Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 174
- 245
discipline+patience+risk management(protecting your capital).Izo zingine mbwembwe tuKumbe forex is all about what??? Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
discipline+patience+risk management(protecting your capital).Izo zingine mbwembwe tuKumbe forex is all about what??? Mkuu
Then to acquire wealth au siodiscipline+patience+risk management(protecting your capital).Izo zingine mbwembwe tu
That's what's upThen to acquire wealth au sio
Santeh upewe kenge wengine 10Kwenye maisha shit happen sometime but kwenye forex shit happens always.
Ndy maana kila trader anasisitiza risk management.
Kasome upya, Kama umetrade forex kwa discipline two years plus huwezi sema eti gambling.Sijasena eti hakuna faida faida na kwa sababu umepata faida basi eti itakuwa ni ya uhakika no forex is gambling coz market can change any second
U're success in forex plzKasome upya, Kama umetrade forex kwa discipline two years plus huwezi sema eti gambling.
Forex is the game of psychology ukiimaster emotions zako umewin
Mtaji Siyo issue Sana Kama una knowledge sahihi hata dola 500 Ni pesa nyingi Sana.
Hakuna daily profit kwenye forex so Kama huwezi kukaa siku mbili tatu bila kutrade ukisubiria setup au kuacha profit zirun achana na forex
Sijasena eti hakuna faida faida na kwa sababu umepata faida basi eti itakuwa ni ya uhakika no forex is gambling coz market can change any second
Percentage ya kufail kwenye forex ikiwa 80% unakuwa sio trader tena. Bali unakuwa gambler.Bado kuna tofauti kubwa kati ya gambling na real trade percentage ya kufail kweny gambling ni ni 80%
Sawa wanamanage risk lkn badob wako juu ya jiwePercentage ya kufail kwenye forex ikiwa 80% unakuwa sio trader tena. Bali unakuwa gambler.
Real trader wana manage risk.
Vipi nawewe ushafanya/unafanya forex?Almost everything in life is gambling. Hata hiyo unayoita "outcome ya uhakika " inaweza kuwa gambling. Why? Kwa sababu unaweza tegemea kuipata na usiipate.
A casino manages risk ndio maana hata mtu akishindwa milioni 900 bado wako katika upande wa faida kwa sababu odds ziko upande wao in long run.Sawa wanamanage risk lkn badob wako juu ya jiwe
Risk to reward ratio kwenye mpira hauwezi kumnufaisha mtu anaye beti hata kidogo.Uko sahihi
Soko la forex liko volatile sana
hata mpira una afadhali.,
Mtu kama ManCity unajua atafunga mara nyingi kuliko kufungwa
Kwenye soka hakuna risk to reward ratio ya 1:12. Hata kama ikiwepo probability yake ni below 50%.Uko sahihi
Soko la forex liko volatile sana
hata mpira una afadhali.,
Mtu kama ManCity unajua atafunga mara nyingi kuliko kufungwa
Wealth inaanzia shilling au dollar ngapi?Then to acquire wealth au sio?
Kwenye mtaji hapo niko na wewe kabisa!Wapo waliotajirka kwa forex Ila bilionea wa forex hayupo ila mamilionea wap alaf nakkmbusha kama huna mtaji wa kueleweka forex aiseeeeee hii mi taji yetu ya dola 200$ kushka chini ayaa
Sasa hiyo mkuu ni principles za biashara zote duniani!Kitu ambacho hata mimi nitakubaliana hapa ni kwamba it takes money to make money (Unahitaji mtaji mkubwa kupata faida kubwa). Huwezi kuwa dolla millionare kwenye fx kwa mtaji wa dollar 1000 hadi 10000. Hata kama inawezekana basi itakuchukua miaka mingi sana na displine ya hali ya juu sana.
Sio kwamba hawatajiriki kwani stock exchange haiendi sawa na forex kwa uelewa wako? Maan Warren Buffet nd alikotajirikia. Sishauri kuhusu kamali ila top ten ya matajiri kuna mtu na mkewe ni gamblers wa kutupwa las vegas wanamiliki hadi macasino hapo hapo las vegas nlitatak nisahihishe 2 hapoWapo waliotajirka kwa forex Ila bilionea wa forex hayupo ila mamilionea wap alaf nakkmbusha kama huna mtaji wa kueleweka forex aiseeeeee hii mi taji yetu ya dola 200$ kushka chini ayaa
Kwahyo kwann matajiri bado ni wachache tanzania? Huko kwingine nako watu wanafeli daily ila forex 2 n kwamba inatoa majibu hapo hapo na wakati ni biashara kubwa. Halafu unavosema kuwa forex hakuna wanaotajirika kwann liquidity yake kwa siku ni 10 trillion $+ per day nani anacontribute hicho kiasi au mpaka kila alietoboa akutangazie. Stock exchange na ubabe wake wote liquidity yake ni 700 b $ per day na nd anaefuatia hapo.Hapana gambling it means winning percentage ni ndogo mno wakati uko kwingine percentage ya kufall ndo inakuwa ndogo