Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Igeni roho ya wachimba madini kama gold na Tanzanite. Kama wachimba madini wangekuwa na roho nyepesi za uoga hakuna mtu ambaye angekuwa anachimba madini hapa duniani. The high the calculated risk the higher the reward!
 
Hawa watu wanao kwambia usitake risk sijui forex ngumu, ukisema uwasikilize ukawaombe mchongo wa kazi hakika wanakukimbia kama mzoga
 
Kitu ambacho hata mimi nitakubaliana hapa ni kwamba it takes money to make money (Unahitaji mtaji mkubwa kupata faida kubwa). Huwezi kuwa dolla millionare kwenye fx kwa mtaji wa dollar 1000 hadi 10000. Hata kama inawezekana basi itakuchukua miaka mingi sana na displine ya hali ya juu sana.
 
Betting + forex toka nimalize chuo 2019 nimeweza kukusanya zaidi ya million 20 ,mwana jamii forum humu alinisaidia fremu sababu nilikuwa na pesa nikafungua biashara ambayo naifanya mpaka muda huu
Wewe ni 5/1000 yaan wachache sana waliobahatika lkn msininukuu vibaya cjasema forex haina ila ila nmesema ni kama gambling tu coz any second market inaweza change
 
Advantage ya biashara hizi za kawaida zinalinda sana mtaji now naweza hata kuoa
Na huu ndio utofauti wa gambling na biashara zngne wakuu gambling hailindi mtaji any time unaweza rudi zero bt biashara na ngumu kidogo
 
Wewe uliza. Kuhusu utajiri ebu tueleze ni biashara gani ambayo utafanya uwe tajiri fasta fasta hata kwa miaka 5?
Hakuna biashara ya hivyo isipo kuwa biashara official znalinda mtaji lkn hz gemu zetu hazilindi mtaji ndo maana ukaamua ufungue biashara nasema uongo ndugu zangu
 
Sasa kama huamini kama huwezi kutoboa kwenye fx bado unatrade ili iweje? Huoni kwamba unapoteza muda wako heri utafute njia nyingine mapema kabisa ambayo unajua ni straight forward full kutoboa? Ni unafiki mkubwa sana kufanya jambo usiloliamini maishani mwako!
Unaninukuu vibaya cjasema haina profit ila nmesema ni gambling cjuw unanpata
 
Na huu ndio utofauti wa gambling na biashara zngne wakuu gambling hailindi mtaji any time unaweza rudi zero bt biashara na ngumu kidogo
Kutokana na kauli yako hii nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani kwenye trading. Kwa hiyo kwenye fx ukiweka tu position hata moja tu na ina mtaji wa dolla 1000 basi tayari ulishachoma akaunti? Kama ndiyo basi endelea tu na maisha mengine forex siyo wito wako wa maisha. Forex inkupa nafasi ya wewe kuamua unataka kupoteza kiasi gani mtaji wako kama mambo yakienda kinyume. Niambie ni biashara gani ya kawaida ambaye inakupa hiyo option ya kupata hasara! TATIZO HUWA HATUTAKI KUONA KWAMBA SISI NDIO TUNA MATATIZO ILA TUNATAFUTA VISINGIZIO ILI KUJIFURAHISHA NAFSI.
 
Na huu ndio utofauti wa gambling na biashara zngne wakuu gambling hailindi mtaji any time unaweza rudi zero bt biashara na ngumu kidogo

Na huu ndio utofauti wa gambling na biashara zngne wakuu gambling hailindi mtaji any time unaweza rudi zero bt biashara na ngumu kidogo
Ww ndio unaifanya fx kama kamari unataka utajiri wa fasta dola 100 to 10,000 in short time lazima mtaji upoteze.Return ya asilimia 20 to 30 kwa mwezi in forex is very possible,mtaji wa dola 100 kwa mwezi kutengeneza profit ya dola 30 ni easy kabisa.
Tatizo vijana wengi tunapenda shortcut hatuseek knowledge,hatuinvest muda wetu kujifunza tunataka matokeo tu bila kufata process+progress.
 
Pesa inajitangaza mkuu we ukipiga mabilioni fx tutajua tu by the way nafanya forex na ntaendelea kufanya nilianza na mtaji wa 200$ na sasa nna 430$ lakini bado nadilik kusema fx iz like a gambling tu na sio rahisi kutoboa kwayo over
Knowledge yako in forex bado ndogo sana hujui unachokifanya.
 
Knowledge yako in forex bado ndogo sana hujui unachokifanya.
Sawa mtalaam Njiroo ile Marcedes Benz class G uloagiza kutokana na ubobezi wa forex isha fika au nikupe muda kidogo.
 
Kutokana na kauli yako hii nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani kwenye trading. Kwa hiyo kwenye fx ukiweka tu position hata moja tu na ina mtaji wa dolla 1000 basi tayari ulishachoma akaunti? Kama ndiyo basi endelea tu na maisha mengine forex siyo wito wako wa maisha. Forex inkupa nafasi ya wewe kuamua unataka kupoteza kiasi gani mtaji wako kama mambo yakienda kinyume. Niambie ni biashara gani ya kawaida ambaye inakupa hiyo option ya kupata hasara! TATIZO HUWA HATUTAKI KUONA KWAMBA SISI NDIO TUNA MATATIZO ILA TUNATAFUTA VISINGIZIO ILI KUJIFURAHISHA NAFSI.
Unafikiri mimi siijui hiyo stop loss mkuu au sijua kukakulate ni kiasi gani ni risk sio
 
Apo ndo mnapofeli vijana you think forex is all about making quicky and easy money and go buy super cars and eating lunch in Dubai while flexing on instagram hahahahaha
Kumbe forex is all about what??? Mkuu
 
Back
Top Bottom