Forex ni Aviator Game kwa 100%

Forex ni Aviator Game kwa 100%

usimlaumu mtu kwann mpaka leo forex haikutoi na akili ndo izi, kwa lugha nyepesi hujui anything about the forex market, yaaani nyie ni wale kusema forex is exchange of currencies alafu ndan mnaanza kuelezea stocks, crypto ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Sasa blaza UTAONGELEAJE forex bila kuongelea CRYPTO kama Bitcoin na etherium ambazo ni Technolojia mpya za fedha, kama kweli unatambua kua forex ni soko la fedha UTAONGELEAJE forex bila kutaja stocks ambazo hisa ni kama mitaji ya makampuni tayar umeshagusa pesa UTAONGELEAJE forex bila kutaja DHAHABU(XAU) na SILVER ambavyo ni moja kati ya mifumo ya fedha uliyotumika enzi na enzi, UTAONGELEAJE forex bila kutaja MAFUTA kama USOIL na UKOIL ambayo kwa kias kikubwa yanachangia bei za vitu vingi kwenye masoko....kama wewe ndo unajua forex ni currencies peke yake BAKI NA USHAMBA WAKO!
Alafu swala la kutoboa ni swala la MUDA tu, kwasababu wew sio mgawa Riziki, wew mwenyew ni MSAKATONGE kama hao wanaojitafuta kwenye forex. Kama wao wanaamini RIZKI yao ipo kwenye forex wacha wafanye na kama ww ulishindwa, usije kwenye MAJUKWAA kama hili la JM kuongelea kitu ambacho huna research ya kutosha, huna hoja zenye mashiko umetrade sjui miezi sita ukachoma ACCOUNT unakuja hapa kutuambia forex ni sawa na aviator...JIELIMISHE KWANZA NDO UJE UTUELIMISHE sasa ivi ni kama una bwabwaja tu
 
Hebu na wew soma iyo screenshot ya CHATGPT...maana naona betting imekuharibu akili, soma na conclusion vizuri!

CHATGPT ni muunganiko wa articles zilizopo kwenye website mbal mbal, and its mostly wrong, however i can confidently tell you that huna uelewa wowote wa forex na hujui kinachoendelea duniani, and i can confidently tell you that no one is making money kila mwezivia forex, hayupo na haiwezi tokea, you are the broka's biznez
 
Sasa blaza UTAONGELEAJE forex bila kuongelea CRYPTO kama Bitcoin na etherium ambazo ni Technolojia mpya za fedha, kama kweli unatambua kua forex ni soko la fedha UTAONGELEAJE forex bila kutaja stocks ambazo hisa ni kama mitaji ya makampuni tayar umeshagusa pesa UTAONGELEAJE forex bila kutaja DHAHABU(XAU) na SILVER ambavyo ni moja kati ya mifumo ya fedha uliyotumika enzi na enzi, UTAONGELEAJE forex bila kutaja MAFUTA kama USOIL na UKOIL ambayo kwa kias kikubwa yanachangia bei za vitu vingi kwenye masoko....kama wewe ndo unajua forex ni currencies peke yake BAKI NA USHAMBA WAKO!
Alafu swala la kutoboa ni swala la MUDA tu, kwasababu wew sio mgawa Riziki, wew mwenyew ni MSAKATONGE kama hao wanaojitafuta kwenye forex. Kama wao wanaamini RIZKI yao ipo kwenye forex wacha wafanye na kama ww ulishindwa, usije kwenye MAJUKWAA kama hili la JM kuongelea kitu ambacho huna research ya kutosha, huna hoja zenye mashiko umetrade sjui miezi sita ukachoma ACCOUNT unakuja hapa kutuambia forex ni sawa na aviator...JIELIMISHE KWANZA NDO UJE UTUELIMISHE sasa ivi ni kama una bwabwaja tu
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ i can see umekunywa maji ya broka, acha nikwambie tu ukwel hakuna na haiwezi tokea mtu akaishi kwa forex trading, yaani ata upewe miaka 20 hakuna anaeweza kuishi kwa forex trading yaaani unapoteza mda tu!

  • ingekua ni swala la mda wapo watu wamefanya forex trading miaka na miaka wangekua washagundua siri ya mafanikio na wangewapa kwamba hii ikogo ivi na ivi but mpaka leo you all have the same story
  • forex sio trading ni betting and dont expect much from it because you dont know wha your getting yourself into

- FOREX mnasema ni fedha za kigeni, oil ni fedha ya nchi gan? hisa za apple ni pesa ya nchi gan? bitcoin ni pesa ya nchi gan? and ofcourse everyone knows bitcoin is a scam

- MM ni BOT ex chequer tumedeal na pair ya UGXTSH , TZSKSH na hakuna chochote unaweza kuniambia kuhusu forex kikamake sense, yaani kwa lugha nyepesi wewe ni MJINGA and your are proud kua ni MJINGA (sjamaanisha tusi namaanisha kitendo cha kutokujua kitu)

- As i said before sio wajibu wangu but your funny how proud you are na ignorance yako, ni afadhali ata mtu anaefanya byuro de change ama mtu anaefanya electronic trading au ata benki, yaani awa ndo wana afadhali wanaweza wakawa wanajua 1 or 2, overall sio swala la kua Mungu ila your just another looser who is proud ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hebu na wew soma iyo screenshot ya CHATGPT...maana naona betting imekuharibu akili, soma na conclusion vizuri!
ngoja ntumie huu mda kukuelewesha kwann mnachofanya ni betting:

1) Hakuna kitu kinaitwa forex market na hakiwezi kuwepo, its a fallacy!

Benki ya tanzania ikifanya trade mfano if we make a trade USDTSH tunafanya kwa cash na hua ni kwa dhumuni maalum mara nyingi ni yawezekana kuna manunuzi mengi ya nje kwahio converting from TSH TO USD is for diluting na sio kupata faida however this will make a massive change on the exchange rate, sasa basi kama BOT imefanya trade kama hii, wewe ambae unasoma charts ingekua kuna broka anatoa hii pair we unadhan ungesoma charts na kuguess tunachofanya next? JIBU NI HAPANA! maaan yake we ni mjinga, nmekupa mfano mrahisi ila ndo central banks nyingi process ni izi izi, sometimes sio lazima iwe central bank, there are some big companies who can do the same!

chukulia huu mfano mm nna kampuni yangu ya magari nanunua magari nje nakuja kuuza bongo, labda tuseme stock imeisha nataka kufuata mzito mpya, mtaji wangu ni tuseme bil 50 kufuata magari ila nna Tsh, nkienda pale BOT nkawa bil 50 alafu wanatakiwa kuconvert kwenda dola basi kutakua na spike kubwa sana ya price, yaaani your expecting 0.5% drop on a single candle, je wewe ulie kwenye charts! unaweza kusoma charts zako na kupredict izi purchases? jibu ni hapana maaana yake we ni mjinga tena

apo bado sjakupa reasons so relax utajiona mjinga tu mwenyewe just chil...
- this process nmekuelezea is the same on all central banks duniani hakuna anaefanya tafauti, tuje sasa kwa mabroka wenu,

1) Nkienda pale deriv nkanunua tuseme GBPUSD , wewe unadhan izo GBP nlizonunua znatoka wap? kumbuka hakuna kitu kinaitwa forex market hakuna sehem wanapokea izo order, labda nkurahisishie kazi
1719654636633.png

kwa lugha nyepesi zle GBP ulizonunua zilitokana na broka mwenyewe, kwa lugha nyepesi broka hana izo GBP alikubali tu uwe nazo kwa sababu alijua utaloose, na mara nyingi ukitaka kuwithdrawal atakusumbua ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ,

sasa basi, kilichofanyika apo ni, ulivonunua GBP kwa USD haukua unatrade bali ulipewa kitu kinaitwa PERPETUAL CONTRACT and broka akipenda anaweza kukuongezea ata nguvu (LEVERAGE) because hio GBP doesnt exist it was just typed ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kwa lugha nyepesi ulipewa mkeka wa GBP haukupewa GBP, maaana yake nn, maana yake ulibet GBP haukutrade GBP, labda nkuongezee na content zingine amabazo ztakusaidia, mind you izi ni approved content za google, maaana yake ndo agreed global

1719655055885.png


i know bado unapenda kua mbishi kwa sababu you think una akili kuliko watu wote ila ngoja nkuongezee more content

1719655165856.png

- kama mpaka apa bado una kaza fuvu basi all the best kijana ila chukua hii: ukifungua biashara na ukafanya forex betting ndan ya miaka 5 aliefungua biashara atakua mbali kuliko wewe wa betting! all the best
 
Mtoa post ametoa mawazo yake na uelewa wake kuhusu forex, na wala si mpingi kwa alichokisema kwasababu watu wengi duniani wana mitazamo tofauti tofauti kuhusu forex, kwa upande wangu forex ni soko kama masoko mengine, na wafanyabiashara kwenye masoko haya wanatengeneza faida na hasara kama ilivo kwenye biashara nyingine kulingana na expirience zao, ujuzi wao na mitazamo yao kulingana na bei ya bidhaa zilizo kwenye soko la forex.

Sidhani kama forex ingekua kama aviator tungekua na Profitable traders kama, Amrisally
Neobillions, ibrahiminano, kojoforex, Angela fibbonacci, kira forex, jeffrey benson, dappo wills, habby forex, ml forexafrica, jackpot pmg, trevor jones, na wengine wengi ambao ni matajir wakubwa kwasababu ya forex.

SIjawahI kumuona mtu wa aviator anaetengeneza pesa nyingi kama hao forex traders, labda mtoa post ututajie traders wa aviator wenye umaarufu.
Uliowataja wote ni scammers.
 
Uliowataja wote ni scammers.
Unawajua? Na umewafatilia kwa mda gan? Usiandike ka sentensi kamoja bila vithibitisho, THIBITISHA KAMA KUNA MALALAMIKO YA WATU WALIO KUA SCAMMED NA HAO WATU au HIO SCAMMING WANAIFANYAJE FANYAJE? alafu achana na hao wa nje ya nchi tu deal na wafanya forex wa TANZANIA kama AMRISALY, MLFOREX AFRICA, IBRAHIM INANO, NEOBILLIONS, na wengine wengi hata unaowajua ww? THIBITISHA KWAMBA NI SCAMMERS!
Mwisho kama kuscam maelfu ya watu wazima mtandaoni wenye akili zao timamu ni kazi rahisi ivo mtandaoni. Tupe iyo mbinu tupate hela na sisi kwa ku SCAM watu
 
Unawajua? Na umewafatilia kwa mda gan? Usiandike ka sentensi kamoja bila vithibitisho, THIBITISHA KAMA KUNA MALALAMIKO YA WATU WALIO KUA SCAMMED NA HAO WATU au HIO SCAMMING WANAIFANYAJE FANYAJE? alafu achana na hao wa nje ya nchi tu deal na wafanya forex wa TANZANIA kama AMRISALY, MLFOREX AFRICA, IBRAHIM INANO, NEOBILLIONS, na wengine wengi hata unaowajua ww? THIBITISHA KWAMBA NI SCAMMERS!
Mwisho kama kuscam maelfu ya watu wazima mtandaoni wenye akili zao timamu ni kazi rahisi ivo mtandaoni. Tupe iyo mbinu tupate hela na sisi kwa ku SCAM watu

unapoteza mda kijana, hakuna mtu anaweza kutengeneza pesa kwa forex ata 1% kila mwezi haiwezekan! unless ufanye biashara ya sarafu kama byuro de change ila kwa mt4 utaelezea sana na utachoka
 
unapoteza mda kijana, hakuna mtu anaweza kutengeneza pesa kwa forex ata 1% kila mwezi haiwezekan! unless ufanye biashara ya sarafu kama byuro de change ila kwa mt4 utaelezea sana na utachoka
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hapana bro chunguza vizuri wewe ndo umepoteza mda mwingi sana kutengeneza post ya KISHAMBA tena yenye HEADLINE ya kishamba kwa karne hii ya 21, FOREX NI AVIATOR GAME KWA ASILIMIA 100% alaf huna hata HOJA za msingi, mda ulio fikiria kuandika hii MADA bora ata ungelala tu, atleast ungepumzisha akili!
 
B
mdogo wangu forex sio ujuzi msitake ionekane kma kitu serious, forex inatrediwa central banks pekee nje ya apo hakuna anaeweza kufanya trading ya currency kwa niaba ya nchi husika, unaweza kufanya biashara ya sarafu kama byuro de change but you cant trade forex hio haiwezekan na hakuna soko hilo, yaaani kwa lugha nyepesi unachofanya sio trading


najua unapenda watu waone unafanya kitu serious but uhalisia ndo huo, kinachokusumbua wewe ni ulipata elimu magumash


kingine hakuna mtu anaweza kutengeneza pesa kila mwezi kwa forex na haiwezi tokea, kwa lugha nyepesi hakuna mtu anaishi kwa forex unless unafundisha ama uko na broka unamtafutia wateja ama unauza bot

the best u can do ni kama unafanya HFT apart from that unapoteza mda
Bro unaweza ukafungua akaunti even demo nisipoipata iyo 1% monthly tubeti? Ama tubeti nini labda useme wewe ,Kama vipi fungua live account either cfd brokerage or real live market of either stocks,futures and options.
Labda Kuna namna hii kitu imekufanya.
Namie nilikuwa Kama wewe.

Sasa nikuulize kwani unaponunua live gold yaani Ile unamiliki gold ama hisa za apple na huyu anayebeti price kwani profit so wote mnapata sawa ama hasara Mana na Yule Naye aliyeko live real market anategemea Bei ipande ama ishuke ,Mana unaweza ukakopa hisa katika soko halisi na ukaziuza sio lazima uzimiliki.
Kuna prop firms zipo USA like T3, citadel, smb Capital,shenfeld ambazo zinachukua oda zako to various exchange Bodies like amex, CBoT, nasdaq na hii utasema kuwa sio biashara halisi Bali ni kubeti.

Sasa kwa taarifa yako Maisha yote na Kila kitu ni kubeti Kama unabisha niambie ni nini ambacho sio betting?

We can debate hapa Mana naona Kama huelewi ama unaona watu wote ni wajinga Ila wewe tu umekaa bot basi unajua mno.
Hisa za crdb saivi nauza tu mtandaoni na kununua hakuna haja kwenda kwa stock brokers physically ndio ninunue.

Sasa trading ni both selling and buying on regular basis capitalizing on price fluctuations Bali investing ni long term plan holding of shares /stocks of a company with hoping kuwa itapanda kithamani uuze ,upate gawio. Mwaka 2019 tu hapa Dola ilikuwa 2280 saivi Iko 2650 so Kama mtu angenunua Dola kadhaa akazihifadhi Halafu saivi akaziuza ili apewe shilingi zake back so angepata zile zile hela?
Mtu anayenunua Mchele anatunza ili upande auze akamate hela zake so sio trading hiyo ama unaona anacheza cheza.
Your mindset is so fixed and ego is driving you highly.
Niambie proprietary trading firms,stocks brokers zilizoko USA like 624,000 kwa USA nzima zinafanyeje mkuu hizo.
Mie naomba tubeti fungua akaunti weka investor password hapa Kila mtu acheki Kama iyo 1% haitopatikana. Kwanza mie nakutafutia Tano kwa miezi mitatu mfululizo.

Trading ni ngumu na wengi mno wasioiamini Mana walishindwa kumeki hela.

I can say that both trading skills and capital needed to make money for living isn't an easy shit to acquire like buttocks that are owned by anyone.

Fungua akaunti Kama vipi fungua akaunti kwa interactive brokers Mana huyu ni broker mkubwa like Ameritrade, e Schwab, fidelity ambao unaweza fungua akaunti ya proprietary trading fund managers.
Unaweza ukaseti ama unamwambia aka limit lowest or maximum drawdown ukampatia mtu ama watu wakapiga kazi.
 
C
CHATGPT ni muunganiko wa articles zilizopo kwenye website mbal mbal, and its mostly wrong, however i can confidently tell you that huna uelewa wowote wa forex na hujui kinachoendelea duniani, and i can confidently tell you that no one is making money kila mwezivia forex, hayupo na haiwezi tokea, you are the broka's biznez
Cfd trading ni betting na sio buying or owning real assets.yaani unabeti kwa mahesabi yako kuwa hii itapanda ama itashuka.
Na unajua why hakuna anayemeki mane?
Je unadhani kuwa ukishindwa kumeki hela katika cfd labda kwenye real live market upate profit kwa dividend.
Ila mie siiti forex huwa naita trading Mana humo ndani Kuna makorokoro mengi ama aina nyingi za trading
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hapana bro chunguza vizuri wewe ndo umepoteza mda mwingi sana kutengeneza post ya KISHAMBA tena yenye HEADLINE ya kishamba kwa karne hii ya 21, FOREX NI AVIATOR GAME KWA ASILIMIA 100% alaf huna hata HOJA za msingi, mda ulio fikiria kuandika hii MADA bora ata ungelala tu, atleast ungepumzisha akili!

Ushawahi kujiuliza kwann maisha yenu wote yako sawa watu wa forex? ama ushawahi kujiuliza kwann hakunaga tajiri katokana na forex?
 
C

Cfd trading ni betting na sio buying or owning real assets.yaani unabeti kwa mahesabi yako kuwa hii itapanda ama itashuka.
Na unajua why hakuna anayemeki mane?
Je unadhani kuwa ukishindwa kumeki hela katika cfd labda kwenye real live market upate profit kwa dividend.
Ila mie siiti forex huwa naita trading Mana humo ndani Kuna makorokoro mengi ama aina nyingi za trading

forex trading inafanyika central banks tu hakuna mwngine anaruhusa ya kufanya trading kwa niaba ya pesa ya nchi husika, anything outside the central bank ni pure GAMBLING na haina uhusiano na trading, mfano ukinunua BTC forex hio btc haipo ni kopo tu limeandikwa kwa broka, you cant even send it to a wallet because it doesnt exist!

- by the way broka anaweza akakuongezea ata nguvu kwa leverage, unaweza kudeposit $100 ila ukatrade kwa mtaji wa $100,000 we unadhan hio hela ingine broka katoa wap? in simple words it doesnt exist and its pure gambling

- imagine DERIV ana wateja 1M, wteja wote wakisema watrade kwa leverage, wewe umetrade kwa $100 ukaongezewa leverage sasa una $100,000 tuseme wateja laki tano tu kwenye hao mil 1 wanatrade kwa leverage maaana yake derv anatakiwa kua na $50,000,000,000 kwa ajili ya wateja wake, ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ! kwa lugha nyepesi nakuonea huruma ila ndo unapenda ubishi

- una safari ndefu sana ya kuelewa broka wote wa forex ni kama sport pesa tu ila kwa kua unakaza fuvu endelea ivo ivo
 
B

Bro unaweza ukafungua akaunti even demo nisipoipata iyo 1% monthly tubeti? Ama tubeti nini labda useme wewe ,Kama vipi fungua live account either cfd brokerage or real live market of either stocks,futures and options.
Labda Kuna namna hii kitu imekufanya.
Namie nilikuwa Kama wewe.

Sasa nikuulize kwani unaponunua live gold yaani Ile unamiliki gold ama hisa za apple na huyu anayebeti price kwani profit so wote mnapata sawa ama hasara Mana na Yule Naye aliyeko live real market anategemea Bei ipande ama ishuke ,Mana unaweza ukakopa hisa katika soko halisi na ukaziuza sio lazima uzimiliki.
Kuna prop firms zipo USA like T3, citadel, smb Capital,shenfeld ambazo zinachukua oda zako to various exchange Bodies like amex, CBoT, nasdaq na hii utasema kuwa sio biashara halisi Bali ni kubeti.

Sasa kwa taarifa yako Maisha yote na Kila kitu ni kubeti Kama unabisha niambie ni nini ambacho sio betting?

We can debate hapa Mana naona Kama huelewi ama unaona watu wote ni wajinga Ila wewe tu umekaa bot basi unajua mno.
Hisa za crdb saivi nauza tu mtandaoni na kununua hakuna haja kwenda kwa stock brokers physically ndio ninunue.

Sasa trading ni both selling and buying on regular basis capitalizing on price fluctuations Bali investing ni long term plan holding of shares /stocks of a company with hoping kuwa itapanda kithamani uuze ,upate gawio. Mwaka 2019 tu hapa Dola ilikuwa 2280 saivi Iko 2650 so Kama mtu angenunua Dola kadhaa akazihifadhi Halafu saivi akaziuza ili apewe shilingi zake back so angepata zile zile hela?
Mtu anayenunua Mchele anatunza ili upande auze akamate hela zake so sio trading hiyo ama unaona anacheza cheza.
Your mindset is so fixed and ego is driving you highly.
Niambie proprietary trading firms,stocks brokers zilizoko USA like 624,000 kwa USA nzima zinafanyeje mkuu hizo.
Mie naomba tubeti fungua akaunti weka investor password hapa Kila mtu acheki Kama iyo 1% haitopatikana. Kwanza mie nakutafutia Tano kwa miezi mitatu mfululizo.

Trading ni ngumu na wengi mno wasioiamini Mana walishindwa kumeki hela.

I can say that both trading skills and capital needed to make money for living isn't an easy shit to acquire like buttocks that are owned by anyone.

Fungua akaunti Kama vipi fungua akaunti kwa interactive brokers Mana huyu ni broker mkubwa like Ameritrade, e Schwab, fidelity ambao unaweza fungua akaunti ya proprietary trading fund managers.
Unaweza ukaseti ama unamwambia aka limit lowest or maximum drawdown ukampatia mtu ama watu wakapiga kazi.

1719745501139.png

nadhan maelezo yako yamejibiwa kwa ufasaha? alafu hakunaga kitu kama forex market huo ni uongo na ni vizuri mnaishi nao kwa sababu akili hauna

- ukiuza mchele unauza kitu ambacho unacho ukiuza mchele kwa forex unauza kitu ambacho hauna, it doesnt exist ilikua ni mkeka wa mchele, same to other asset like oil, crypto, stocks they dont exists kwa broka ni mikeka mnadeal nayo

1719745717083.png


- tatizo lenu mnakuaga na mdomo sana na kitu hamkielewi, yaaani mtabishana mpaka na google muonekana mnajua๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ntakuachia na video ya mentor wenu kukusaidia maaaana mko dillusional sana

View: https://www.youtube.com/watch?v=RJDXpJLpOeo&pp=ygUkd2FycmVuIGJ1ZmZldHQgb24gdGVjaG5pY2FsIGFuYWx5c2lz

and here is what he has to say kuhusu charts zenu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View: https://www.youtube.com/watch?v=secMNCDsxBc&t=203s&pp=ygUkd2FycmVuIGJ1ZmZldHQgb24gdGVjaG5pY2FsIGFuYWx5c2lz

- itoshe kuseme wote mnaotrade mt4 ni kusoma charts ni IDIOTS kutokana na mentor wenu ๐Ÿ˜‚
 
C

Cfd trading ni betting na sio buying or owning real assets.yaani unabeti kwa mahesabi yako kuwa hii itapanda ama itashuka.
Na unajua why hakuna anayemeki mane?
Je unadhani kuwa ukishindwa kumeki hela katika cfd labda kwenye real live market upate profit kwa dividend.
Ila mie siiti forex huwa naita trading Mana humo ndani Kuna makorokoro mengi ama aina nyingi za trading

View: https://www.youtube.com/watch?v=dzkwk25Fofw&pp=ygUkd2FycmVuIGJ1ZmZldHQgb24gdGVjaG5pY2FsIGFuYWx5c2lz


na hii ya mwisho
 
B

Bro unaweza ukafungua akaunti even demo nisipoipata iyo 1% monthly tubeti? Ama tubeti nini labda useme wewe ,Kama vipi fungua live account either cfd brokerage or real live market of either stocks,futures and options.
Labda Kuna namna hii kitu imekufanya.
Namie nilikuwa Kama wewe.

Sasa nikuulize kwani unaponunua live gold yaani Ile unamiliki gold ama hisa za apple na huyu anayebeti price kwani profit so wote mnapata sawa ama hasara Mana na Yule Naye aliyeko live real market anategemea Bei ipande ama ishuke ,Mana unaweza ukakopa hisa katika soko halisi na ukaziuza sio lazima uzimiliki.
Kuna prop firms zipo USA like T3, citadel, smb Capital,shenfeld ambazo zinachukua oda zako to various exchange Bodies like amex, CBoT, nasdaq na hii utasema kuwa sio biashara halisi Bali ni kubeti.

Sasa kwa taarifa yako Maisha yote na Kila kitu ni kubeti Kama unabisha niambie ni nini ambacho sio betting?

We can debate hapa Mana naona Kama huelewi ama unaona watu wote ni wajinga Ila wewe tu umekaa bot basi unajua mno.
Hisa za crdb saivi nauza tu mtandaoni na kununua hakuna haja kwenda kwa stock brokers physically ndio ninunue.

Sasa trading ni both selling and buying on regular basis capitalizing on price fluctuations Bali investing ni long term plan holding of shares /stocks of a company with hoping kuwa itapanda kithamani uuze ,upate gawio. Mwaka 2019 tu hapa Dola ilikuwa 2280 saivi Iko 2650 so Kama mtu angenunua Dola kadhaa akazihifadhi Halafu saivi akaziuza ili apewe shilingi zake back so angepata zile zile hela?
Mtu anayenunua Mchele anatunza ili upande auze akamate hela zake so sio trading hiyo ama unaona anacheza cheza.
Your mindset is so fixed and ego is driving you highly.
Niambie proprietary trading firms,stocks brokers zilizoko USA like 624,000 kwa USA nzima zinafanyeje mkuu hizo.
Mie naomba tubeti fungua akaunti weka investor password hapa Kila mtu acheki Kama iyo 1% haitopatikana. Kwanza mie nakutafutia Tano kwa miezi mitatu mfululizo.

Trading ni ngumu na wengi mno wasioiamini Mana walishindwa kumeki hela.

I can say that both trading skills and capital needed to make money for living isn't an easy shit to acquire like buttocks that are owned by anyone.

Fungua akaunti Kama vipi fungua akaunti kwa interactive brokers Mana huyu ni broker mkubwa like Ameritrade, e Schwab, fidelity ambao unaweza fungua akaunti ya proprietary trading fund managers.
Unaweza ukaseti ama unamwambia aka limit lowest or maximum drawdown ukampatia mtu ama watu wakapiga kazi.

- to finish mada nko tayar kukupa $1500 on SPOT kama tutakubaliana, wewe weka $500 tu mm naweka $1500 kwenye smart cotract tupitie trading history yako ya miezi 5 tu, yaaani sio mingi 5 tu! tuonne kama ulitengeneza ela ya kuksuaidia ata kulipa kodi kila mwezi , io tu leave alone kuishi na forex alone! ukiweza kuconfirm icho tu basi $1500 inakua yako ukishindwa tusilaumiane

- ukiwa tayar niambie nitengeneze address ya ETH samrt contract tufanye deposit, nakusubiria!
 
Back
Top Bottom