Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Tafuta wapo wanaokataliwa,mbona wengi kibao hata wanakatiliwa kwenye hizi prop trading firms ambazo ni b book ,yaani Kama kasinoushawahi kuona forex broka amekataa mteja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta wapo wanaokataliwa,mbona wengi kibao hata wanakatiliwa kwenye hizi prop trading firms ambazo ni b book ,yaani Kama kasinoushawahi kuona forex broka amekataa mteja?
Mbona hujaniambia futures, options and stocks trading ni nini ichi..ushawahi kuona forex broka amekataa mteja?
you have been trading before? umeshindwa kufanikiwa sasa unataka nkuwekee ela ndo utafanikiwa? uko sawa kichwan?Tafuta wapo wanaokataliwa,mbona wengi kibao hata wanakatiliwa kwenye hizi prop trading firms ambazo ni b book ,yaani Kama kasino
stocks zna shida gan? its real asset znafungamana na biashara husika whats wrong with it? futures na options znaitwa DERIVATIVESMbona hujaniambia futures, options and stocks trading ni nini ichi..
Natamani urudi tena darasani...Habari Leo tunazungumzia Forex na Aviator Game na Siri zake zenye kufanana zilizopo nyuma ya pazia.
Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida.
Kivipi inampa faida..
Forex Server huwa inatizama sokoni katika muda husika ni watu wangapi walioBUY au SELL. kisha Statics za Forex Automatic hukimbilia kwenye upande ambao una faida kwa mmiliki. Mfano. Ikiwa USD 50000 imekuwa Placed kwenye SELL na Na USD 20000 Imekuwa placed kwenye BUY Basi System itawapa walioSELL.
WalioSELL bila ya wao kujua watajua, Forex ni real maana imewapa pesa bila kujua kuna watu wengine mahali fulani wanalia machozi ya damu.
Hivyo kila unapoona statics ya forex inapanda au kushuka ujue kuna inamimina pesa kwa Mmiliki.
Nadhani nimeeleweka.. Bye.!
Sijakuambia kuwa uniwekee hela. Basi fanya hata demo Mana nayo ina akisi Ile Ile price iwe kwa live market or cfd industry.you have been trading before? umeshindwa kufanikiwa sasa unataka nkuwekee ela ndo utafanikiwa? uko sawa kichwan?
So nikitimia lolstocks zna shida gan? its real asset znafungamana na biashara husika whats wrong with it? futures na options znaitwa DERIVATIVES
Sio kuwa na zenyewe ni betting Mana unaweza ukanunua stocks za 10M kesho ukakuta zina thamani za 3M sio betting hii mkuu.stocks zna shida gan? its real asset znafungamana na biashara husika whats wrong with it? futures na options znaitwa DERIVATIVES
Jamaa anadai kuwa aweke $1500 wewe uweke $500 ili athibitishe five months trading historyNatamani urudi tena darasani...
Hakika Ontorio alikosea sana kuleta janjajanja zake mbaka Leo Forex watu hawajui ni kitu gani... Very sad Ila to be honest bila Forex sijui hata ningeishije hapa Duniani...
So shida wewe ni real assets kuwa sio gambling ama betting,stocks zna shida gan? its real asset znafungamana na biashara husika whats wrong with it? futures na options znaitwa DERIVATIVES
Nielimishe trading ya hizi hapa na za cfd Zina tofauti Gani kwani.stocks zna shida gan? its real asset znafungamana na biashara husika whats wrong with it? futures na options znaitwa DERIVATIVES
Natamani urudi tena darasani...
Hakika Ontorio alikosea sana kuleta janjajanja zake mbaka Leo Forex watu hawajui ni kitu gani... Very sad Ila to be honest bila Forex sijui hata ningeishije hapa Duniani...
hujui ata unaongea nnSijakuambia kuwa uniwekee hela. Basi fanya hata demo Mana nayo ina akisi Ile Ile price iwe kwa live market or cfd industry.
Hii nilitaka nikatishe ubishi ama subiria uzuri si upo hapa hapa
So nikitimia lol
Sio kuwa na zenyewe ni betting Mana unaweza ukanunua stocks za 10M kesho ukakuta zina thamani za 3M sio betting hii mkuu.
Walionunua hisa za voda hazijapanda mpaka saivi na walitoa ipo mwaka gani.
Sina hela mie natumia prop ku trade mfano huu hapa chini nimepata 8% ndani ya siku kadhaa not less that two weeksView attachment 3029903
ata ukitaka muunganishe trading history zenu wote wawili ruksa, ukitaka niongeza naweka $1800 wewe weka $100Jamaa anadai kuwa aweke $1500 wewe uweke $500 ili athibitishe five months trading history
we dogo ni fimbo unataka ama? when you buy stocks DSE unakua na ownership ya hio biashara haubet bali unanunua something real, your buying a biznez ukitumia forex your betting a biznez nn huelewi apa?So shida wewe ni real assets kuwa sio gambling ama betting,
Ama kisa tu cfd basi unaogopa kuwa you own nothing.
Kuingia katika real live financial market requirements zake ziko juu ,mfano uanze investing or trading with $25000 kwa huko USA brokers Ila Hawa ambao sie tunabeti sio lazima
-When you buy tesla stock kwa forex haujanunua chochote kinachohusiana na tesla bali unabet kwa biashara ya TESLA, when you buy a stock kwenye stock market you buy the biznez na unatambulika kisheria and you have rights on that stockNielimishe trading ya hizi hapa na za cfd Zina tofauti Gani kwani.
Mfano mtu akinunua share 2000 za Tesla real stocks ownership na mwingine akanunua izo izo stocks kupitia cfd broker, Sasa Bei ikashuka ni yupi atapata faida na yupi atapata hasara.
Mfano nimeuza hizo stocks ama hata ounce of gold niambie kwa futures or cfd trading tactical vinatofautiana
Nielimishe trading ya hizi hapa na za cfd Zina tofauti Gani kwani.
Mfano mtu akinunua share 2000 za Tesla real stocks ownership na mwingine akanunua izo izo stocks kupitia cfd broker, Sasa Bei ikashuka ni yupi atapata faida na yupi atapata hasara.
Mfano nimeuza hizo stocks ama hata ounce of gold niambie kwa futures or cfd trading tactical vinatofautiana
Mbona unachoongea hichi nakifahamu. Wewe unayebeti utakosa dividend Ila Kama nimeinunua na ikapanda ina Mana wote wanapata faida uliyeko cfd brokerage industry and aliyeko live market the same amount of profit. Na nikiuza Yule aliyeuza stocks the same amount of profit kwangu na kwake pia.-When you buy tesla stock kwa forex haujanunua chochote kinachohusiana na tesla bali unabet kwa biashara ya TESLA, when you buy a stock kwenye stock market you buy the biznez na unatambulika kisheria and you have rights on that stock
for example ukinunua hisa za VODA you bought voda the company and you get all rights znazohusiana na voda including getting dividends and you can even vote on the business administration
- when you do this on forex you dont have any rights on that biznez na hawakutambui because haujanunua hisa, you only have a broker contract and he can do anything he is pleased on that contract this included liquidating you!
- For example alienunua hisa za tesla NASDAQ atapata dividends kila kampuni inapopata faida and he has all rights za tesla, some companies allow you to take a loan on the share
- with all these said, when you buy from forex, hununui chochote na hakuna hisa utapewa ni uongo, you will either win or loose on that contract, likewise ukibet sport pesa, ukiweka chelsea ashinde hauna uhusiano wowote na timu ya chelsea but real time results zake ndo znakuhumu akipigwa basi sport pesa ana mamalaka ya kula ela yako ukishinda sport pesa ana mamalaka ya kuongeza pesa kutokana na ushindi
- the same way with forex, ukivuka margin balance then broka atakula ela yako ila ukifika take profit amount brooka atakuongezea ela sasa nn apa huelewi?
Safi sana naona tunaelewana kabisa. Mana Kama nimenunua hisa laki mbili nitaendelea kuzimiliki hata let say nimezinunua kwa thamani ya $20M ikipungua price let say ikawa $2 Ila bado nitakuwa na hisa zangu zile zile laki mbili but it's quiet different in cfd industry.kikawaida hakuna asset haina price flactuation, kwa forex price inaweza kuflactuate na ikavuka marginal balance na ukaliwa ela yako ilakwa mwenye real asset hana limits price itarudi tena juu as its a biznez
we arent here to explain kama hutapata profit ama loss, we are here to explain why forex is betting and not trading, however your less likely to make a profit on a forex broka because he has power over you, he can as well just sell what you have without you knowing, itsnot real so you cant ask for it, when u have the original asset then you have full rights on it and broka cant take it from youMbona unachoongea hichi nakifahamu. Wewe unayebeti utakosa dividend Ila Kama nimeinunua na ikapanda ina Mana wote wanapata faida uliyeko cfd brokerage industry and aliyeko live market the same amount of profit. Na nikiuza Yule aliyeuza stocks the same amount of profit kwangu na kwake pia.
Mbona unachoongea hichi nakifahamu. Wewe unayebeti utakosa dividend Ila Kama nimeinunua na ikapanda ina Mana wote wanapata faida uliyeko cfd brokerage industry and aliyeko live market the same amount of profit. Na nikiuza Yule aliyeuza stocks the same amount of profit kwangu na kwake pia.
Its because your betting and not trading, when you do trading you need a buyer for you to sell, and u needer a seller for you to buy,Safi sana naona tunaelewana kabisa. Mana Kama nimenunua hisa laki mbili nitaendelea kuzimiliki hata let say nimezinunua kwa thamani ya $20M ikipungua price let say ikawa $2 Ila bado nitakuwa na hisa zangu zile zile laki mbili but it's quiet different in cfd industry.
Wakati cfd betting ningeweza ku sell my stocks wakati huko kwenye real market siwezi uza kwa style nayouza huku
I know this shit absolutely, remember risk is doing what you don't know.Its because your betting and not trading, when you do trading you need a buyer for you to sell, and u needer a seller for you to buy,
however if you own $2M worth of shares on a forex broka if that asset goes down 0.5% then your broka will give you a margin call and liquidate you before then the price had a small swing, the other person will still own the asset and when price gets back he will still own the same asset ila wewe utakua hauna kitu because u got liquidated