Hio pesa hapo mbona ni nyingi sana? Mimi nikiwa nayo hio wikend lazima unikute visiwa vya comoro ufukweni huko nakula maisha,hotel ya nyota tano [emoji1787][emoji1787]
Tumeshatoa mara nyingi sema tu biashara ya forex ina michezo mingi unapaswa kuwa mwelewa sana mwisho ujisimamie.
Kwa Tanzania fuatilia batch iliyoanza forex 2016 walifundishwa watu zaidi ya 2000 mwaka huo kuna mwamba hapa jf anaitwa Ontario tafuta uzi wake .
Leo hii kuna waliofanikiwa na wana majina makubwa na kuna wengi kibao wamefilisika na kuiacha kabisa.
Kwa sasa kama ndio unaanza kuna platform inaitwa moneycashback huwa kuna shindano kila week unafungua demo acvount unawekewa dola 5000 mwisho wa week mwenye profit nyingi wanapewa pesa kuanzia 500$ hili shindano limeanza January mwaka huu linaendelea. Naamini utajifunza kitu huku ukiendelea kujisomea.
Mwisho hakuna sehemu yeyote duniani yenye pesa ya bure tu kwamba unaenda kubeba iwe mziki, mpira, betting.... So forex ni biashara ngumu kama zilivo zingine na ni highly risk business in the world. Nikimaanisha kupoteza 1000$ kwa masaa machache ama dakika 10 ni kawaida pia kupata 1000$ kwa dakika chache ni kawaida
Odd zinakaribiana na biashara nyingine tu... 10% ya biashara kwa ujumla ndio zinafanikiwa. Cha msingi usitegemee mteremko6% of all traders an investors ndio wana win? Sasa hii si biashara kichaa?
DonNdio wanapiga sema ni ya moto sanaa! Mi bado sijafanikiwa napata hela za mboga tu,ila pia huwa napigwa.
Kwa ufupi forex tunatabiri mwelekeo wa soko la fedha kama wafanyavyo watabiri mipira.
Sema Huku mambo Yako advanced sanaa. Kutabiri mwelekeo wa sarafu soko linafunguliwa jumapili usiku Hadi ijumaa usiku, na weekend Kuna assets zinaitwa indices hizo Haina Cha weekend.
Ukitabiri soko litapanda , unabuy ukitabiri soko litashuka unasell, so unapata faida both ups and down movements.
Elimu ya Huku ni lazima mwisho wa siku ikuoneshe mwelekeo wa soko upon wapi ndo utapiga hela.
Wingi wa pesa unaseti mwenyewe kwa tool Moja inaitwa lot size the more unaweka kubwa the more pesa inaonhezeka na loss vivyo hivyo.
pesa unapokea kupitia banks,au Skrill au Bitcoin wallet au mitandao ya simu.
Kwenye forex hatununui sarafu kama wengi wasemavyo Huku tunabashiri mienendo ya bei ama price ya sarafu, so utatabiri either soko liende juu au chini.
Soko tunabeti ama kubashiri kupitia kwa brokers kama vile templerfx,hotforex,deriv,exness na wengine wengi.
Mtaji wa kuanzia nao ni Dola kumi tu sawa na TSH 25,000/= na app tunayotumia kuzalisha na kupoteza pesa inaitwa MT4,MT5 na tovuti tunayotumia kufanyia upembuzi ama uchambuzi ni tradingview IPO google tu.
Kama wewe ni mgeni kabisa hujui pa kuanzia Anza kusoma forex kwa lugha ya kiswahili YouTube Kuna series nzuri search scalpkingfx tazama video ya kwanza Hadi sehemu ya mwisho, ukimaliza hapo nenda google ingia website inaitwa pipsology nazani kama sijakosea, ukitoka hapo nenda nenda investopedia mule Nako soma kwa mpangilio ukitoka hapo , just andika what is forex Quora then search utalewa machaguo mengi then utapelekwa directly kwenye website ya Quora kuke Sasa utakutana na wataalamu wengi sana Tena wasomi sanaa wahindi,wazungu na nchi zingine utawakuta huko.
Ukimaliza hapo Sasa unaweza lipia darasa la kusoma maana itakuwa ushapata mwanga wa forex madarasa yapo mengi sanaa, utafundishwa strategy ama mbinu za kutabiri soko. Katika kozi kabla ya kusoma hakikisha unamuuliza course content before kulipia contents nzuri kwa uzoefu wangu zinachezaa na haya yafutavyo;
# market structure
#ICT
#BTMM
#SMC, SMART MONEY CONCEPTS
# QUARTERLY THEORY.
# INVALIDATION POINTS OR TURNING POINT.
# LIQUIDITY GRAB
Na mengine mengi wanasoma.
Mtu anayejua forex utampima kwa wingi wa pips anazopata, kwenye mipira wao wanatumia ODDS. the more pipis the more money.
vituo hivi vinahitajika kama unataka kuwa forex trader ama currency speculator.
#elimu ya kutosha
# laptop na smartphones
# bando la kutosha nakudhauri kama uko vizuri apply Vodacom kifurushi Cha superkasi uwe unalipia kwa mwezi tu
# meza na kiti itapendeza kama itakuwa na ofisi kabisa, hakikisha mazingira ni ya utulivu nzuri.
# account ya broker
# account ya bank kwa ajili ya kupokea na kutuma pesa kwa broker nashauri fungua benki ya equity na ABSA vijana wengi wanazitumia sanaa.
Nazani nimemaliza mkuu nakutakia maisha mema,
NB; forex bhanaa unaweza kukukondeshaa vizuri pasipo kuwa na ugonjwa wowote, ni ngumu sana ila ukiimudu umetoboa, narudia Mimi bado sijatoboa napata hela za mboga tu usije kusema mi nguri wa forex View attachment 2294584
South Africans ni matapeli haswa.Mbona watu wanafanya zaidi ya hayo mkuu..kuna jamaa m sauz anaitwa dj coach ana hela nyingi sana yule mshenzi...
Nanukuu GENIUS na MAFIA.Forex is real. But moja ya kosa kubwa ni kutoambiana ukweli kama hii kitu ni ngumu. Huwezi toboa kwenye forex kwa semina ya week. Pia kwenye forex unatakiwa kuwa GENIUS na MAFIA. Maana huko unyama ni mwingi.
This is the professional like any other professional. Ni career Kama career zingine. Kikubwa muulize Ronaldo alifanyaje akafikia hizo levo.Ni kitu nilikua nakiona ila nilikua sikifuatilii. Lakini kwa sasa tangu nianze kuona watu wanatamba mitandaoni kwamba wanapiga hela na kwakua pia ni kitu ambacho kipo trend sana kwa sasa. Nimeamua kutobaki nyuma
In a matter of blink an eye not 10m mkuu ama sekunde tano ama moja kitu kimeyeyuka1000$ kwa masaa machache ama dakika 10 ni kawaida pia kupata 1000$ kwa dakika chache ni kawaida
Mwambie Ni Kama daktari kupata mhuri na kuanza kuhudumu. Awe tayari not less than 5-7yrs angalau masaa 16 kila siku kwa muda wote Kama Ni rahisi.Nanukuu GENIUS na MAFIA.
Apo mwisho bhana umetisha sawa mkongwe wa forex tradeNdio wanapiga sema ni ya moto sanaa! Mi bado sijafanikiwa napata hela za mboga tu,ila pia huwa napigwa.
Kwa ufupi forex tunatabiri mwelekeo wa soko la fedha kama wafanyavyo watabiri mipira.
Sema Huku mambo Yako advanced sanaa. Kutabiri mwelekeo wa sarafu soko linafunguliwa jumapili usiku Hadi ijumaa usiku, na weekend Kuna assets zinaitwa indices hizo Haina Cha weekend.
Ukitabiri soko litapanda , unabuy ukitabiri soko litashuka unasell, so unapata faida both ups and down movements.
Elimu ya Huku ni lazima mwisho wa siku ikuoneshe mwelekeo wa soko upon wapi ndo utapiga hela.
Wingi wa pesa unaseti mwenyewe kwa tool Moja inaitwa lot size the more unaweka kubwa the more pesa inaonhezeka na loss vivyo hivyo.
pesa unapokea kupitia banks,au Skrill au Bitcoin wallet au mitandao ya simu.
Kwenye forex hatununui sarafu kama wengi wasemavyo Huku tunabashiri mienendo ya bei ama price ya sarafu, so utatabiri either soko liende juu au chini.
Soko tunabeti ama kubashiri kupitia kwa brokers kama vile templerfx,hotforex,deriv,exness na wengine wengi.
Mtaji wa kuanzia nao ni Dola kumi tu sawa na TSH 25,000/= na app tunayotumia kuzalisha na kupoteza pesa inaitwa MT4,MT5 na tovuti tunayotumia kufanyia upembuzi ama uchambuzi ni tradingview IPO google tu.
Kama wewe ni mgeni kabisa hujui pa kuanzia Anza kusoma forex kwa lugha ya kiswahili YouTube Kuna series nzuri search scalpkingfx tazama video ya kwanza Hadi sehemu ya mwisho, ukimaliza hapo nenda google ingia website inaitwa pipsology nazani kama sijakosea, ukitoka hapo nenda nenda investopedia mule Nako soma kwa mpangilio ukitoka hapo , just andika what is forex Quora then search utalewa machaguo mengi then utapelekwa directly kwenye website ya Quora kuke Sasa utakutana na wataalamu wengi sana Tena wasomi sanaa wahindi,wazungu na nchi zingine utawakuta huko.
Ukimaliza hapo Sasa unaweza lipia darasa la kusoma maana itakuwa ushapata mwanga wa forex madarasa yapo mengi sanaa, utafundishwa strategy ama mbinu za kutabiri soko. Katika kozi kabla ya kusoma hakikisha unamuuliza course content before kulipia contents nzuri kwa uzoefu wangu zinachezaa na haya yafutavyo;
# market structure
#ICT
#BTMM
#SMC, SMART MONEY CONCEPTS
# QUARTERLY THEORY.
# INVALIDATION POINTS OR TURNING POINT.
# LIQUIDITY GRAB
Na mengine mengi wanasoma.
Mtu anayejua forex utampima kwa wingi wa pips anazopata, kwenye mipira wao wanatumia ODDS. the more pipis the more money.
vituo hivi vinahitajika kama unataka kuwa forex trader ama currency speculator.
#elimu ya kutosha
# laptop na smartphones
# bando la kutosha nakudhauri kama uko vizuri apply Vodacom kifurushi Cha superkasi uwe unalipia kwa mwezi tu
# meza na kiti itapendeza kama itakuwa na ofisi kabisa, hakikisha mazingira ni ya utulivu nzuri.
# account ya broker
# account ya bank kwa ajili ya kupokea na kutuma pesa kwa broker nashauri fungua benki ya equity na ABSA vijana wengi wanazitumia sanaa.
Nazani nimemaliza mkuu nakutakia maisha mema,
NB; forex bhanaa unaweza kukukondeshaa vizuri pasipo kuwa na ugonjwa wowote, ni ngumu sana ila ukiimudu umetoboa, narudia Mimi bado sijatoboa napata hela za mboga tu usije kusema mi nguri wa forex View attachment 2294584
Mleta mada kama upo tayari kwa huu ushauri karibu sokoni, ni kutamu sana lakini baada ya kukomaa na maumivu ya miaka tajwa hapo juu. Its a career like any other career tulizozizioea, ugumu na changamoto yake ni kwamba you have to push yourself tofauti na career zingine ambazo utapushiwa na vitu km mitihani n.k. self discipline is the key. Kuhusu swala sijui majority wanaloose hii true for any field iwe soka, kilimo, shuleni, music, business n.k lazma kuna top wanaoscore the rest hua wanaongeza tu idadi ktk industry husika ili mradi cku ziende. Hata humu tupo nyomi lakini wachache tu ndo known kwa kuleta mada zenye hamasa na wanaeleweka. Its risk because it involve leverage hivyo ukiwa disciplined baada ya kuacqure experience utanyanyuka kwa speed and viceversa is true. Be focused, achana na show off za mitandaoni, treat it as a business.Mwambie Ni Kama daktari kupata mhuri na kuanza kuhudumu. Awe tayari not less than 5-7yrs angalau masaa 16 kila siku kwa muda wote Kama Ni rahisi.
Getting Europe or die getting Europe mentality.
Ni mawazo Yako tu, kwa hiyo na Mimi siku moja nikitoboa utasema nimepata kwa kukusanyaa! Kwa vibua?Asilimia kubwa ya wanaopata pesa za forex hawajazipata kwa trade, wanakuwa wanafanya training na kukusanya fees. Na fees zao zimechangamka aisee
Ndio mkuu msema ukweli mpenzi wa mungu!Apo mwisho bhana umetisha sawa mkongwe wa forex trade
Hao sio traders Bali educators. Kuna players wengi mno kwenye hii industry Kama huijui. Greatest analysts Wala sio traders,many talk the talk but few walk the walk when the skin is the game.Asilimia kubwa ya wanaopata pesa za forex hawajazipata kwa trade, wanakuwa wanafanya training na kukusanya fees. Na fees zao zimechangamka aisee
Muache hajui analoliongea.Ni mawazo Yako tu, kwa hiyo na Mimi siku moja nikitoboa utasema nimepata kwa kukusanyaa! Kwa vibua?
mi naamini kila mtu ana source yake ya kupata fedhaa!