Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Kuna jamaa mmoja alikuwa anaonyesha watu screenshot ya ac yake ina 450,000usd lakini ametoka kufukuzwa kwenye nyumba(studio room) ya 200,000tsh/month..Mixer sijui anauza roboti sijui,ndo nikahitimisha kwenye Forex kuna uongo mwingi sana..lakini naamini wapo ambao wanafanya low-key..hawa wa kushowoff ni matapeli tu.
Kaka forex ni ujanja sana kaka mi kuna jamaa yangu anaaminiwa na watu wanatoka mkoani kwenda kweny training zake ela anapata ila we acha tu akikosa training na gharama anavutia watu kuvaa visut ukinunua yu kiatu anataka kupiga nacho picha vizing kibao
 
Capture 111111.PNG


Nyie Endeleeni Kupiga kelele tu, miezi 3 hiyo iliyopita Feb, Jan, Dec
 
Mshika mawili moja mponyoka,kama umefikiria hivo ulikuja kufanya nini.na pesa yako kuwa na thamani au madini,mazao,viwanda unajua vinaendeshwa na kupandisha au kushusha thamani,kama ujui maana yake acha

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
 
Hapana boss, kelele ni nyingi sana, naomba zidi kupambana kama unahisi elimu haitakupa kushika hela
No, kelele za watu mie hazinisumbui kila mtu ananjia yake ya mafanikio, nina kama miezi 16 hivi najifunza fx kupitia demo na kusoma vitabu, hivyo maamuzi nilishayafanya kitambo, sema tu bado nina hofu ya kuingia real account.
 
Aisee we jamaa ni great thinker congole sana umemwaga madini vijana mnaoteseka na fx soma apa kwa makini uongeze na zako MKUU [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaonyesha watu screenshot ya ac yake ina 450,000usd lakini ametoka kufukuzwa kwenye nyumba(studio room) ya 200,000tsh/month..Mixer sijui anauza roboti sijui,ndo nikahitimisha kwenye Forex kuna uongo mwingi sana..lakini naamini wapo ambao wanafanya low-key..hawa wa kushowoff ni matapeli tu.
Hii ktu vijana wasipo ongeza na zao kwenye polojo za uongo wa mentor wao ooooh
 
No, kelele za watu mie hazinisumbui kila mtu ananjia yake ya mafanikio, nina kama miezi 16 hivi najifunza fx kupitia demo na kusoma vitabu, hivyo maamuzi nilishayafanya kitambo, sema tu bado nina hofu ya kuingia real account.
Kuna atapigwa apaaa
 
wewe sasa ndo umetoa mfano sio mleta mada analia lia tu na lot size zake za 0.01 zikiwa mbil tatu anajiona katrade mpka anafikia hatua anachanganyikiwa. Na kuanza kuita betting
Hata niwe bilionea kwa fx bado tasema ni gambling ndo maana haina insurance mkuuu vp
 
Wakuu Heb twende taratibu...tatika forbes list ya 100 billionaire ni yupi kati yao ni tajiri wa forex..heb tuanzie hapo tafadhali.
 
Almost everything in life is gambling. Hata hiyo unayoita "outcome ya uhakika " inaweza kuwa gambling. Why? Kwa sababu unaweza tegemea kuipata na usiipate.

Acha undezi. Ukinunua bidhaa ukaenda kuuza sokoni ni gambling gani? Risk ipo ila haiitwi gambling
 
Back
Top Bottom