Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

KINACHKHITAJIKA KTK FOREX SIO MTAJI MKUBWA WALA MDOGOO, KINACHOHITAJIKA NI SKILLS/KNOWLEDGE, DISCIPLINE. TAFUTA MAARIFA SAHIHI HAKIKA UTATOBOA, KUMAKE 5000$ PER WEEK SIO JAMBO DOGO HUKU UNAPATA URAIS WA KUFANZA MAMBO MENGINE YA KIMAENDELEO
 
Kwanini Trader munapoteza muda wenu kuelekeza watu kama hawa, hemu acheni kujibu nyuzi kama hizi kila mtu na maisha yake.

mbaya zaidi nyuzi za FX zenye faida kama ya ile ya TTT wanafuta nyuzi za mabishano inaachwa watu wasutane.
 
Kwanini Trader munapoteza muda wenu kuelekeza watu kama hawa, hemu acheni kujibu nyuzi kama hizi kila mtu na maisha yake.

mbaya zaidi nyuzi za FX zenye faida kama ya ile ya TTT wanafuta nyuzi za mabishano inaachwa watu wasutane.
Inafutwa cz inapotosha umma mkuu
 
KINACHKHITAJIKA KTK FOREX SIO MTAJI MKUBWA WALA MDOGOO, KINACHOHITAJIKA NI SKILLS/KNOWLEDGE, DISCIPLINE. TAFUTA MAARIFA SAHIHI HAKIKA UTATOBOA, KUMAKE 5000$ PER WEEK SIO JAMBO DOGO HUKU UNAPATA URAIS WA KUFANZA MAMBO MENGINE YA KIMAENDELEO
So wakomae na dola 20$ zao sio
 
Binafsi nilifundishwa na Dr.refwayne way back 2018 September......Kama mafanikio yako huna haja ya kuexpose kaa kimyaa....(it remain secret until its permanent....)....
 
Though it sounds like motivational speaking, but it has al lot of truth in it...

 
Forex ni gambling inachofanya isiwe gambling ni saikolojia ya wanaotrade ilivyojengwa kutokana na wahusika waanzilishi na mentors before ya huo kufanywa na retailers ulikuwa unafanya na mabank tu kama sehemu ya starehe yaani na maanisha gambling zote zimeanzishwa kama starehe kwa mabilionea sasa forex walianza mabank na sio kwamba inaaanza tu ikiwa na mzunguko wa $6 bil hapana ilianza chini

Kutokana na uongezeko wa watu mpaka mtu mmoja mmoja akaanza kuruhusiwa kutrade mzunguko wa pesa ukaongezeka ndo maana forex ni gambling kwa vile huwezi kuchukua insuarance kama trader kama biashara zingine means ukiliwa unatembea kama betting zingine

Sasa hii industry ina dealers wengi mno wanaopiga pesa hapo ndo maana inazidi kuchanganya watu kuwa sio gambling

Utaambiwa inataka knoledge🤣🤣🤣😂nakuja sawa utajua basic yote pips n nn, pair zote,trading season zote utatambua, how to choose a legit broker, ukija kiwanja hamna strategies 100% accurate hapa unacheza na emotion na risk management, stopping greedy kwa vile ni pesa ,hii ni proof kuwa unagamble haina ubishi

Mentors and other dealers hawa kutoa training na kuuza vitabu ,mara ,robots hakuna biashara watu wanatumia nguvu kuaminisha watu hadharani kwamba wamefanikiwa kama forex kwa 100% wanajifanya wanajua sana kushare mpaka withdrwal zao za cent account tunajua ,mara kuwa ib wa broker kadhaa kupata commsion kupondana katia ya mentor na mentor ujanja kibao

Kiuhalisia retailers ndo wananufaisha market marker na forex kama hamjui sio biashara kama zingine zile zinaenda upande 2 kwa vile nyie traders ndo mnachezeana akili pale ukibuy ukala ujue umekula ya wenzio waliosell wakati ule

Hali ngumu soko la forex usishangae mtu kila siku anauza signal mra training na seminar ndo wanapopata mlo hapo
 
Forex kaka nimefanya sana nikajua kwa nn wengine walikuwa walimu hata mm nilifundisha sana forex ila ukweli ndo huo
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaonyesha watu screenshot ya ac yake ina 450,000usd lakini ametoka kufukuzwa kwenye nyumba(studio room) ya 200,000tsh/month..Mixer sijui anauza roboti sijui,ndo nikahitimisha kwenye Forex kuna uongo mwingi sana..lakini naamini wapo ambao wanafanya low-key..hawa wa kushowoff ni matapeli tu.
 
Nimeshika mil 10 na kwa shida sina maana nimeizungusha sehemu nyingine kuna msema FBK kama unamjua forex broker killer huyu dj coach anakwambia ukipiga pesa kweny soko invest kwingine
tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya

tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya
Sikudanganyi nimetengeneza mil 6 sio nyingi sana kwa training na kutrade ndani ya miezi hata 4 haifiki
 
Nimeshika mil 10 na kwa shida sina maana nimeizungusha sehemu nyingine kuna msema FBK kama unamjua forex broker killer huyu dj coach anakwambia ukipiga pesa kweny soko invest kwingine
tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya

tupe maendeleo ya ulichovuna kipindi unafanya
Sikudanganyi nimetengeneza mil 6 sio nyingi sana kwa training na kutrade ndani ya miezi hata 4 haifiki
 
Back
Top Bottom