Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Mr simple M

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2020
Posts
2,202
Reaction score
4,653
1617696125553.png

Wakuu nimekuwa nikifanya hizi kitu zote mbili kwa pamoja. I mean forex na na betting na nimekuja gundua hata forex nayo ni betting tu in another system huku tunabet mechi kule tunabet currency.

Tofauti nyingine ni msamiati tu huku pips huku odds huku evaluation huku technical and fundamental analysis huku kuchana mkeka uku kuchoma account.

Huku kubet mechi chache, huku stop loss.

Huku take profit uku cash out aisee wakuu tupige kazi tu hizi system za mabeberu zitatupa ulcers bure.

Wakati sasa tukiona fursa wao hata hawajsumbui nazo ni wachache tu nyumbu wenzetu wa huko ndo kwa mbali wajishugulisha nazo aiseee tupige manual work zetu kwa outcome ya uhakika.

NB: Dunia haijawahi kuwa na bilionea from gambling we endelea tu na daydream zake.

Forex ni betting iyoch.

Wataalamu wa forex karibuni sana kwenye uzi mtoe maoni yenu.

Hii forex kama huna 5000$ and above as capital utalia tu nakwambia utalia tu labda roho mtakatifu alitangulie yani kila oki-open trade ni kupata na kupatwa unaingiza leo kesho wanachukua yaani ni kutiwa moyo kwa vifaida vidogo vidogo tu ila uskimbie wakpige kisawasawa.
 
Hakika wewe umepigwa huko unakuja na kusema hakuna aliewahi tajirika kwa forex or betting.

Unajua kwanini unasema ivo? Kisaikolojia ni kua past experience yako na cycle yako ya marafiki hakuna anaetengeza hela kupitia ivo vitu ndio maana ume jump kwenye conclusion ya kua hakuna Wanao make money.

Kama umeshindwa kakande maandazi mkuu
 
Screenshot (114).png


Mcheki COVID_520 telegram ununue moja kati ya hizo kozi,then jifunze.Au mtafute Ontario (Sirjeff ) akupe shule.
 
Wapo waliotajirka kwa forex Ila bilionea wa forex hayupo ila mamilionea wap alaf nakkmbusha kama huna mtaji wa kueleweka forex aiseeeeee hii mi taji yetu ya dola 200$ kushka chini ayaa
Sio unanikumbusha, jikumbushe wewe. Safi Sasa Kama umejua both fundamental na technical analysis za forex na kubwa zaidi pia Kama umejua mtaji mkubwa ni wa muhimu zaidi hapo unahitahi consistency kwenye unachokifanya.

Sio ukifeli mara 10 au 30 unakata tamaa na kuhamia kwenye biashara nyingine. Utakua ni mtu wa kujaribu jaribu biashara mpaka unakua mzee.
 
Sio unanikumbusha. jikumbushe wewe. Safi Sasa Kama umejua both fundamental na technical analysis za forex na kubwa zaidi pia Kama umejua mtaji mkubwa ni wa muhimu zaidi hapo unahitahi consistency kwenye unachokifanya.
Mi nafanya forex na nimemake faida japo so sana ila mtaji wangu umekua on somehow lakn nasema forex is gambling coz unaweza fanya analyis zote ujuazo na bado ukapigwa maana anytime any second soko lnabalika tuko sawa sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom