Forex ni Aviator Game kwa 100%

Forex ni Aviator Game kwa 100%

B

Bro unaweza ukafungua akaunti even demo nisipoipata iyo 1% monthly tubeti? Ama tubeti nini labda useme wewe ,Kama vipi fungua live account either cfd brokerage or real live market of either stocks,futures and options.
Labda Kuna namna hii kitu imekufanya.
Namie nilikuwa Kama wewe.

Sasa nikuulize kwani unaponunua live gold yaani Ile unamiliki gold ama hisa za apple na huyu anayebeti price kwani profit so wote mnapata sawa ama hasara Mana na Yule Naye aliyeko live real market anategemea Bei ipande ama ishuke ,Mana unaweza ukakopa hisa katika soko halisi na ukaziuza sio lazima uzimiliki.
Kuna prop firms zipo USA like T3, citadel, smb Capital,shenfeld ambazo zinachukua oda zako to various exchange Bodies like amex, CBoT, nasdaq na hii utasema kuwa sio biashara halisi Bali ni kubeti.

Sasa kwa taarifa yako Maisha yote na Kila kitu ni kubeti Kama unabisha niambie ni nini ambacho sio betting?

We can debate hapa Mana naona Kama huelewi ama unaona watu wote ni wajinga Ila wewe tu umekaa bot basi unajua mno.
Hisa za crdb saivi nauza tu mtandaoni na kununua hakuna haja kwenda kwa stock brokers physically ndio ninunue.

Sasa trading ni both selling and buying on regular basis capitalizing on price fluctuations Bali investing ni long term plan holding of shares /stocks of a company with hoping kuwa itapanda kithamani uuze ,upate gawio. Mwaka 2019 tu hapa Dola ilikuwa 2280 saivi Iko 2650 so Kama mtu angenunua Dola kadhaa akazihifadhi Halafu saivi akaziuza ili apewe shilingi zake back so angepata zile zile hela?
Mtu anayenunua Mchele anatunza ili upande auze akamate hela zake so sio trading hiyo ama unaona anacheza cheza.
Your mindset is so fixed and ego is driving you highly.
Niambie proprietary trading firms,stocks brokers zilizoko USA like 624,000 kwa USA nzima zinafanyeje mkuu hizo.
Mie naomba tubeti fungua akaunti weka investor password hapa Kila mtu acheki Kama iyo 1% haitopatikana. Kwanza mie nakutafutia Tano kwa miezi mitatu mfululizo.

Trading ni ngumu na wengi mno wasioiamini Mana walishindwa kumeki hela.
😂😂😂
I can say that both trading skills and capital needed to make money for living isn't an easy shit to acquire like buttocks that are owned by anyone.

Fungua akaunti Kama vipi fungua akaunti kwa interactive brokers Mana huyu ni broker mkubwa like Ameritrade, e Schwab, fidelity ambao unaweza fungua akaunti ya proprietary trading fund managers.
Unaweza ukaseti ama unamwambia aka limit lowest or maximum drawdown ukampatia mtu ama watu wakapiga kazi.

trading sio ngumu, ni huna akili tu ndo kinachokusumbua! infact naweza nkakwambia wapo watu wanatengeneza ela kwa mili seconds through trading, but ili aweze kufanya ivo lazima wajinga wawepo sasa ndo wakina nyie labda nkuachie reference kidogo ujione ulivo idiot 😂 😂 , unadhan unajua dunia kumbe mjinga and your proud kua mjinga

View: https://www.youtube.com/watch?v=z4nCTdQlH8w&t=471s&pp=ygULaGZ0IHRyYWRpbmc%3D

- kila sku unajipa moyo utatoka 😂 😂, wakati unajua kabisa ni 1% tu wanajua trading inaenda wap na nn kipo nyuma, whats funny is your doing the same shit as loosers ila unategemea kwa miujiza uingie 1% 😂😂
 
forex trading inafanyika central banks tu hakuna mwngine anaruhusa ya kufanya trading kwa niaba ya pesa ya nchi husika, anything outside the central bank ni pure GAMBLING na haina uhusiano na trading, mfano ukinunua BTC forex hio btc haipo ni kopo tu limeandikwa kwa broka, you cant even send it to a wallet because it doesnt exist!

- by the way broka anaweza akakuongezea ata nguvu kwa leverage, unaweza kudeposit $100 ila ukatrade kwa mtaji wa $100,000 we unadhan hio hela ingine broka katoa wap? in simple words it doesnt exist and its pure gambling

- imagine DERIV ana wateja 1M, wteja wote wakisema watrade kwa leverage, wewe umetrade kwa $100 ukaongezewa leverage sasa una $100,000 tuseme wateja laki tano tu kwenye hao mil 1 wanatrade kwa leverage maaana yake derv anatakiwa kua na $50,000,000,000 kwa ajili ya wateja wake, 😂 😂 😂 😂 ! kwa lugha nyepesi nakuonea huruma ila ndo unapenda ubishi

- una safari ndefu sana ya kuelewa broka wote wa forex ni kama sport pesa tu ila kwa kua unakaza fuvu endelea ivo ivo
Sijakakutalia ni dizaini ya betting,Mana mna bet price fluctuations unaliwa ama unamla. Anakupa leverage ili uingie tamaa ubeti zaidi upate hasara kubwa ili akule hela yako.
Nothing physically you're owning but just betting the difference in price of certain underlying financial assets.
Hii sikukatalii hili nalijua
 
View attachment 3029742
nadhan maelezo yako yamejibiwa kwa ufasaha? alafu hakunaga kitu kama forex market huo ni uongo na ni vizuri mnaishi nao kwa sababu akili hauna

- ukiuza mchele unauza kitu ambacho unacho ukiuza mchele kwa forex unauza kitu ambacho hauna, it doesnt exist ilikua ni mkeka wa mchele, same to other asset like oil, crypto, stocks they dont exists kwa broka ni mikeka mnadeal nayo

View attachment 3029750

- tatizo lenu mnakuaga na mdomo sana na kitu hamkielewi, yaaani mtabishana mpaka na google muonekana mnajua😂😂😂😂

ntakuachia na video ya mentor wenu kukusaidia maaaana mko dillusional sana

View: https://www.youtube.com/watch?v=RJDXpJLpOeo&pp=ygUkd2FycmVuIGJ1ZmZldHQgb24gdGVjaG5pY2FsIGFuYWx5c2lz

and here is what he has to say kuhusu charts zenu😂😂

View: https://www.youtube.com/watch?v=secMNCDsxBc&t=203s&pp=ygUkd2FycmVuIGJ1ZmZldHQgb24gdGVjaG5pY2FsIGFuYWx5c2lz

- itoshe kuseme wote mnaotrade mt4 ni kusoma charts ni IDIOTS kutokana na mentor wenu 😂

Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor
 
Sijakakutalia ni dizaini ya betting,Mana mna bet price fluctuations unaliwa ama unamla. Anakupa leverage ili uingie tamaa ubeti zaidi upate hasara kubwa ili akule hela yako.
Nothing physically you're owning but just betting the difference in price of certain underlying financial assets.
Hii sikukatalii hili nalijua
Good sasa ushaelewa kwanini ni BETTING, sasa uache ubishi! hio ni faida kwa broka kwa sababu iko ivi
- hakuna price haina flactuation, chances zako ni ndogo sana price itoke ulipokua umeanza mpaka fnish point yako, lazima iflactuate sasa ili kukukamata nakuwekea kitu kinaitwa LIQUIDATION PRICE

- so unaweza ukawa umepredict vizuri ila sasa central banks mengi yanaendelea, mfano unaweza predict dola itaenda chini ila ikatokea kampuni ikafanya mwamala central bank wa kufanya manunuzi nje, tuseme ni kampuni kubwa ina shida na dolaso ikafanya conversion ya $1B lazima USD ipande but ivi vitu huezi kuviona kwenye charts

- but nyie mnakaa kiMungu Mungu kwamba itaenda napotaka, all in all kwenye hii dunia lazima kue na wajinga ila wengine wapate ela sasa na kumtoa mtu kwenye ujinga ni kazi ngumu sana
 
Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor

jim simons anatrade kwa COMPUTER sio kusoma charts, na kuna video nmekuwekea apo chini jinsi wajinga mnapigwa! jim anayo hedge fund habet bali anatrade japo ameshafariki ila zile mashine bado zpo! anafnya kitu kinaitwa QUANT hasomi charts kama nyie wajinga mpaka leo watu wanaumiza kichwa alkua anatumia formular gan


View: https://www.youtube.com/watch?v=U5kIdtMJGc8&pp=ygUWamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZQ%3D%3D
unaweza kufuatilia apa akielezea alikua anatumia ALGORITHM GAN

- si unaona bado unavobaki kwenye kundi la wajinga na uko proud
 
Good sasa ushaelewa kwanini ni BETTING, sasa uache ubishi! hio ni faida kwa broka kwa sababu iko ivi
- hakuna price haina flactuation, chances zako ni ndogo sana price itoke ulipokua umeanza mpaka fnish point yako, lazima iflactuate sasa ili kukukamata nakuwekea kitu kinaitwa LIQUIDATION PRICE

- so unaweza ukawa umepredict vizuri ila sasa central banks mengi yanaendelea, mfano unaweza predict dola itaenda chini ila ikatokea kampuni ikafanya mwamala central bank wa kufanya manunuzi nje, tuseme ni kampuni kubwa ina shida na dolaso ikafanya conversion ya $1B lazima USD ipande but ivi vitu huezi kuviona kwenye charts

- but nyie mnakaa kiMungu Mungu kwamba itaenda napotaka, all in all kwenye hii dunia lazima kue na wajinga ila wengine wapate ela sasa na kumtoa mtu kwenye ujinga ni kazi ngumu sana
I know ni sawa Kuna stock brokers wa hapa hapa bongo like Solomon brothers Hawa wanauza real stocks kabisa let say za kampuni Kama za crdb or twiga na Kuna broker mwingine anabetisha mkeka wa mabadiliko ya bei za stocks.
 
Huyu huyu aliyesema kuwa ni idiot mbona alikuja akamkubali jimm Simmons Mana akitumia hizo hizo charts akapiga hela ingawa buffet Yuko fundamentally zaidi.
Kamtfute jim Simons the mathematician professor

Here are more videos to help you understand:

View: https://www.youtube.com/watch?v=ooWTlLXMDqQ&pp=ygUWamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZQ%3D%3D

View: https://www.youtube.com/watch?v=lji-jNsXmAM&pp=ygUmamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZSB0cmFkaW5nIHN0YXRlZ3k%3D

sasa wewe komaa na charts ivo ivo
 
jim simons anatrade kwa COMPUTER sio kusoma charts, na kuna video nmekuwekea apo chini jinsi wajinga mnapigwa! jim anayo hedge fund habet bali anatrade japo ameshafariki ila zile mashine bado zpo! anafnya kitu kinaitwa QUANT hasomi charts kama nyie wajinga mpaka leo watu wanaumiza kichwa alkua anatumia formular gan


View: https://www.youtube.com/watch?v=U5kIdtMJGc8&pp=ygUWamltIHNpbW9ucyByZW5haXNzYW5jZQ%3D%3D
unaweza kufuatilia apa akielezea alikua anatumia ALGORITHM GAN

- si unaona bado unavobaki kwenye kundi la wajinga na uko proud

Hii video ninayo. Alidizaini Algo mathematically ana anasema kuwa Ali hire like 200 0phds za sayansi, computer and engineering
 
I know ni sawa Kuna stock brokers wa hapa hapa bongo like Solomon brothers Hawa wanauza real stocks kabisa let say za kampuni Kama za crdb or twiga na Kuna broker mwingine anabetisha mkeka wa mabadiliko ya bei za stocks.
hawa ni STOCK BROKERS sio FOREX BROKERS huezi kwenda kwao ukanunua anything other than STOCKS na hawana leverage kwa sababu wanakuuzia the REAL THING, yaani unatrade kiuhalisia unanunua kilichouzwa na kuuza mtu alichonunua! REAL ASSET sio mkeka and ukinunua nyingi unakua part ya biashara mfano ukiwa na hisa unapokea DIVIDENDS unfortunately hata ukitrade hisa za google FOREX haupokei ata dividends na hata ukiwa na leverage kubwa kufanikisha mtaji wa $1M hautambuliki na mkeka wako because its betting
 
Halafu hii smart money yako huwa sijui Kuna siku nimeiona hapa unamwambia jamaa mmoja ivyo. Siifahamu kabisa.
Ila naona kwenye trading unachoongea namie nakifahamu Mana najua huwa siimiliki kile kitu la sivyo Kuna brokers ambao wanauza real ama bidhaa halisi kabisa.
Ila Hawa tunacheza nao tu na price changes Ilo la central banks nalijua ndio wanao control exchange rate Ila kumbuka Kuna Soros alishawahi kucheza na bank of England am sure you know what and how he did them
 
Nakubali kuwa alikuwa na anatumia Algo , mathematically programmed by using laws of probability and statistics
haikua probability na hakuna sehem alishawahi kusema anatumia formular gan na imebaki siri mpaka leo na alikua hatrade forex, forex is a scam activity! hakunaga kitu kama forex market hio ni dilusional kwa watu wavivu kufikiri na kusahau mabroka wapo kibiashara
 
Halafu hii smart money yako huwa sijui Kuna siku nimeiona hapa unamwambia jamaa mmoja ivyo. Siifahamu kabisa.
Ila naona kwenye trading unachoongea namie nakifahamu Mana najua huwa siimiliki kile kitu la sivyo Kuna brokers ambao wanauza real ama bidhaa halisi kabisa.
Ila Hawa tunacheza nao tu na price changes Ilo la central banks nalijua ndio wanao control exchange rate Ila kumbuka Kuna Soros alishawahi kucheza na bank of England am sure you know what and how he did them

soros ni HEDGE FUND manager, hawa hawasomi charts na hawatrade FOREX anatrade tu cash currencies , unapaswa kuelewa hakuna kitu kinaitwa FOREX MARKET hicho kitu hakipo
 
Halafu hii smart money yako huwa sijui Kuna siku nimeiona hapa unamwambia jamaa mmoja ivyo. Siifahamu kabisa.
Ila naona kwenye trading unachoongea namie nakifahamu Mana najua huwa siimiliki kile kitu la sivyo Kuna brokers ambao wanauza real ama bidhaa halisi kabisa.
Ila Hawa tunacheza nao tu na price changes Ilo la central banks nalijua ndio wanao control exchange rate Ila kumbuka Kuna Soros alishawahi kucheza na bank of England am sure you know what and how he did them
na izo smart money zote ni pumba movements za prices ni managed, hazipo pale kwa makusudi! everything that involves currencies kiuhalisia ni dola ndo itaaamua
 
Ndio maana kila anayehojiwa na serikali lazima amalize kwa kusema "tunaiomba serikali Elimu itolewe...."
lazima kue na wanjinga ili pesa zipatikane kama hakuna wajinga pesa haizunguki, mfano pesa yenyewe ni karatasi ila lazima nkutie ujinga uiamini ndo dunia inavoendeshwa! kufika stage ya kujua vitu vichache ama kua previlleged unakua adui wa wengi, in general lazima kue na wajinga dunia iende
 
Algo zinafanya vizuri ama hizo robot zinafanya vizuri zaidi ya binadamu Mana haziko subjected to human emotions. Unaweza unafanya tafiti kwa Ku observe a certain price fluctuations patterns so ukatumia mathematically ukicheki Kama ina positive expectancy probability so ukaanza kubeti.


So Kama wao wanatumia Algo kwani wao sio kuwa wanabeti sema Wana sure gamble Mana wameshakusanya data na kufanya experiments nyingi mpaka wakajiridhisha kuwa tukaitumia hii indicator kwa dizaini hii ama hii visual price patterns in long tutakuwa na na kitu ambacho kinaelekea tunapobeti.
Mfano Jim Simons mwenyewe anadai kuwa walienda katika federal reserve wakakusanya data za interest rate na Tena anasem kuwa WE ACCUMULATED A TREMENDOUS AMOUNT OF DATa. Akadai Kuwa fundamental ama watu aliowajiri Kama wanachumi waliokuwa wakitumia fundamental hawakumeki hela ndipo hapo alipoweza kutumia price patterns ambazo alizi test nyingi mno mpaka akawa na uhakika kabisa kuwa hii nikibeti in long run nitakuwa na positive equity,akitumia charts kutengeneza Algo ndipo warren alipobadili kauli yake
 
na izo smart money zote ni pumba movements za prices ni managed, hazipo pale kwa makusudi! everything that involves currencies kiuhalisia ni dola ndo itaaamua
Mie nimeongelea hapo uliposema kuwa tubeti uweke hela sijui kwa Smart wallet sijui smart money Sina uhakika vizuri na jina ulilosema. Sina elimu na iyo ishu Kama kubeti na mtu mnabishana naye
 
lazima kue na wanjinga ili pesa zipatikane kama hakuna wajinga pesa haizunguki, mfano pesa yenyewe ni karatasi ila lazima nkutie ujinga uiamini ndo dunia inavoendeshwa! kufika stage ya kujua vitu vichache ama kua previlleged unakua adui wa wengi, in general lazima kue na wajinga dunia iende
Livermore mwenyewe alisema kuwa PUBLIC MUST BE AWARE THAT THE MINORITY WHO UNDERSTANDS THE TRUTH ABOUT TRADING CAN'T EXPOSE TO PUBLIC.
OR FEW WHO UNDERSTAND CAN'T INFORM PUBLIC
 
Back
Top Bottom