali anatrade japo ameshafariki ila zile mashine bado zpo! anafnya kitu kinaitwa QUANT hasomi charts kama nyie wajinga mpaka leo watu wanaumiza kichwa alkua anatumia formular gan


View: https://www.youtube.com/watch?v=U5kIdtMJGc8&pp=ygUWamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZQ%3D%3Dunaweza kufuatilia apa akielezea alikua anatumia ALGORITHM GAN

- si unaona bado unavobaki kwenye kundi la wajinga na uko proud
 
I know ni sawa Kuna stock brokers wa hapa hapa bongo like Solomon brothers Hawa wanauza real stocks kabisa let say za kampuni Kama za crdb or twiga na Kuna broker mwingine anabetisha mkeka wa mabadiliko ya bei za stocks.
 
Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor

Here are more videos to help you understand:

View: https://www.youtube.com/watch?v=ooWTlLXMDqQ&pp=ygUWamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZQ%3D%3D
View: https://www.youtube.com/watch?v=lji-jNsXmAM&pp=ygUmamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZSB0cmFkaW5nIHN0YXRlZ3k%3D
sasa wewe komaa na charts ivo ivo
 
Hii video ninayo. Alidizaini Algo mathematically ana anasema kuwa Ali hire like 200 0phds za sayansi, computer and engineering
 
I know ni sawa Kuna stock brokers wa hapa hapa bongo like Solomon brothers Hawa wanauza real stocks kabisa let say za kampuni Kama za crdb or twiga na Kuna broker mwingine anabetisha mkeka wa mabadiliko ya bei za stocks.
hawa ni STOCK BROKERS sio FOREX BROKERS huezi kwenda kwao ukanunua anything other than STOCKS na hawana leverage kwa sababu wanakuuzia the REAL THING, yaani unatrade kiuhalisia unanunua kilichouzwa na kuuza mtu alichonunua! REAL ASSET sio mkeka and ukinunua nyingi unakua part ya biashara mfano ukiwa na hisa unapokea DIVIDENDS unfortunately hata ukitrade hisa za google FOREX haupokei ata dividends na hata ukiwa na leverage kubwa kufanikisha mtaji wa $1M hautambuliki na mkeka wako because its betting
 
Halafu hii smart money yako huwa sijui Kuna siku nimeiona hapa unamwambia jamaa mmoja ivyo. Siifahamu kabisa.
Ila naona kwenye trading unachoongea namie nakifahamu Mana najua huwa siimiliki kile kitu la sivyo Kuna brokers ambao wanauza real ama bidhaa halisi kabisa.
Ila Hawa tunacheza nao tu na price changes Ilo la central banks nalijua ndio wanao control exchange rate Ila kumbuka Kuna Soros alishawahi kucheza na bank of England am sure you know what and how he did them
 
Nakubali kuwa alikuwa na anatumia Algo , mathematically programmed by using laws of probability and statistics
haikua probability na hakuna sehem alishawahi kusema anatumia formular gan na imebaki siri mpaka leo na alikua hatrade forex, forex is a scam activity! hakunaga kitu kama forex market hio ni dilusional kwa watu wavivu kufikiri na kusahau mabroka wapo kibiashara
 

soros ni HEDGE FUND manager, hawa hawasomi charts na hawatrade FOREX anatrade tu cash currencies , unapaswa kuelewa hakuna kitu kinaitwa FOREX MARKET hicho kitu hakipo
 
na izo smart money zote ni pumba movements za prices ni managed, hazipo pale kwa makusudi! everything that involves currencies kiuhalisia ni dola ndo itaaamua
 
Ndio maana kila anayehojiwa na serikali lazima amalize kwa kusema "tunaiomba serikali Elimu itolewe...."
lazima kue na wanjinga ili pesa zipatikane kama hakuna wajinga pesa haizunguki, mfano pesa yenyewe ni karatasi ila lazima nkutie ujinga uiamini ndo dunia inavoendeshwa! kufika stage ya kujua vitu vichache ama kua previlleged unakua adui wa wengi, in general lazima kue na wajinga dunia iende
 
Algo zinafanya vizuri ama hizo robot zinafanya vizuri zaidi ya binadamu Mana haziko subjected to human emotions. Unaweza unafanya tafiti kwa Ku observe a certain price fluctuations patterns so ukatumia mathematically ukicheki Kama ina positive expectancy probability so ukaanza kubeti.


So Kama wao wanatumia Algo kwani wao sio kuwa wanabeti sema Wana sure gamble Mana wameshakusanya data na kufanya experiments nyingi mpaka wakajiridhisha kuwa tukaitumia hii indicator kwa dizaini hii ama hii visual price patterns in long tutakuwa na na kitu ambacho kinaelekea tunapobeti.
Mfano Jim Simons mwenyewe anadai kuwa walienda katika federal reserve wakakusanya data za interest rate na Tena anasem kuwa WE ACCUMULATED A TREMENDOUS AMOUNT OF DATa. Akadai Kuwa fundamental ama watu aliowajiri Kama wanachumi waliokuwa wakitumia fundamental hawakumeki hela ndipo hapo alipoweza kutumia price patterns ambazo alizi test nyingi mno mpaka akawa na uhakika kabisa kuwa hii nikibeti in long run nitakuwa na positive equity,akitumia charts kutengeneza Algo ndipo warren alipobadili kauli yake
 
na izo smart money zote ni pumba movements za prices ni managed, hazipo pale kwa makusudi! everything that involves currencies kiuhalisia ni dola ndo itaaamua
Mie nimeongelea hapo uliposema kuwa tubeti uweke hela sijui kwa Smart wallet sijui smart money Sina uhakika vizuri na jina ulilosema. Sina elimu na iyo ishu Kama kubeti na mtu mnabishana naye
 
Livermore mwenyewe alisema kuwa PUBLIC MUST BE AWARE THAT THE MINORITY WHO UNDERSTANDS THE TRUTH ABOUT TRADING CAN'T EXPOSE TO PUBLIC.
OR FEW WHO UNDERSTAND CAN'T INFORM PUBLIC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…