Ko utaanza kuzivaa au? Na ukianza kuzivaa hujala mtaji hapo kwa ajili ya nguo?Siunabaki na nguo au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko utaanza kuzivaa au? Na ukianza kuzivaa hujala mtaji hapo kwa ajili ya nguo?Siunabaki na nguo au
Hapana sijawahi kufanya.Vipi nawewe ushafanya/unafanya forex?
Umeshafanya FOREX?Uko sahihi
Soko la forex liko volatile sana
hata mpira una afadhali.,
Mtu kama ManCity unajua atafunga mara nyingi kuliko kufungwa
Inafutwa cz inapotosha umma mkuuKwanini Trader munapoteza muda wenu kuelekeza watu kama hawa, hemu acheni kujibu nyuzi kama hizi kila mtu na maisha yake.
mbaya zaidi nyuzi za FX zenye faida kama ya ile ya TTT wanafuta nyuzi za mabishano inaachwa watu wasutane.
So wakomae na dola 20$ zao sioKINACHKHITAJIKA KTK FOREX SIO MTAJI MKUBWA WALA MDOGOO, KINACHOHITAJIKA NI SKILLS/KNOWLEDGE, DISCIPLINE. TAFUTA MAARIFA SAHIHI HAKIKA UTATOBOA, KUMAKE 5000$ PER WEEK SIO JAMBO DOGO HUKU UNAPATA URAIS WA KUFANZA MAMBO MENGINE YA KIMAENDELEO
Kidogo sanaUmeshafanya FOREX?
Naomba muongozo.
Forex kaka nimefanya sana nikajua kwa nn wengine walikuwa walimu hata mm nilifundisha sana forex ila ukweli ndo huoUkweli ambao upo uchi.
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaonyesha watu screenshot ya ac yake ina 450,000usd lakini ametoka kufukuzwa kwenye nyumba(studio room) ya 200,000tsh/month..Mixer sijui anauza roboti sijui,ndo nikahitimisha kwenye Forex kuna uongo mwingi sana..lakini naamini wapo ambao wanafanya low-key..hawa wa kushowoff ni matapeli tu.Forex kaka nimefanya sana nikajua kwa nn wengine walikuwa walimu hata mm nilifundisha sana forex ila ukweli ndo huo
tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya
Sikudanganyi nimetengeneza mil 6 sio nyingi sana kwa training na kutrade ndani ya miezi hata 4 haifikitupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya
tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya
Sikudanganyi nimetengeneza mil 6 sio nyingi sana kwa training na kutrade ndani ya miezi hata 4 haifikitupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya