Mihayo DP
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 560
- 1,000
Na dkk 6 typing errorSetup ilikua hii hapa arround saa 8 usiku n dakika kumi na sita alhamis kuamkia ijumaaView attachment 1763003
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na dkk 6 typing errorSetup ilikua hii hapa arround saa 8 usiku n dakika kumi na sita alhamis kuamkia ijumaaView attachment 1763003
This is information age...not industrial age where you had to work hard to earn big.... working hard will only make you tired...just work smart.acheni kamari mali mtazipata shambani
WordThis is information age...not industrial age where you had to work hard to earn big.... working hard will only make you tired...just work smart
Shamba la nani?acheni kamari mali mtazipata shambani
Kijana kimbia kamari hizo mali iko shamba. Jembe halimtupi mkulimaYaani wewe endlea sema ni gambling hu,Ila sis tunkomaa Huku huku n kamali ndo utajua hujui[emoji3]View attachment 1764368
Kijana kimbia kamari hizo mali iko shamba. Jembe halimtupi mkulima
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu mi naifanya Kama biashara usiwe n Shaka profit tunazopata huku ndo tunafanya kilimo cha kisasa so siwezi acha imenitoa mbaliKijana kimbia kamari hizo mali iko shamba. Jembe halimtupi mkulima
😀😀😀😀Alikua anasmash buy button alikuwa haelewi anafanya nnHakika wewe umepigwa huko unakuja na kusema hakuna aliewahi tajirika kwa forex or betting.
Unajua kwanini unasema ivo? Kisaikolojia ni kua past experience yako na cycle yako ya marafiki hakuna anaetengeza hela kupitia ivo vitu ndio maana ume jump kwenye conclusion ya kua hakuna Wanao make money.
Kama umeshindwa kakande maandazi mkuu
Warren buffet is a billionaire umekosea chiefWapo waliotajirka kwa forex Ila bilionea wa forex hayupo ila mamilionea wap alaf nakkmbusha kama huna mtaji wa kueleweka forex aiseeeeee hii mi taji yetu ya dola 200$ kushka chini ayaa.
Hata biashara ya mahindi unaweza fuatilia bei ya somo ukaenda kununua ukaja kuuza ukakuta bei imeshuka au imepandaMi nafanya forex na nimemake faida japo so sana ila mtaji wangu umekua on somehow lakn nasema forex is gambling coz unaweza fanya analyis zote ujuazo na bado ukapigwa maana anytime any second soko lnabalika tuko sawa sawa mkuu
Sawa lakn sio gafla kama fx only a minute can change the directionHata biashara ya mahindi unaweza fuatilia bei ya somo ukaenda kununua ukaja kuuza ukakuta bei imeshuka au imepanda
Atupe mrejesho,kweli imepaa sana DogecoinDogecoin imepaa parefu sana.
Kwa lot size unayotumia(0.88) hapo una 15 pips profit, win to loss ratio unayotumia ni ngapi boss? Let me assume unatumia 2:1 yaani hapo kama hizo 15pips ndo expected profit uliyokuwa unategemea basi stop loss yako ilipaswa kuwa 7 pips down the opening price. Don't you see this is completely gamblingSasa kuna mtu hana knowledge anakuja kusema forex n gambling I will never understand you never!View attachment 1763001