Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
- Thread starter
- #41
Mkuu Unaijua forex in deep.Hujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Unaijua forex in deep.Hujui
Sana ningekuwa nakupatia signo ndio ungeamini zaidiMkuu Unaijua forex in deep
Vizuri mbna skuoni Forbes ukiiwakilisha forex au nikupe muda kidogoSana
Wakakuona mjingawewe[emoji28][emoji28]Kuna siku nilisema forex ni kamari watu wakaniona nimechanganyikiwa.
Unaumia niniWewe kitu gan kina uhakika 100% waambie vijana wafanye wawe mabilionea
Wewe kama ujui FOREX kaa pemben achana na vitu ambavyo uvijui
Biashara gani ambayo ni 100% certain haiwezi change any time?Sijasena eti hakuna faida faida na kwa sababu umepata faida basi eti itakuwa ni ya uhakika no forex is gambling coz market can change any second
Nikutajie ngapi mkuuBiashara gani ambayo ni 100% certain haiwezi change any time?
Forex sio kufanya tu analysis mkuu.Mi nafanya forex na nimemake faida japo so sana ila mtaji wangu umekua on somehow lakn nasema forex is gambling coz unaweza fanya analyis zote ujuazo na bado ukapigwa maana anytime any second soko lnabalika tuko sawa sawa mkuu
Una uhakika?????Huwezi kua millionaire kwa kutrade forex never never never never never never never never never never never never never never.
ID yako yenyewe inaonyesha wazi ulishajichokea maisha hivyo huo ushauri wako kaa nao mwenyewe tu. Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa kidogo. We unataka kula tu kila wakati hakuna kitu kama hicho hapa duniani. Niambie ni kazi gani ambayo ukifanya wewe kila siku ni kupata tu.Huwezi kua millionaire kwa kutrade forex never never never never never never never never never never never never never never.
Kuna msemo una sema hivi " FUNDI ASIYE NA UJUZI ULAUMU VYOMBO VYAKE MWENYEWE" hali kadhalika Forex trader asiye na ujuzi huilaumu Forex!Ngoja nicheke kwanza [emoji23][emoji23][emoji23],
Siku zote kama huna elimu au ujuzi juu ya kitu achana nacho tu hakiko kwaajili yako...
Watu wanapambana ata winning percentage ikiwa ni 0.01%Kuna msemo una sema hivi " FUNDI ASIYE NA UJUZI ULAUMU VYOMBO VYAKE MWENYEWE" hali kadhalika Forex trader asiye na ujuzi huilaumu Forex!
Niambie ambacho sio kamari hapa duniani ndugu. Unasoma mpaka chuo si ni kamari una uhakika gani kuwa utamaliza chuo ama uta secure job kwa hizo efforts zako. Unaoa una uhakika mkeo atazaa kweli. Hata unalima una uhakika gani jua ama mvua zitakuwepo zote.Kuna siku nilisema forex ni kamari watu wakaniona nimechanganyikiwa.
Yes i canUnaweza
Ndio hebu nioneshe millionaire anayetrade tu (in USD)Una uhakika?????